Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, watumishi wa Idara ya Elimu Sekondari tunahamishwa kwenda vituo vipya bila kupewa stahiki zetu, huku tukilazimishwa kuripoti katika maeneo mapya.
Wakati huohuo, watumishi wa Idara ya Elimu Msingi wanaonekana kupata malipo ya stahiki zao kwa wakati. Hali...