sebule

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Natafuta chumba na Sebule

    Habari wakuu, Natafuta chumba na sebule mitaa ya Kiluvya, Kibamba, Mbezi mwisho, malamba mawili, mwisho kinyerezi. Piga 0713039875
  2. Design ya Sebule kuwa Chini halafu Vyumbani na Sehemu ya Chakula kuwa Juu

    Ndugu wanamajilisi, hiyo "design" tajwa hapo Juu ndio Ujenzi wa Kisasa? Au ni kipi hasa kinapelekea Mafundi wengi kushauri Ujenzi wa namna hiyo?
  3. House4Rent Chumba na sebule inapangishwa

    Chumba kimoja cha kulala pamoja na sebule. Eneo: Mbezi Beach Bei Tshs 100,000/Mwezi Maji ya dawasa yapo masaa 24, Usalama Upo wa kutosha, Ipo umbali wa dakika 2 kutembea kwa mguu. Tuwasiliana: 0686648630
  4. House4Rent Chumba na sebule kinapangishwa Mbezi Beach

    Chumba na sebule, Choo cha nje. Maji ya dawasa, Umeme Luku wawili, Maegesho ya gari ipo, Uzio na usalama Upo. Bei Tshs 100,000 Kwa Mwezi Kodi ya Miezi 6 Wasiliana nasi: 0686648630 | 0716442950
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…