sabato

Ernesto Sabato (June 24, 1911 – April 30, 2011) was an Argentine novelist, essayist, painter and physicist. According to the BBC he "won some of the most prestigious prizes in Hispanic literature" and "became very influential in the literary world throughout Latin America". Upon his death El País dubbed him the "last classic writer in Argentine literature".Sabato was distinguished by his bald pate and brush moustache and wore tinted spectacles and open-necked shirts. He was born in Rojas, a small town in Buenos Aires Province. Sabato began his studies at the Colegio Nacional de La Plata. He then studied physics at the Universidad Nacional de La Plata, where he earned a PhD. He then attended the Sorbonne in Paris and worked at the Curie Institute. After World War II, he lost interest in science and started writing.
Sabato's oeuvre includes three novels: El Túnel (1948), Sobre héroes y tumbas (1961) and Abaddón el exterminador (1974). The first of these received critical acclaim upon its publication from, among others, fellow writers Albert Camus and Thomas Mann. The second is regarded as his masterpiece, though he nearly burnt it like many of his other works. Sabato's essays cover topics as diverse as metaphysics, politics and tango. His writings led him to receive many international prizes, including the Miguel de Cervantes Prize (Spain), the Legion of Honour (France), the Jerusalem Prize (Israel), and the Prix du Meilleur Livre Étranger (France).At the request of President Raúl Alfonsín, he presided over the CONADEP Commission that investigated the fate of those who suffered forced disappearance during the Dirty War of the 1970s. The result of these findings was published in 1984, bearing the title Nunca Más (Never Again).

View More On Wikipedia.org
  1. secretarybird

    Msemo "mi nakula bata" ulinifukuzisha kunako dhehebu la sabato miaka kumi (10) iliyopita

    Siku kama ya Leo mwaka 2016 Msemo "mi nakula bata" ulinifanya wasabato wanisimamishe kanisani kwao. Baada ya kuuliza kwa nini walifanya vile, wakaniambia wasabato huwa hawali 'Bata'. Nikawaelewesha nilichomaanisha wakakaza fuvu. Aisee, nilikasirika sana hadi nukaamua kuachana na dhehebu hili...
  2. Genius Man

    Kazi ya wasabato ni kushika tu sabato au kuongoza watu kufanya haki kwa muujibu wa unabii ?

    Kazi ya wasabato ni kushika tu sabato au kuongoza watu kufanya haki kwa muujibu wa unabii ? watu wamekufa na kuibiwa haki zao wasabato mbona hamuongelei hili suala? Mimi naweka unabii hapa wa siku za mwisho, kama wasabato ni watu wa mungu na hawaongozi watu kufanya haki hawastahili kuingia...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    Kanisa la Waadventista wa Sabato Linaogopa Kumchukulia Hatua Mzee Wassira

    Kwa mujibu wa mwongozo wa kanisa la Wasabato, yapo mambo 13 yanayoweza kupelekea mshiriki wa kanisa kuchukuliwa hatua za kinidhamu ikiwa ni pamoja na kufutwa ushirika. Jambo la 2 katika orodha hiyo ni kuvunja sheria ya Mungu kwa kujihusisha na ibada ya sanamu, mauaji, KUVUNJA SABATO n.k Mara...
  4. Genius Man

    Kipindi cha yesu kulikuwa na siku ya sabato bila dhehebu la usabato, hivi leo kuna siku na dhehebu

    Siku ya sabato mwanzilishi ni mungu mwenyewe kulingana na maandiko, na inatambulika na ushahidi wa maandiko upo. Dhehebu la usabato mwanzilishi ni Ellen G White halitambuliki na biblia na hakuna kielelezo chochote kuhusiana nalo kwenye biblia zaidi ya maelezo ya kujitegemea ya Ellen G White...
  5. U

    Sabato imeanza baada ya jua kuzama Leo, ni siku maalumu iliyobarikiwa na Mungu kuliko siku nyingine, Niwaombe mjiweke safi kuipokea na kuiheshimu

    Ni siku bora kuliko siku nyingine ikiwamo siku ya Jumapili na ni kwa mujibu wa maandiko Exodus 20 hivyo usije na ubishi wako. Happy Sabbath all
  6. U

    Zawadi kubwa kwa Msabato mwenye ushahidi wa Biblia kuonyesha kuwa wanafunzi wa Yesu waliendelea Kuitunza sabato hata baada ya Kufufuka kwake

    Naomba nukuu kamili kutokea kwenye maandiko yaani biblia na sivinginevyo
  7. U

    Baada ya kumaliza mahubiri Mchungaji kuagfiza wanaoamini kuwa Yesu ni Mungu wasimame juu, je ni sahihi kiroho ?

    Mchungaji kuuliza wanaoamini kuwa Yesu ni Mungu wasimame juu, je ni sahihi kiroho ? Wadau hili ni kwenye Ibada ya. Sabato Kanisa la Wasabato Salasala SDA wiki mbili zimeisha Kwenye Ibada hiyo somo Mkuu ni kuwa Yesu ni Mungu Mkuu bila kujali kama...
  8. Ponjoro wa Kinondoni

    Mchungaji Emmanuel Rajabu wa Kanisa la Waadventista wa Sabato atupa jiwe gizani

    Jiwe hili zito limenipata mimi Ponjoro wa Kinondoni nasikilizia maumivu.
  9. Kabende Msakila

    Rais wetu SSH - Waadventista wasabato nchini tukuombe shughuli za uchaguzi zisiwe siku ya Sabato

    Ni ujumbe kwa kiongozi wetu mpendwa SSH kwamba siku hiyo ibaki kuwa ya ibada kwetu. Uchaguzi tunashiriki lkn kwa siku ya Sabato inatuwia vigumu kutokana na ratiba za siku hiyo. Tunakupenda sana.
  10. Mi mi

    Sabato njema wapendwa| sda songs thread

    Napenda kuwatakia maandalizi mema ya Sabato. Sabato ikawe njema kwenu nyote. Sabato yako ikawe njema kupitia uinjilishaji huu kupitia nyimbo Uzi huu utahusisha nyimbo za SDA pekee, karibuni wapendwa.
  11. Setfree

    Kwanini Yesu Kristo aliivunja Sabato? Sababu hizi hapa

    Yesu Kristo alipokuja duniani alifanya mambo mengi ambayo hayaruhusiwi kufanywa siku ya Sabato. Kwa mfano, aliwaponya wagonjwa na pia aliwaruhusu wanafunzi wake wavunje masuke ya nafaka siku ya Sabato. Hiyo ilikuwa kinyume na sheria ya Sabato. Wakati wa Musa, Mungu aliwaagiza Wana wa Israeli...
  12. Mr Beach Boy

    Happy sabbath, Dini ya kweli ni sabato

    Surah Al-Baqarah (2:65) states: "And you had already known about those among you who violated the Sabbath, and We said to them, 'Be apes, despised.'" Context of this verse: This verse refers to a group of people among the Children of Israel (Bani Isra'il) who disobeyed the command of Allah...
  13. U

    Jinsi Wasabato wanavyoteseka, kukereka na kuumizwa kisaikolojia na ukuu na utukufu mkubwa wa siku ya Jumapili ambao misingi yake ni ya kibiblia

    Wadau hamjamboni nyote? Ndugu zangu Wasabato: Natambua mnaumizwa sana kiakili na kisaikolojia hasa mnapojikuta hamuwezi kuupindua ukweli huu wa Kibiblia na badala yake mnaishia kulaumu Kanisa la Roman Katholiki kwamba ndiyo wamefanya hvyo. Yaani mpo tayari kukosana na kugombana au kumnunia...
  14. P

    Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  15. GemMaster II

    UDOM library imefungwa wafanyakazi wameenda sabato

    Jamani hali ya elimu ya juu ndiyo hiyo wafanyakazi wa vimemo wameota mapembe hawafungui library ya chuo kisa wao wameenda sabato.Hizi dharau sana aisee. Kwa stahili hii tutafika kweli uchumi wa viwanda. Library ni collage ya CIVE. Update/mrejesho 1.Library imefunguliwa saa 3 na dakika zake...
  16. M

    Kitendo cha Israel kushambulia Iran siku ya sabato hivi Israel ya sasa inafuata misingi ya dini ya kiyahudi?

    Dini ya kiyahudi inakataza kufanya kazi siku ya sabato, lakini Zayuni akaamua kabisa siku hiyo ndo akashambulie Irani. Maana yake maofisa wake walifanya kazi siku hiyo ambayo ni kinyume na dini ya kiyahudi. Cha ajabu operation hiyo wakaiita jina la "Days of Repentance", maana yake ni siku za...
  17. U

    Tumekosana hatuongei! kisa nimemfananisha na mafarisayo, anadai kuagiza chakula hotelini au kujaza mafuta gari yako siku ya Sabato ni dhambi!

    Wadau hamjamboni nyote? Ni kisa cha kweli kabisa nimeona nikilete kwenu tupeane uzoefu Nimekosana na rafiki yangu wa karibu kwa sababu zisizo na mashiko kabisa! Tulianza kama utani kujadili amri za Mungu na tulikwenda vema tu hadi tulipofikia kujadili utunzaji amri ya nne ndipo tukakosana...
  18. U

    Nimeshangazwa kiapo cha ubatizo Kanisa la Sabato salasala, aliyejitoa kubatizwa amekula kiapo mbele ya Kanisa, ila ataenda kubatizwa nchini Marekani

    Wadau hamjamboni nyote? Sabato njema wapendwa Leo nimesali Kanisa la Wasabato salasala Kuna ratiba ya ubatizo muda huu ila hali imekuwa tofauti kabisa na tulivyozoea kuwa wabatizwa wakila kiapo hubatizwa hapohapo Kanisani Alijejitoa kubatizwa leo ni kijana mdogo akiwa pekeyake na amekula...
  19. W

    Ni kwanini amri ya kuiabudu siku ya sabato tangu enzi za Musa hadi sasa ni jumamosi lakini makanisa mengine huabudu jumapili?

    Moja ya amri kumi ni kuabudu siku ya sabato, Siku takatifu iliyotengwa na Mungu kuturuhusu KUPUMZIKA kwa kuziweka kando shughuli zetu na tunashukuru kwa kujumuika pamoja kwenye shughuli za kuabudu ikiwa ni ishara ya shukran kisha tunarudi makwetu kupumzika, Kila siku ni siku ya Mungu lakini sio...
  20. U

    Huu ndiyo ukweli sabato inaashiria mwisho ya uumbaji za zamani, jumapili siyo sabato bali ni ishara ya mwanzo ya uumbaji mpya!

    Tumsifu Yesu Kristo Moderator tafadhali Uzi huu usiunganishe kwingineko Wadau hamjamboni nyote? Wakristo tokea mwanzoni waliabudu jumapili ambayo ni ishara ya uumbaji ikiachana na sabato iliyoashiria uumbaji wa zamani Naweka ushahidi kuhusu Jumapili huo kama ifuatavyo Kwamba Yesu Kristo...
Back
Top Bottom