router

A router is a networking device that forwards data packets between computer networks. Routers perform the traffic directing functions between networks and on the global Internet. Data sent through a network, such as a web page or email, is in the form of data packets. A packet is typically forwarded from one router to another router through the networks that constitute an internetwork (e.g. the Internet) until it reaches its destination node.A router is connected to two or more data lines from different IP networks. When a data packet comes in on one of the lines, the router reads the network address information in the packet header to determine the ultimate destination. Then, using information in its routing table or routing policy, it directs the packet to the next network on its journey.
The most familiar type of IP routers are home and small office routers that simply forward IP packets between the home computers and the Internet. More sophisticated routers, such as enterprise routers, connect large business or ISP networks up to the powerful core routers that forward data at high speed along the optical fiber lines of the Internet backbone.

Routers can be built from standard computer parts but are mostly specialized purpose-built computers. Early routers used software-based forwarding, running on a CPU. More sophisticated devices use application-specific integrated circuits (ASICs) to increase performance or add advanced filtering and firewall functionality.

View More On Wikipedia.org
  1. The bump

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu: Usiingie mkenge wa router za 5G za mitandao ya simu

    Mimi ni mtumiaji wa 5G router zote Airtel,voda na Tigo. Ukweli katika hizi router 3 mitandao ya ukweli ambayo naweza mshauri mtu atumie ni miwili tu. Airtel na Vodacom. Tigo ni wezi sio unlimited wanakupa unlimited kwa speed uliyolipia kisha wakiona unakamua kweli kweli bando kwa limit...
  2. lucky_boy

    JamiiForums Tanzania Router za 5g postpaid ni mkenge au kuna faida?

    Wakuu naomba kujua kama mada inavojieleza, sitaki kuingia mkenge natamani sana kununua router hii ya 5G inayotangazwa sana mitandaoni. Nimeshaongea na baadhi ya wafanya biashara hiyo sijaridhika, sasa nataka kupata neno kwa aliyebahatika kuzitumia. Ni kwa matumizi binafsi lakini hapo mbeleni...
  3. Mkyamise

    JamiiForums Tanzania Natafuta router ya mtandao wa Halotel au Universal router

    Habari za leo waungwana. Natafuta router ndogo ya mtandao wa Halotel au Universal router. Ninapatikana Mwanza. Kwa maelezo zaidi na bei tuwasiliane 0623304519.
  4. Optimistic_

    JamiiForums Tanzania Router za 4G au 5G kutoka Tigo Tanzania, ni buure router

    Wakuu 1. Router ni bure 2. Router ni ya 5G 3. Tunakuletea popote 4. Vifurushi ni unlimited 5. Ina connect watu 65 at once umbali wa metre 100 Nini cha kufanya uwe na vifuatavyo Kama ni mtu binafsi 1. Tin certificate 2. Nida ID 3. Pesa ya kifurushi Kama ni taasisi au kampuni uwe na 1. Nida...
  5. Dannis

    JamiiForums Tanzania Msaada wa unlock Airtel router (5G smart box)

    Habari wakuu, Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password, Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza kunipa kuchangamoto kadhaa ikiwepo kupungua kwa kasi ya internet nimechoka kuvumilia ikumbukwe nalipia...
  6. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Router za TTCL

    Habari zenu wakuu. Nimechoka kununua GB 1 kwa Tsh 2,100 kila siku ambalo halimalizi hata kipindi cha lisaa limoja na nusu YouTube. Nimefikia maamuzi ya kununua Router Nina Smart TV yenye kuingia YouTube, simu janja ya kwangu, mke na wanandugu watatu (Simu 5). Pia Computer, CPU mbili kwa ajili...
  7. Dannis

    JamiiForums Tanzania Msaada namna na kuondoa watuamiaji kwenye router ya airtel 5G

    Habari wakuu, Nimenunua Router ya airtel 5G (smart box), nimejiunga kifurushi cha unlimited cha 110,000/- kwa mwezi, nimepata changamoto ambayo hata airtel wenyewe wameshindwa kunisaidia. Nimeona kuna tatizo kwenye kifaa chao mfano nilimuunga rafiki yangu kwenye simu yake ya Samsung s20...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Router za dukani ni bei kubwa, kuna mtandao wa simu unaouza router za huawei zinazoweza kufunguka kusoma lain zote ??

    router za dukani ni gharama kubwa sana almost laki na kitu. Router za mitandao ya simu huwa wanauza kwa hasara ama bila faida wanategemea mteja utafidia kwenye vifurushi. Ni mtandao upi wa simu kwenye maduka yao wana router za huawei ? Nimechagua huawei sababu kuna features nyingi na support...
  9. G

    JamiiForums Tanzania IT wetu hawana ubunifu? Router ambazo hazina watumiaji wengi nje ya mipaka hawawezi kuzi-unlock, wanasubiri wazungu na wachina wawatafunie wao wameze

    Hapo zamani mitandao ilileta routers na modem za kampuni maarufu kama Huawei na zote, Ma IT na mafundi wengi waliweza kuzifungua kwasababu wazungu, wachina, wahindi, waarabu, n.k. walikuwa wanaumiza vichwa kubuni mbinu za kuzifungua, mafundi wetu walikuwa wanafuata maelekezo, modem na router...
  10. zigi 01

    JamiiForums Tanzania Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300?

    Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300? Naomba msaada ni jinsi gani naweza kuziona hizo specification.
  11. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Router za 5G from tigo for free

    Jipatie router kwa matumizi ya ofsin nyumbani na hata kwenye biashara yako, ambayo utapatiwa bure na utalipia laki moja kila mwezi kwa maps 20,na kuendelea hii kwa walioko dsm tu kwa mawasiliano nipgie 0672696527
  12. Forgotten

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua bei elekezi za 4G router za Vodacom

    Habari wana-JF, naomba kujua bei elekezi kwa 4G router ya Vodacom inayoweza ku-connect devices 5. Nimeona vifurushi vyao bei iko juu kushinda Airtel ila wateja wengi wanalamikia mtandao wa Airtel. Je, ni ipi bora kuchukua kati ya Vodacom au Airtel?
  13. The patriot man

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, nichukue router ipi kati ya hizi?

    wakuu kwema hapa nina changamoto moja hivi nahitaji home internet ila option yangu ni kati ya vodacom na airtel ambayo wote wana vifurushi vya unlimited kwa mwezi vya 5G wakuu naombeni msaada nichukue ipi kati ya hizi naishi Tabata segerea.
  14. Next Elon Musk

    JamiiForums Tanzania Pocket WiFi/Mifi kutoka Airtel

    OFA OFA OFA!!!!!! Jipatie Pocket WiFi kutoka Airtel inayo unganisha vifaa zaidi ya 10 na kasi Hadi Mbps 30, pia utapokea offer ya GB 20 mwaka mzima Vifurushi: ⚡Elfu 10 Gb 10.5 ⚡Elfu 20 Gb 22 ⚡Elfu 30 GB 35 ⚡Elfu 50 GB 75 ⚡Elfu 75 GB 100 ⚡Laki 1 GB 200 📞Mawasiliano 0742772122 ⚖️Vigezo na...
Back
Top Bottom