rais wa marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SI KWELI Je ni kweli Rais wa Marekani aionya Tanzania isiwajaribu?

    Kuna hii taarifa inasema Rais wa Marekani aionya Tanzania isiwajaribu? Je ni taarifa ni kweli au
  2. O

    Rais wa Marekani, Donald Trump Amethibitisha Kifo cha Khamenei

    Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, baada ya mashambulizi ya anga ya pamoja ya Marekani na Israel kulenga makazi yake siku ya Jumamosi. Trump alisema kuwa Khamenei na maafisa wengine wa Iran “hawakuweza kukwepa ujasusi wa Marekani na mifumo...
  3. Rais Samia Suluhu Hassan asafiri kuelekea UAE

    Samia to the World!!!!! Mheshiwa Dr. Samia Suluhu Hassani amesafiri leo tarehe 02. 02. 2026 kuelekea Falme za Kiarabu UAE. Ambapo atashiriki katika mkutano wa World Government Summit (WGS 2026) na Uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS. Ushiriki wa Tanzania katika WGS unaakisi...
  4. U

    Ndege ya Rais wa Marekani yapata hitilafu ikiwa angani na kutua kwa dharura

    Ndege ya Rais Marekani Air Force One imelazimika kurudi kwenye Joint Base Andrews kutokana na “tatizo dogo la umeme,” kulingana na Afisa wa Ikulu ya White House. Rais wa Marekani Donald Trump bado anatarajiwa kwenda Davos, Uswis na amelazimika kupanda Ndege ya akiba. Kulingana na taarifa za...
  5. Rais Trump amnyooshea mfanyakazi wa kiwanda cha Ford River Rouge kidole cha kati

    Rais wa Marekani Donald Trump amenaswa na kamera akionekana kuinua kidole chake cha kati na kutamka neno lenye maana ya tusi kwa mfanyakazi mmoja wakati wa ziara yake kwenye kiwanda cha Ford River Rouge huko Dearborn, Michigan siku ya Jumanne Januari 14, 2026. Tukio hilo limekuja baada ya...
  6. Trump ajiita ‘Kaimu Rais wa Venezuela’ katika chapisho lake kwenye mtandao wake 'Truth Social'

    Rais wa Marekani Donald, ajiita ‘Kaimu Rais wa Venezuela’ baada ya zaidi ya wiki moja tangu jeshi la Marekani kuivamia Venezuela na kumkamata rais wake, Nicolás Maduro. Kupitia mtandao wake wa Truth Social, Trump alichapisha picha iliyofanana na ukurasa wa Wikipedia, ikionyesha picha yake rasmi...
  7. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu akutana na Rais wa Marekani Donald Trump

    Rais wa Marekani alipoulizwa kama Iran utaendelea na mpango wake wa Nuclear na makombola itazhambuliwa? Trump Ali jibu kwa makombola ndiyo atashambuliwa lakini kwa Nuclear atashambuliwa harakati sana!!!!
  8. U

    POTOSHI Donald Trump, Rais wa Marekani amuwakia Bi Samia Suluhu Hassan

    https://youtu.be/d0zp2chByrs?si=GvUT8x8IEbXPIXTl
  9. Trump aingilie kati kushinikiza Uchaguzi mpya hapo ndipo mgogoro utaisha na hali itakuwa shwari

    Suala sio uhusiano mbaya wa Tanzania na USA tatizo ni samia Trump aingilie kati kushinikiza uchaguzi mpya kisha mgogoro utaisha hali itakuwa shwari Marekani ina tathimini uhusiaono na Tanzania, hii yote ni kwasababu ya uongozi usio tokana na watanzania kama unauwa hadi wananchi hauwezi kuwa na...
  10. Rais wa Marekani Donald Trump awaonya tena Hamas

    Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kikundi cha Hamas kwamba kama wataendelea kwenda kinyume na mkubaliano basi ataruhusu IDF irudi tena kufanya mashambulizi
  11. Rais wa Marekani Donald Trump awasili Israel

    Rais wa Marekani, Donald Trump, ametua nchini Israel kupitia uwanja wa ndege wa Ben Gurion, ambapo amepokewa na Rais wa Israel, Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu. Trump amewasili kwa ndege ya rais ya Marekani, Air Force One, katika ziara yake ya kimataifa, huku tukio hilo...
  12. Rais wa Marekani kulihutubia Bunge la Israel Khenesst

    Spika wa bunge la Israel Knesset amemwalika rasmi rais Trump kuhutubia bunge la Knesset. "Ni heshima yangu kuu na pendeleo kubwa kualika rasmi rafiki mkubwa na mshirika wa Wayahudi katika historia ya kisasa."
  13. M

    Qatar wamejifunza somo chungu, walidhani kumpa rais wa Marekani ndege ya shilingi trilioni 1 na mapokezi ya kifalme kutawaepusha na Israel

    Qatar walimpa Rais wa Marekani ndege ya kifahari aina ya Boeing 747 yenye thamani ya milioni 400 sawa na shilingi Trilioni 1 pamoja na mapokezi ya kifalme, lakini Marekani wameamua kurudisha fadhila kwa kuwaruhusu marafiki zao Israel waende kupiga tizi la shabaha katikati ya jiji la Qatar kwa...
  14. U

    Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita

    Rais wa Marekani Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita, jina ambalo lilitumika wakati Marekani iliposhinda vita vya kwanza na vya pili vya dunia. ============================= US President Donald Trump plans to...
  15. Rais wa Marekani humuapisha mkuu wa majeshi ya Marekani tu!

    Tofauti na marais wengi duniani ambao huwaapisha kiapo cha utumishi maafisa na watumishi lukuki wa serikali na mihimili mingine ya nchi, rais wa Marekani kiutamaduni yeye huwa anamuapisha mkuu wa majeshi ya Marekani/mwenyekiti wa kamandi za jeshi la Marekani tu. Mawaziri na watumishi katika...
  16. R

    Rais wa Marekani Donald Trump amegundulika kuwa na tatizo la kiafya "chronic venous insufficiency"

    Rais Donald Trump amegundulika kuwa na tatizo la mzunguko wa damu kwenye miguu, linalojulikana kitaalamu kama chronic venous insufficiency, baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Ikulu ya Marekani. Uchunguzi huo ulifanyika baada ya Trump, mwenye umri wa miaka 79, kugundua uvimbe mdogo...
  17. Rais wa Marekani alaumiwa kwa kuwaaibisha viongozi wa Afrika

    Marekani hivi karibuni iliandaa mkutano kati yake na nchi tano za Afrika ambazo ni Gabon, Guinea-Bissau, Mauritania, Senegal na Liberia. Lakini kwenye mkutano huo, Rais Donald Trump wa Marekani alifanya vitendo vingi visivyofaa kwa viongozi wa nchi hizo za Afrika, na jambo ambalo limewakasirisha...
  18. R

    Rais wa Marekani Donald Trump amefanya Mkutano na Viongozi wa nchi tano za Afrika

    Rais wa Marekani Donald Trump, amefanya mkutano na viongozi wa nchi tano za Afrika, Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal katika Ikulu ya White House. Mkutano huo uliandaliwa kujadili masuala ya biashara, ushirikiano, usalama na uwekezaji wa kiuchumi kati ya Marekani na bara la...
  19. R

    Rais wa Marekani Donald Trump anatarajiwa kukutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika

    Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana 'fursa za kibiashara' kwa mujibu wa Ikulu ya White House Trump atakutana na viongozi wa Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal kwa majadiliano na chakula...
  20. POTOSHI Rais wa Marekani Donald Trump amesema Rais Samia aache kufungia makanisa

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…