Rais wa Marekani, Donald Trump, ametua nchini Israel kupitia uwanja wa ndege wa Ben Gurion, ambapo amepokewa na Rais wa Israel, Isaac Herzog, pamoja na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu.
Trump amewasili kwa ndege ya rais ya Marekani, Air Force One, katika ziara yake ya kimataifa, huku tukio hilo...