Sanjiv Rai is a first-generation Indian innovator and serial entrepreneur. He is the founder, chairperson and chief solver of multiple startups under Billion Innovators and Chairperson at ARE Technologies and his venture initiatives AceWP Innovation Labs and Billion Innovators intend to promote innovation in India and abroad. As a serial entrepreneur or innovator he has worked on AI based convergence and design algorithms, on a variety of products and solutions such as network convergence enabling D5 chip, AceWP, PlasmaPHI, innovate2learn, agniie devices, ChazeMe, SmartSAPS (Smart Secured Automated Payment Solutions), coolATM and Rosenbridges Future Cities/Smart Buildings and CHANDRA project for NASA towards permanent human inhabitancy on outer planets.
Rais wa Marekani Donald Trump amekosolewa kwa sauti na kelele alipokuwa akitoa hotuba ya Hali ya Taifa. Wakati Warepublican wakimpa Trump shangwe za kusimama alipokuwa akizungumzia sera yake ya uhamiaji, aliwakemea wale ambao hawakusimama akisema, “Mnapaswa kuwa na aibu.”
Tukio hilo la mvutano...
Rais Trump ametoa tangazo la video yenye ubaguzi wa rangi linaloonyesha Obamas kama tumbili. Ikulu ya Marekani awali ililinda chapisho hilo, kisha ikaeleza kuwa lilitolewa na mfanyakazi mmoja.
=============
President Trump removes a racist video depicting the Obamas as apes. The White House...
Na Mchambuzi Chura wa Siasa za Kimataifa
Januari 7, 2026, itakumbukwa kama siku ya kihistoria katika diplomasia ya ulimwengu baada ya Rais Donald Trump kutangaza rasmi kuiondoa Marekani katika mashirika ya kimataifa 66. Hatua hii, inayokuja chini ya sera ya "America First", si pigo kwa...
Wakati Donald Trump alipoiondoa Colombia kwenye orodha ya washirika wa Marekani katika ushirikiano wa kudhibiti biashara ya dawa za kulevya tarehe 15 Septemba 2025, ilidhihirika haraka kuwa hatua hiyo ilikuwa ikimlenga zaidi Rais wa Colombia, Gustavo Petro. Hatua hiyo ilitafsiriwa na wachambuzi...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amejiweka katikati ya mazungumzo kuhusu amani ya Gaza, akionyesha juhudi binafsi za kuhakikisha makubaliano yanafikiwa haraka. Tofauti kubwa katika mazungumzo haya ni jinsi Trump mwenyewe anavyoshiriki moja kwa moja, akiwashinikiza pande zote mbili – Israel na...
Gavana wa Benki Kuu ya Marekani, Lisa Cook, ameanzisha mvutano na Rais Donald Trump kwa kukataa kuondoka kwenye wadhifa wake baada ya rais huyo kutangaza kumfukuza kazi.
Mvutano huo umetokea baada ya jana Jumatatu Agosti 25, 2025 Rais Trump kutangaza amemfukuza kazi Cook kwa sababu maalumu...
Japo ninaamini walinzi walikuwepo tena ulinzi mkubwa.
Lakini hoja yangu ni hii :
Jana kule Marekani mara baada ya fainali ya kombe la Dunia kwa vilabu wakati Chelsea wanakabidhiwa kombe , Rais wa Marekani Mhe Donald Trump alijumuika nao pamoja na Rais wa Fifa pale uwanjani ...
Rais wa Marekani Donald Trump, amemkosoa vikali mshirika wake wa zamani Elon Musk kwa kuzindua chama kipya cha kisiasa, hatua ambayo inayozidisha mvutano kati yake na bilionea huyo.
Trump amemtaja bilionea huyo na mfanyabiashara wa makampuni ya SpaceX na Tesla, kuwa ni mtu aliyetoka kwenye reli...
Watu wanakichukulia poa chama Cha republican kwenye kusimamia haki uku ulimwengu wa tatu ila, Republican administration wako vizuri sana .
Nimepata habari kutoka State department kuwa Marekani walitoa maazimio kadhaa Kwa Tanzania kabla strong measures kuchukuliwa.
Maazimio yalikuwa.
-Vyama...
Rais wa Marekani Donald Trump amekosoa kile alichokitaja kuwa upotoshaji wa habari kuhusu taarifa za intelijensia zilizovujishwa na kwanza kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani
Rais Trump ameshikilia msimamo wake kwamba mashambulizi ambayo aliamuru kufanywa dhidi ya Iran...
Katika hotuba yake aliyoitoa Ikulu - White House, mara baada ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya vinu vya nyuklia vya Iran, Rais Donald Trump amehitimisha hotuba hiyo kwa maneno ya kugusa sana moyo, yanayoonesha wazi kuwa anamcha Mungu kwa dhati na kutambua uongozi wake mkuu. Namnukuu...
Wadau hamjamboni nyote/. Hakiki ni Raha kubwa kwangu kujua kuwa Mwamba wa ukweli Benjamin Netanyau yuhai kabisa. Yes indeed he's very much alive. Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu is set to speak to US President Donald Trump later today, according to an Israeli official.
Netanyahu...
Wiki moja baada ya bilionea wa Marekani, Elon Musk kutangaza kujiondoa katika Serikali ya Rais Donald Trump, uhusiano wao umeendelea kutetereka kiasi cha wawil hao kulumbana mitandaoni.
Musk ambaye ni mmiliki wa kampuni za Tesla, Space X na mtandao wa X (zamani Twitter) alitangaza kujiondoa...
Bilionea wa teknolojia Elon Musk ametangaza kuwa anaondoka katika utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump, ambako aliongoza mradi wa miezi kadhaa wa kupunguza gharama katika serikali ya shirikisho.
"Wakati wangu niliopangiwa kama Mfanyakazi Maalum wa Serikali unakamilika, ningependa...
Wadau hamjamboni nyote?
Rais wa Marekani Donald Trump yuko tayari kupokea ndege ya kifahari aina ya Boeing 747-8 kama zawadi kutoka kwa familia tawala ya Qatar wakati wa safari yake ya Mashariki ya Kati wiki hii ijayo, na maafisa wa Marekani wanasema inaweza kubadilishwa na kuwa ndege inayoweza...
Wadau hamjamboni nyote?
Hajajulikana Rais huyo atasema nini hasa ila ameahidi ndani ya siku chache kabla haijaanza ziara ya Mashariki ya kati atatoa tangazo kubwa kubwa sana
=========================
Trump teases ‘very, very, very big announcement’ ahead of his upcoming Mideast trip
US...
Kama mjuavyo Rai's Trump atafanya ziara Saudi Arabia hiv Karibuni.
Ila hii ziara kwangu naisubiri Kwa hamu Sana na nitaifuatilia Kwa Karibu kwasababu Tu ya hawa walinzi WA ikulu na mfalme wa Saudi Arabia. Ambao walinikosha Sana Trump alipofanya ziara nchini humo 2017.
Cha Kwanza wengi wao NI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.