programming

  1. Ingekua wewe ungechagua nini? Kati ya data analysis au programming?

    Nina mwanafunzi anayesoma ICT, Yuko mwaka wa kwanza Sasa, amenambia wanagusa Kila sehemu wanasoma cyber security, networking, web development, programming, n.k kaniuliza achague kipi hasa kitakachomsaidia kwenye kujiajiri? Au kufanya kazi na kampuni mbalimbali, kuliko kusubiri ajira za serikali...
  2. Advance Your Career: Online Microsoft Office & Programming Courses – Certificate Included 💻

    Dear Professionals and Learners, In today’s competitive job market, strong computer skills are essential for career growth and business efficiency. DarITcare Training Centre (DTC) offers structured online courses designed to equip you with practical skills in office productivity and programming...
  3. Kama Hesabu rahisi (Fedha,idadi,muda) za kila siku zina eleweka , Basi hii Hapa ni Mbinu rahisi ya kuelewa Programming Kupitia Websites na Mobile App

    Programming tafsiri rahisi ni kutengeneza programu ,kwamba baada ya kufanya programming ndio inapatikana programu ya kompyuta, undani wa kujua programming ni kufahamu sayansi ya kompyuta. LAI : Maelezo haya ni ya kiswahili lakini kwa neno ambalo hauja lielewa kabla ya kuendelea chukua muda...
  4. Mindset kabla ya kujifunza Tehama ya programming

    Watu wengi huchukizwa na ratiba za kushtukiza, hutaka kuandaliwa ili wajiandae kuhusu tukio lenyewe.(Mindset) Nafikili na wewe ni miongoni hupendi mtu akuambie latiba ambayo haukuwa nayo kabla, Ghafla tu. TEHAMA ya programming unaweza kujifunza kwa njia nyingi ila labda mbili hizi maarufu...
  5. Wanafunzi waliomaliza form four watakuwa na uwezo wa kutumia excel kisawa sawa, graphics design na programming language zisizopungua 8

    Kwa wale watakaosoma shule za serikali moja ya mambo ambayo ntayatimiza kwa sababu yana-manufaa makubwa sana kwa nchi
  6. Unafanya Programming au Advanced Video Editing? Tumia hizi machine

    Kwa kipindi sasa nimekuwa nafuatilia computer nzuri kwa upande wa programming na video editing. Sio mtaalamu wa video editing ila napenda kufanya tu for fun. Kwa kuwa nimebobea kidogo kwenye Windows na Linux toka chuo, nikaona best option kwa sasa ni kutafuta computer yenye gpu nzuri au ninunue...
  7. C

    Kama wewe ni developer, una Ideas, ya software, unapenda mambo ya Programming Huu uzi ni kwa ajili yako

    Wadau ..kwema bado kumekua na mijadala mingi sana kuhusu Programmers au developers wa Kibongo lakini nitaelezea hapa matatizo kulingana na uzoefu wangu nitaelezea Sababu tatu tuu zinazotufanya developers wa kibongo kuendelea kuwa Maskini. 1.FINANCIAL STABLE Hili ni tatizo kubwa saana...
  8. Basic computer application tutor,computer programming courses

    Hellw JF,kama unatafuta mwalimu wa computer courses na computer programming mchek 0759-124378 Anipatikana magari 7,mbezi ya kimara
  9. Information Technology(IT-TEHAMA)-12 end

    MALENGO YA AU MAFANIKIO YA UJUZI WA PROGRAMMING Miongoni mwa malengo au mafanikio anayotarajia mtu anayejihusisha na programming ni kutengeneza programu za kompyuta kwa matakwa yake mbalimbali. Na ili utengeneze programu ya kompyuta lazima ujifunze lugha za programu kulingana na malengo yako...
  10. Information Technology(IT-TEHAMA)-11

    COMPILER NI NINI ?? Kwa lugha rahisi , compiler ni kama mtafsiri ambaye hubadilisha maelezo yaliyoandikwa katika lugha za programu ambazo sisi binadamu tunaelewa kam vile python, java, C++ na kubadilisha maelezo hayo kuwa lugha ambayo lugha inaweza kuelewa moja kwa moja (mashine language) ambayo...
  11. Information Technology(IT-TEHAMA)-10

    LUGHA ZA PROGRAMU Programu hizi zimeandikwa kwa kutumia lugha za programu. Hapa kuna baadhi ya lugha za programu. Python Java C++ JavaScript Ruby C# n.k Kwa kutumia lugha hizi programmer wanaweza kuwasiliana na kompyuta na kuipa maelekezo wanayotaka kompyuta ifanye , na kwa njia hii ya lugha...
  12. Information Technology(IT-TEHAMA)-09

    PROGRAMMING NI NINI? Programming ni mchakato wa kuunda program za kompyuta kwa kutumia lugha za kompyuta. Programu hizo ni maagizo ambayo kompyuta inafuata ili kutekeleza kazi flani. Mfano: unaweza kutumia lugha ya kompyuta kama vile java kuunda programu ambayo itafanya mahesabu ya kujumlisha...
  13. Information Technology(IT-TEHAMA)-08

    PROGRAMMING Nilikueleza kwamba tutajifunza zaidi kuhusu teknolojia ya kompyuta katika Tehama ndio lengo na madhumuni ukiwa mdau wa Jiku Tech Tips. Tujikumbushe maana ya kompyuta ..... Kompyuta ni kifaa cha kielektroniki ambacho huchukua taarifa/maagizo kutoka kwa mtumiaji na kuchakata taarifa...
  14. Information Technology(IT-TEHAMA)-07

    UFAHAMU KUHUSIANA NA SOFTWARE NA HARDWARE (KOMPYUTA SYSTEMS). Unapo zungumzia kompyuta kuachana na tafsiri yake halisi ina mifumo miwili mifumo ambayo ni software na hardware mifumo ambayo inawezesha utendaji wa kompyuta kwa ufanisi Vifaa vyote vya kushikika kwenye Kompyuta (physical...
  15. Hii ndio njia rahisi ya kutatua tatizo la kubadili syntax za programming language uliyoisoma ili kuwa mfumo unaoeleweka

    Niaje wakuu… Ni hivi, ni rahisi kujifunza syntax za programming language yoyote ila shida kubwa ambayo inawasumbua watu wengi ni namna ya kubadili hizo concept na kuziweka kwenye mfumo wanaouhitaji. Na ndio maana nimekuja hapa niweze kukupa hii mbinu ambayo itakusaidia kwenye safari ya usomaji...
  16. Programming huwa inaishia kwenye if-else pamoja na data types.

    Habari zenu wakuu… Naomba Leo tuongee kuhusu mambo haya ya programming, kwa maana watu wengi huwa wanahisi programming ni ngumu na hii yote ni kutokana na kutokujua msingi na dhima ya programming ni ipi. Na ndio maana nimeandika hili bandiko ili kutoa degree ya kompyuta sayansi ya miaka mitatu...
  17. Award verification number na computer programming classes

    AWARD VERIFICATION NUMBER(AVN)ni namba inayomsaidia mhitimu wa Diploma kuitumia na kuweza kuendelea na masomo ya Degree.Ili kuipata matokeo ya mhitimu yanatakiwa yaweyametumwa na chuo husika anachosoma na baadae anaweza kuiomba,kwa matatizo na changamoto za AVN number piga 0759-124378
  18. Naomba ushauri nisome programming language gani?

    .
  19. Nahitaji kujifunza Programming

    Kama title inavosema wakuu Nataka kuwa developer mnaweza kunsaidia sehemu ya kuanzia Kama kuna website au group Fulani mnaweza kushare nami. Mungu awabariki🙏
  20. M

    Nina imani kubwa sana kuwa PROGRAMMING itakuja kunilipa ndo mana nimetumia Nguvu kubwa sana

    Kama kawaida hope mko poa Mimi napenda sana programming na nina baadhi ya projects nimesha zi develop Za desktop, mobile, na web based systems. Nimesoma chuo ila nilikua based on networking zaidi ila badae nikabased na Programming. Natamani niweke github yangu hapa ila sitaki...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…