ponjoro

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni simtambui rais wala Serikali

    Kwakifupi nimekaa hapa nasubiri uchaguzi mkuu. Ujumbe: Ile digidigi itoke huko ilipojificha tule nyama.
  2. H

    Polepole Amuonya Chalamila. Asema Amemtukana Rais

    Polepole amemuonya Chalamila kuwa hana mamlaka wala uwezo wa kujibu hoja zake. Yeye Polepole alikuwa mjumbe wa kamati kuu akiwa na majukumu maalum, anayejua mambo mengi. Kaeleza kuwa Chalamila indirectly amemtukana Rais aliposema kuwa eti yeye Chalamila anaenda kufuata mafaili ya Polepole huko...
  3. Ponjoro wa Kinondoni

    Ponjoro wa Kinondoni nimepenya, Aliyenipa jina Anaishi kama digidigi

    Nimeandaa nyamachoma festival siku ya jumatatu, natamani mgeni rasmi awe yule PhD holder aliyenibatiza jina la Ponjoro wa Kinondoni. Akija atatusimulia experience ya kono la baunsa. Ndugu wana JF nitawawakilisha vyema kumtetea Rais Samia bungeni pamoja na ndugu Abdul ili wasishambuliwe. Nataka...
  4. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni October Sitamuunga mkono Samia Suluhu Hassan. Namwomba Apumzike kama Philip Mpango na Majaliwa Majaliwa

    Kwanza napenda kuwajulisha kuwa mimi nampenda sana mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan hivyo maoni yangu hayahusiani na chuki bali mapenzi ya kweli kwake. 1. Sikuridhishwa na mkataba wa DP World, itoshe tu kusema ule ni UTAPELI na lazima kila aliyehusika awajibishwe ili kuwa fundisho kwa...
  5. Busu la Kenge

    Lissu na Gwajima wameleta maneno mapya kwenye Kiswahili Uchwara na Ponjoro

    Kama mnakumbuka 2016 mheshimiwa Tundu Lissu Rais wa awamu YA 7 alianzisha hili neno uchwara Kwa kumuita dikteta uchwara. Na sasa hivi askofu wa kanisa la uzima na ufufuo ndugu Josephat Gwajima Kaja na ponjoro.
  6. Busu la Kenge

    Ponjoro

  7. M

    Wajuzi wa lugha, naomba kujuzwa maana ya neno "Ponjoro"

    Kama kichwa kinavyosema, naombeni mnijuze maana au tafsiri ya neno hili kwani nimelisikia siku za karibuni na bado sijapata kujua lina maana gani.
  8. Waufukweni

    Musukuma ataka Wabunge wapite maeneo ya VIP na wenza wao

    Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma, ameibua hoja bungeni akilalamikia mazingira yasiyo rafiki kwa viongozi na familia zao wanapopita katika maeneo mbalimbali ya VIP. Akizungumza bungeni, Musukuma amesema: "Sisi humu ndani sio Wahuni ni Waheshimiwa tuna familia....Mhe. Spika sisi tumepewa...
  9. Kipenzi Changu

    Jimboni kinondoni: Shule ya Mtambani wanafunzi wanakaa chini

    Kukosekana kwa madawati ya kutosha Shule ya Msingi Mtambani iliyopo Bunju - Kinondoni jijini Dar es Salaam kumesababisha baadhi ya wanafunzi kusoma wakiwa wamekaa sakafuni, jambo linalowakosesha utulivu. Kukosekana kwa madawati ya kutosha Shule ya Msingi Mtambani jijini Dar es Salaam imefanya...
  10. Valencia_UPV

    Muasisi wa neno Ponjoro ajiandaa kuomba Msamaha

    Aliyekua anaita wenzie Ponjoro. Yupo katika hatua za kuomba rasmi msamaha. NB: Achekae mwishoni ndio hucheka zaidi (he who laughs last laughs best)
  11. Robert Heriel Mtibeli

    Ponjoro ni jina la kibaguzi lakini ubaguzi ameuanza yeye mwenyewe. Hivyo wanaomtetea wamuache apate malipo yake

    Mpo Pouuwa! Kwa mara ya kwanza jina Ponjoro nililisikia miaka hiyo ya 90 huko kijijini kwetu. Kulikuwa na chotara wa kiarabu na Kiswahili. Lugha ya mtaani ya kuwadhihaki watoto wa aina hii ilikuwa Kuwaita Muarabu Koko au Ponjoro. Sio majina mazuri Kwa sababu yule kijana na Bibi mlezi hawakuwa...
Back
Top Bottom