pilipili

Peter Gatonye (born November 1982), known better for his stage name Pilipili is a musician/singer from Kenya. At the beginning of his career, he collaborated with another musician, Gun B. Their best known song was "Nampenda". He has also sung a song with Ratatat. The song was called Morale.
He is an award winner in Kisima and of Chaguo La Teeniez held in East Africa. Pilipili's debut album "Fungua Mlango" was released in late 2005 produced by Clemo through Calif Records in Nairobi. During the same year they both became artist of the year and producer of the year respectively. He is a respected songwriter especially in Swahili language. He has worked with great music producers like Tedd Josiah, Chris Adwar, Ogopa DJs among others. He is known for hits such as Kamata Dem, Mpaka Che, Morale, Iweje, among others.
His former partner, Gun B (Robert Misiani), died on 20 October 2007 due to illness. Gun B was the son of famous benga musician Daniel Owino Misiani.

View More On Wikipedia.org
  1. SN.BARRY

    Baada ya Masanja Mkandamizaji sasa MC Pilipili naye awa mchungaji.

  2. jrmpya

    Pilipili kichaa zinahitajika kwa wingi

    Habari za mchana huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza pilipili kichaa inahitajika kwa wingi Sana zaidi ya tani kumi na tano. Kama wewe ni mkulima wa pilipili kichaa au unafahamu mahali zinapatikana, tafadhali msaada wako unahitajika hapa. 0742304314 Shukrani kwa mchango wako.
  3. May Day

    Kwa msiba mkubwa uliompata MC Pilipili na jinsi alivyopokea hakika nimejifunza mengi

    Miaka kadhaa nyuma nikiwa naangalia mahojiano kati ya Mtangazaji na Mwanamuziki Mkongwe Mzee Zahiri Ally, kupitia ITV (kama sikosei maana ni muda sasa)...nakumbuka jibu la Mzee Zahir baada ya Mtangazaji kuonyesha wasiwasi wake kwa vipi Mzee Zahiri alimudu Jeshini kwa kuangalia muoenekano wake...
  4. B

    Nataka kujua ni jinsi gani ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi

    Jamani nataka kujua ni jinsi gan ya kutengeneza pilipili kama zile wanazotumia wauza chipsi wa Dar es Salaam na zinakaa kwa muda gani, nimeuliza sana ila sijapata jibu naamini leo nitapata majibu humu JF. Karibuni kwa maujuzi.
  5. R

    Natafuta pilipili za Charapita

    Habari wakuu. Natafuta pilipili za aina ya charapita (Aji Charapita yellow chilli peppers). Wakati mwingine huwa zinaota mashambani (wild charapita). Mwenye nazo tafadhali tuwasiliane 0676434611 au WhatsApp 0786817145.
Back
Top Bottom