Watanzania ni watu watulivu, watu wa amani, watu wa hekima, ila si wajinga.
Uchaguzi ni mara moja kila miaka mitano, na ni haki ya kikatiba kila mtu kuchagua ampendaye kukalia kiti cha urais, ubunge au udiwani.
Watanzania tusipoteze nafasi hii, ya kikatiba.
Watu wasio waelewa wanasema siku hiyo...