philip mpango

Philip Isdor Mpango (born 14 July 1957) is a Tanzanian economist and politician who serves as the Vice-President of the United Republic of Tanzania. He was sworn into office on 31 March 2021, following unanimous consent of the Tanzanian Parliament, and having been nominated by President Samia Suluhu on 30 March 2021. Before that, he served as the Minister of Finance and Planning in the Tanzanian Cabinet, from March 2015 until 30 March 2021.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Mstaafu Philip Mpango vunja ukimya, kwa nini ulitaka kujiuzuru alafu ukalazimishwa alafu ukatii

    Tupe ukweli maana hii kitu nimeikuta inajadiliwa pahala. Kuwa ulipima mzani ukaona hawa jamaa sio wa kufanya nao kazi. Yaani CCM hii. Kwa nini uliacha kujiuzuru na ukaensldele na hawa watu? Ili hali inasemekana ulishawajua kuwa hafawai!
  2. Hance Mtanashati

    PostGE2025 Philip Mpango aliona mbali sana, hakutaka kushiriki dhambi wala hakutaka kuchafua heshima yake

    Makamu wa Rais mstaafu ndugu Philip Mpango aliona mbali sana , kwa hofu ya Mungu na maono aliyopata akaona ni heri apumzike kuliko kushiriki dhambi ambazo zingekuja kumtesa yeye na kizazi chake milele na milele. Pia kitendo chake cha ushujaa cha kujihudhuru kimemlindia yeye heshima kwa kiasi...
  3. Beira Boy

    PostGE2025 Kwanini Mpango, Nchimbi na Majaliwa hawahusishwi kabisa kuhusika na mauaji ya Oktoba 29 wakati walikuwa viongozi?

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchimbi alikuwa mgombea mwenza Mpango alikuwa rais makamu Kasim alikuwa waziri mkuu Walikuwa ni viongozi wakubwa sana Lakin kwa nini hawahusishwi kabisa na haya mauaji? Kwanini wanawekwa pemben Kwanini wachambuzi wanawaweka pembeni watu...
  4. Ponjoro wa Kinondoni

    Mimi Ponjoro wa Kinondoni October Sitamuunga mkono Samia Suluhu Hassan. Namwomba Apumzike kama Philip Mpango na Majaliwa Majaliwa

    Kwanza napenda kuwajulisha kuwa mimi nampenda sana mama yangu Rais Samia Suluhu Hassan hivyo maoni yangu hayahusiani na chuki bali mapenzi ya kweli kwake. 1. Sikuridhishwa na mkataba wa DP World, itoshe tu kusema ule ni UTAPELI na lazima kila aliyehusika awajibishwe ili kuwa fundisho kwa...
  5. The Zanzibar Echo

    Baada ya Kassim Majaaliwa philip mpango Humphrey Polepole nani anafuata ?

    Wazungu linapotekea jambo la muendelezo huwa wanamsemo wao maarufu who is a next? Wakiwa na maana nan anafuata. Ndio macho na masikio ya watanzania sasa yatakua wazi mda wote kusikiliza nan anafata badala ya aliekua wazir mkuu kasim majaliwa na vice president mpango na balozi wa Tz Cuba...
  6. figganigga

    Philip Mpango, Kassim Majaliwa Wajitenga na Siasa chafu za Rais Samia? Wahuni kupewa Rungu?

    Mwanasiasa wa Tanzania si rahisi kkuachia Madaraka Makubwa. Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango, na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Walikuwa hawana Upinzani ndani ya Serikali ya CCM. Viongozi hawa wanajulika kwa kutopenda Uchawa. Rais Samia amekuwa akilaumiwa kufumbia macho Mauaji ya Wale wanao...
  7. B

    Kung'atuka siasani kwa Dr. Philip Mpango na Kassim Majaliwa Majaliwa wasaidizi wakuu wa Rais Samia, nini nyuma ya pazia ?

    Inaitwa 'purge' mkakati wa dola kulazimisha viongozi waachie ngazi. Purge : Usafishaji wa safu za juu kisiasa unarejelea kuondolewa kwa lazima au kuondolewa kwa watu wanaochukuliwa kuwa wasiohitajika kutoka kwa taasisi ya kisiasa, kama vile serikali au shirika, na wale walio mamlakani. Hii...
  8. W

    Nchemba amtakia maisha mema na afya njema Makamu wa Rais Dkt. Mpango baada ya kustaafu

    Nadhani wangemuaga na Majaliwa tu naye akapumzike === Mheshimiwa Spika, nikiwa naelekea kuhitimisha hotuba yangu, napenda kumpongeza Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa weledi wake katika kuendelea kumsaidia na kumshauri Mheshimiwa Rais...
  9. Abdull Kazi

    Barabara ya Chanika inasubiri hisani ya Dkt. Philip Mpango?

    Sisi wakazi wa Chanika kwa sasa tunapata taabu Sana kwa barabara yetu Kutokea Kona ya Pugu kuelekea Chanika. Barabara hii ilikuwa inaangaliwa mara kwa mara wakati Makamu wa Rais alipokuwa akipita mara kwa mara kwenda kuangalia familia yake. Kwa sasa kiongozi huyo hapiti na hakuna matengenezo...
  10. Waufukweni

    PreGE2025 Dkt. Mpango: Hatutaki Uchaguzi wa vurugu, kuna mtu hajui anampigia Kura nani?

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Dkt Philip Mpango akiwa katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 12 wa Kitaaluma wa Waandishi Waendesha Ofisi Tanzania amewakumbusha Wanachama wa TAPSEA kuwa huu mwaka ni wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani na kuwaambia kuwa hana wasi wasi juu ya nani wanenda...
  11. Ojuolegbha

    Waziri Kombo ampokea Makamu wa Rais Dkt. Mpango Jijini Roma

    WAZIRI KOMBO AMPOKEA MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO JIJINI ROMA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amempokea Makama wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango jijini Roma, Italia ambapo atamwakilisha Rais wa Jamhuri ya...
  12. Waufukweni

    Dkt. Philip Mpango: Tumkumbuke Mungu pale tunapoteswa isivyo haki

    "Napenda niwahakikishie watanzania na wapenda amani na usalama kuwa tayari serikali kupitia Wizara ya Mambo ya ndani imeviagiza vyombo vya dola kuwatafuta, kuwakamata na kuwachukulia hatua kali za kisheria waliohusika na tukio hili na wale wote watakaothibitika kujihusisha na matukio kama haya...
  13. Ojuolegbha

    Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isidori Mpango amewasili katika Viwanja vya Santa Pedro, Vatican tayari kwa kushiriki maadhimisho ya Misa ya Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani Baba Mtakatifu Francisko. Dkt. Mpango katika maadhimisho ya...
  14. Ojuolegbha

    Makamu wa Rais Philip Mpango akiwa na Rais wa Finland Aleksander Stubb katika mazishi ya papa

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Dkt. Philip Isidor Mpango akiwa pamoja na Rais wa Finland Aleksander Stubb katika Mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Hayati Baba Mtakatifu Francisko ambapo Rais Stubb aligusia pia ziara yake ya nchini Tanzania kuanzia 14 Mei...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Dkt. Mpango atoa rai, wazazi kuwaepusha watoto kushabikia vurugu za uchaguzi

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ametoa rai kwa wazazi hususani wakinamama kuwaongoza watoto wao hasa vijana kuacha tabia ya kushabikia vurugu wakati wa kampeni na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu. Makamu wa Rais ametoa rai hiyo mara baada ya kushiriki...
  16. Mindyou

    PreGE2025 Makamu wa Rais Philip Mpango azindua mbio za mwenge, asisitiza kwamba Uchaguzi utafanyika kwa kuzingatia Katiba

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewasha Mwenge wa Uhuru kuashiria uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa Mwaka 2025 katika hafla iliyofanyika Uwanja wa Shirika la Elimu Kibaha mkoani Pwani leo tarehe 02 Aprili 2025. Mpango amesema Serikali ya...
  17. W

    PreGE2025 Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii

    Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amewataka wananchi wa Kijiji cha Kasumo wilayani Buhigwe mkoani Kigoma kuutambua na kuuthamini mchango wa Serikali katika maendeleo ya huduma za kijamii wilayani humo. Makamu wa Rais amesema hayo alipotembelea ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Kahimba...
  18. Just Pray

    Dkt. Philip Mpango: Vijana kama wazazi wenu wapo hai watunzeni

    Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini waliobahatika kuwa na wazazi walio hai kujenga utamaduni wa kuwatunza, kuwalea na kuwaonyesha upendo akimtaja mzazi kama kiungo muhimu katika familia na wakili wa Mwenyezi Mungu hapa duniani. Dkt Mpango ameyasema wakati wa ibada ya misa...
  19. chiembe

    Mzee Philip Mpango, sasa ndio umenuna hukutaka hata kuhudhuria uzinduzi wa wiki ya sheria?

    Uombe kupumzika mwenyewe halafu utununie.
  20. tpaul

    Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

    Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako. Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule...
Back
Top Bottom