Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga ni mwanamke yuko kitofauti kidogo.
Siwezi kusema ni mwanamke ambaye hajipendi lakini haiba yake hadharani inabidi iboreke.
Kama mwanamke lazima apendeze, avutie, na hiyo ndio raha ya kumtazama hata kwenye runinga.
Mama Samia tukimtazama kwenye runinga...
Ohhh nikipita nikimsimamisha mtu ananipuuza/
Ohh nikiongea hata point ni kama vile sisikilizwi/
Ohh nahisi wameniibia nyota...n.k.
Asilimia kubwa ya hawa watu huishia kutapeliwa na dawa za mvuto, huishia kutapeliwa nawaganga feki, huishia kuomba kwa Mungu kwa tatizo wanaloweza kulitatua wenyewe...
Karibuni smart collection ni wauzaji wa suti genuine kutoka Italy na Uturuki
Suti zetu ni slim body
Size 32mpka 40 unapata
Kwa bei ya Tsh 250,000
Utapata koti kizibao na suruali
Tuko kariakoo
Mkoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa
Whatapp 0657710078
Jumamosi nilipata mgeni binamu yangu kutoka Dodoma, ikabidi nimtoe out kubadilishana mawazo, tukiwa out nikakutana na ex-wangu.
Duu akanishangaa sana, mara ya mwisho kukutana naye miaka miwili, duu kumwona tuu akaanza kunimwagia masifa ooh umenawiri sana mambo yako safi.
Tutafutane aah ikabidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.