Maendeleo ya nchi yetu yamekuwa ya polepole sana sababu kuu ni matumizi makubwa ya pesa kwa watu wachache yasiyo ya lazima,vnchi yetu inakadiriwa kuwa na watu 60M. Nni nchi inayokabiliwa na changamoto ya ukosefu wa ajira, umeme, maji, hospitali, elimu bora na vitu vingine vingi ambavyo...