padri charles kitima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Ndugu zangu Watanzania, Huyu Padri Ameonyesha waziwazi kuwa na chuki binafsi na Rais wetu Mpendwa,ameonyesha tangia awali kuwa na kinyongo na utawala huu, ameonyesha kuwa na dharau na maneno ya dharau sana awamu hii. Inaonyesha ni mtu mwenye Ubaguzi wa kidini na mtu aliyejaa kiburi moyoni...
  2. Damaso

    Malalamiko ya Malofa kwa Papal Nuncio

    Ni takribani siku nne, kumekuwa na mjadala mzito umeibuka baada ya taarifa kuwa vijana wawili wanaodai kuandika barua ya malalamiko kwa Balozi wa Vatican (Papal Nuncio), Archbishop Angelo Accatino wakimshtaki Padre Charles Kitima. Tukio hili limeibua maswali makubwa si tu juu ya madai yenyewe...
  3. DuaZaMama

    PostGE2025 Padre Kitima: Sisi tunamiliki Hospitali, waliletwa majeruhi, wakasema wasitibiwe tunataka kuwaona Mochwari

    Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, amesema kuwa wakati wa maandamano kuliletwa majeruhi waliokuwa wameumia, lakini baadhi ya askari walizuia wapewe matibabu wakidai “tunataka kuwaona mochwari.” Ameeleza kuwa, kwa kuwa Kanisa Katoliki linamiliki hospitali...
  4. DuaZaMama

    PostGE2025 Padri Kitima: Walioua watu Oktoba 29 wawajibike wenyewe au wawajibishwe

    “Tunachosikitika mpaka sasa na wanachosikitika Watanzania mpaka sasa, wanachoumia Watanzania mpaka sasa, kinyume na mila na desturi za makabila yote ya Tanzania mpaka sasa ni kutokukiri ukweli kwamba waliouawa wameuawa na nani?.. na kama aliyeua hafahamiki ilikuaje vyombo vinavyozuia mauaji...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PostGE2025 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu akutana na katibu mkuu wa TEC Padri Charles Kitima

    Wameanza kutengeneza njia za maridhiano, ila cheko la Padri Charles Kitima linakitu sana ndani yake =============== Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, katika...
  6. Heparin

    GE2025 Padri Charles Kitima: Tumevuruga Historia ya Uchaguzi wa nchi, si jambo zuri, halitaiponya, litaiangamiza kisiasa

    Kama mwaka 2015 waliweza kupata wabunge, mfano kuna chama kimoja kilifikisha wabunge wa kuchaguliwa zaidi ya 45, iweje mara inayofuata anakuja kupatikana mmoja tu, huoni pale kuna dosari? Tumevuruga historia ya uchaguzi wa nchi, na hili siyo jambo zuri na halitaiponya nchi, litaiangamiza nchi...
  7. Mkalukungone Mwamba

    Askofu Wolfgang Pisa: Padri Charles Kitima atarejea katika majukumu yake hivi karibuni

    Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa amesema hali ya kiafya Padri Charles Kitima, katibu mkuu wa Baraza hilo, inaendelea vyema na atarejea katika majukumu yake hivi karibuni. Padri Kitima alishambuliwa Aprili 30, 2025 na kitu butu kichwani alipokuwa kwenye...
  8. Heparin

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Waraka unaosambaa mtandaoni haujatoka kwetu, tunaomba umma uupuuze

    Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) linakanusha vikali waraka wenye kichwa cha habari "WARAKA WA KICHUNGAJI KUSOMWA KATIKA PAROKIA ZOTE, VIGANGO, NA JUMUIYA NDOGONDOGO ZOTE NCHINI TANZANIA KWA WEEK 10 MFULULIZO". Tunapenda kuwatangazia Waamini na Watanzania wote kwa ujumla, kupuuza...
  9. Mkalukungone Mwamba

    BAKWATA yalaani vikali tukio kushambuliwa Katibu wa TEC Padri Charles Kitima

    Katibu Mkuu BAKWATA Alhaj Nuhu Jabir Mruma amesema Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA), linalaani vikali tukio lililotokea jana la kushambuliwa Katibu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC). Kwa mujibu wa taarifa maalum aliyoitoa leo Alhamisi jioni Alhaj Mruma amevitaka vyombo...
  10. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Padri Charles Kitima: Haki za kisiasa lazima ziheshimiwe Tanzania

    Katibu Mtendaji wa Baraza la Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Padri Charles Kitima anasema viongozi wa dini wanathamini uchaguzi na wanachotaka haki za kisiasa za Watanzania ziheshimiwe. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread...
  11. mwanamwana

    SI KWELI Taasisi ya Padri Kitima inagawa bidhaa za kuchochea mabadiliko ya homoni kwa wanafunzi wa kiume

    Nimekutana na hii taarifa iliyotolewa na The Chanzo ikidai kuwa Padri Dkt. Kitima kupitia taasisi yake ya CK ana mradi wa kugawa bidhaa tajwa hapo juu, Wasiwasi wangu isije kuwa wanamchafua Padri kutokana na maoni ambayo amekuwa akiyatoa katika nyanja za Siasa, Uwajibikaji na Utawala Bora.
  12. M

    Upofu wa Padri Kitima unahitaji neema ya Mungu

    1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro. 2. Padri Bunda anaibia masista wa raia wa Kihispania kwenda kufungua baa na kamari, ila Padri Charles Kitima haoni kukemea anaona Wamasai Ngorongoro. 3. Padri...
Back
Top Bottom