october 29

October 29 is the 302nd day of the year (303rd in leap years) in the Gregorian calendar; 63 days remain until the end of the year.

View More On Wikipedia.org
  1. Troll JF

    Hakuna mwenye uwezo wa kuandamana nchi hii baada ya show ya October 29 Heche Acha Utapeli

    Heche anataka kuhamasisha tena watoto wa watu wakapigwe kete mtaani kisa Mhalifu na mropokaji Tundu Lissu ambaye anarekebishwa Ukonga. Hakuna Mtanzania atatoka tena baada ya kuoneshwa intro October 29 kuwa Tanzania haichezewi hata kidogo! Kuna funzo kubwa limepatikani hatuwezi kupoteza maelfu...
  2. Mshana Jr

    PostGE2025 Kosa la Oktoba 29, 2025 tutalijutia sana

    HUU SIO MKUTANO/KIKAK CHA CCM Hawa ni waalimu wa Shule za Msingi na Sekondari kutoka Mikoa mbalimbali ya Tanzania. Ni wale waalimu wafia Chama( CCM DAMU), wengi wao walisimamia uchafuzi wa October 29. Jtatu na Jnne ya week hii waliitwa Dodoma kwenye Mafunzo. Soma kisa chote hapa chini.👇...
  3. Etwege

    Kumteua Anjela Kizigha ni wazi dozi ya Oktoba 29 haikukuingia vizuri

    Mtu huyu ni fisadi na amelalamikiwa na majeshi yetu na kila mtanzania anajua lakini wewe tuliyekupa dhamana ya kupambana na ufisadi unaonekana kumpenda sana huyu mtu na unazunguka nae kila unapoenda, kana kwamba haitoshi umeamua kumteua ubunge ili umpe uwaziri aendelee kufanya ufisadi wake kwa...
  4. Samia atosha tukutane2030

    Wote wanaolalamikia serikali kuhusu Oktoba 29 hao wakamatwe. Ndio waliowatuma vijana kufanya uasi na uharibifu wa mali za umma

    Rais Samia umekosea sana kutoa msamaha kwa wahalifu wa October 29. Unadhani utapendwa na watu wote? Unadhani wapinzani watabadili mtizamo wao juu yako? Wewe ndiye uliwapa kupumua wapinzani baada ya kibano kitakatifu cha miaka 6 mfululizo bila kupumua. Ulipoingia ndipo ukawapa uhuru, hata...
  5. Mshana Jr

    Leo ni siku maalum ya maombi ya kumbukumbu ya mauaji ya kukusudia Oktoba 29, 2025

    Leo, Jumapili, Machi 29, 2026, inatumika kama siku maalum ya maombi na kumbukumbu ya kitaifa kwa ajili ya watu waliouawa, waliojeruhiwa, au kupotea wakati na baada ya matukio ya Oktoba 29, 2025 nchini Tanzania. Muktadha wa Kumbukumbu Hii Tukio la Msingi: Oktoba 29, 2025, ilikuwa siku ya...
  6. baz kaiza

    Waliokufa October 29 ni Mifungo ila wakifa viongozi kama mawaziri ndo binadamu. Ni mda wananchi Maskini kuacha Shobo na Serikali ya awamu 6

    Wananchi maskini ni mda wa kuacha shobo na awamu ya 6 watoto wenu mliona walivyotandikwa risasi za kutosha na kufa kama kuku hiyo yote wananchi au watoto wa maskini kutimiza uwajibu wao kikatiba. Lakini watoto wenu wanasema walikua vibaka,wezi, majambazi...
  7. M

    Ya Oktoba 29 ndio yashapita hayo

    Dah
  8. R

    Imeanzishwa Media ya kuwakumbuka waliokufa Oktoba 29, 2025

    By Hilda Newton Imeanzishwa media ya kuwakumbuka ndugu zetu waliouwawa Tarehe 29.10.2025. Media hii itapost kumbukizi zote za uovu WOTE wa Serikali. Media inatwa @Mo29Tv
  9. Bushmamy

    Arusha; Walioiba na kuchoma Moto kituo cha mafuta cha Panone Oktoba 29 waanza kufa mmoja baada ya mwingine

    Vijana ambao wengi ni boda boda na wengine wasio boda boda katika Wilaya ya Arumeru wameanza kufa Kwa vifo vya ajabu ajabu hususani kupasuka vichwa ghafla na vifo vingine visivyoeleweka. Tukio hilo linajiri baada ya mmiliki wa kituo Cha mafuta Cha Panone kilichochomwa moto na kuibiwa vitu mbali...
  10. U

    Rais Samia, kama unataka kuiponya nafsi yako na kuliponya taifa hili, basi achana na Tundu Lissu na Josephat Gwajima!

    Tundu Antipasy Mughway Lisuu 1. Achana na upuuzi wa mlichokiita "kesi ya uhaini". Ni suala la uamuzi wa dakika moja, utajiokoa wewe mwenyewe na kuliokoa taifa hili na maafa yaliyo mbele yako 2. Tunajua fika kuwa mmeshajaribu kumrubuni kwa kila aina ya ushawishi wa rushwa: fedha, cheo...
Back
Top Bottom