nyamagana

Nyamagana District is one of the seven districts of the Mwanza Region of Tanzania. It is bordered to the north by Ilemela District, to the east by Magu District, to the south by Misungwi District and to the west by the Mwanza Bay of Lake Victoria. Part of the region's capital, the town of Mwanza, is within Nyamagana District. The district commission's office is scheduled to be re-located to the Mkolani area of Mwanza town, but currently it is still in the old city hall in the centre of town.
As of 2012, the population of the Nyamagana District was 363,452.

View More On Wikipedia.org
  1. JOMI

    Nafasi za kazi kwa walimu

    VICTORIAN GIRLS HIGH SCHOOL, Luchelele Nyamagana District, P.O.BOX 3145, Mwanza Tanzania, Tel: +255 754 446624, +255 743 475384, + 255 757 642296 Email: victoriangirls2019@gmail.com Victorian Girls High School is a private school which is located at Luchelele near St. Augustine University...
  2. B'REAL

    Panga pangua ya machinga Buhongwa

    Habari wanajavini, leo ilikuwa siku rasmi ya kuwapanga machinga Mwanza, wilaya ya Nyamagana kata ya Buhongwa. Muitikio ulikuwa mkubwa wa wamachinga kufika mapema sana.
  3. P

    Rais Samia kamaliza kabisa leo Mwanza, ameahidi kutoa kipaumbele kwa vijana

    VIJANA TUKISHINDWA KUFANIKIWA KATIKA KIPINDI HIKI CHA MATENDO YA MAONO HAYA YA MH RAIS MAMA SAMIA, BASI TENA. Na: Philipo Mwakibinga. Leo nimepata bahati ya kuudhuria Kongamano la Mh Rais wa JMT na Vijana wa Tanzania kupitia Vijana wa Wakanda ya Ziwa lililofanyika katika uwanja wa Nyamagana...
  4. Elius W Ndabila

    Rais Samia ametunyoshea kidole vijana kwa kuwa hatueleweki

    Leo Rais ametunyoshea mkono vijana kwa kuwa hatueleweki. Hatuna mipango. Amesema kuwa Vijana wamekuwa wabeba maono/ Mabegi wa watu. Hatuna dira kama Vijana hata sera ya tangu 2007 haina maboresho yoyote. Nikiri kuwa Mimi ni sehemu ya tulioshiriki kuandaa rasimu ya Vijana ambayo sasa ni miaka 6...
  5. technically

    Rais Samia, Mwanza: Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya utatoka hivi karibuni, wote ni vijana. Mkipata fursa hizi mkafanye kama ilivyotarajiwa

    Rais amesema Leo kuwa Ma-DC wote wapya watakuwa vijana maana karibuni anataka kufanya mabadiliko makubwa na wote watakaochukua nafasi ni vijana. Kama ni kweli hii basi Natoa pongezi kwake. ======== "Vijana tunaomba mjitambue kuwa niyi vijana ndio wenye maoni ya taifa hili kwa sasa na karibu...
Back
Top Bottom