Aibu! John Heche adai mkuu wa wilaya Nyamagana anachangisha 10k kila mzazi kujenga madarasa

njaakalihatari

JF-Expert Member
Feb 12, 2019
4,084
8,663
Kupitia account yake ya Twitter, Heche anasema mkuu wa wilaya ya Nyamgana, Mwanza kaamrisha wazazi wenye watoto shule za Mongela na mlimani kulipa tshs 10,000 kila mmoja kwa ajili ya ujenzi wa madarasa.

Tuseme tu ukweli kama nchi tushafeli ni propaganda kutwa na kufanyana wajinga tu.

Haya huyo mtembelea VX katoa hiyo amri kesho utasikia tozo katika wilaya ya nyamagana imejenga hospital 4000, madarasa 12000 blah blah.

It's a shame kutawaliwa na watu wenye maarifa madogo jinsi ya ku utilise utajiri wa asili wa nchii wanawaza kukamua na kuibia raia na kuwatia stress tu.

Wanachowaza wao kutanua kwenye ma VX huku wakiwaona wanuka jasho kama vikaragosi
 
Huyu John Heche msimuamini sana. Mama Amina Makilagi, DC mnyenyekevu wa Nyamagana (Mwanza City) hawezi kuamrisha watu wachangie. Huyu Mama amekuwa akihangaika huko na huko kujenga madarasa sehemu mbalimbali. Hata kwenye mtaa nilio na kibanda changu ameishakuja kuhamasisha ujenzi wa vyumba zaidi ya kumi vya madarasa na yeye akishika jembe na sululu kuchimba misingi kwa siku nzima.

John Heche aache kumsema vibaya Mama Amina Makilagi kwani haya madarasa anayojenga yatamsaidia hata mke wake ambaye ni Mwalimu mwajiriwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwa na sehemu nzuri ya kufanyia kazi.
 
Huyu John Heche msimuamini sana. Mama Amina Makilagi, DC mnyenyekevu wa Nyamagana (Mwanza City) hawezi kuamrisha watu wachangie. Huyu Mama amekuwa akihangaika huko na huko kujenga madarasa sehemu mbalimbali. Hata kwenye mtaa nilio na kibanda changu ameishakuja kuhamasisha ujenzi wa vyumba zaidi ya kumi vya madarasa na yeye akishika jembe na sululu kuchimba misingi kwa siku nzima.

John Heche aache kumsema vibaya Mama Amina Makilagi kwani haya madarasa anayojenga yatamsaidia hata mke wake ambaye ni Mwalimu mwajiriwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwa na sehemu nzuri ya kufanyia kazi.
Kwani hio michango haipo nchi hii? Unatetea ujinga? Muchango ipo sana hapa nilipo tunachangishwa tujenge zahanati, sio huko nyamagana tu wacha kutetea ujinga mkuu
 
Huyu John Heche msimuamini sana. Mama Amina Makilagi, DC mnyenyekevu wa Nyamagana (Mwanza City) hawezi kuamrisha watu wachangie. Huyu Mama amekuwa akihangaika huko na huko kujenga madarasa sehemu mbalimbali. Hata kwenye mtaa nilio na kibanda changu ameishakuja kuhamasisha ujenzi wa vyumba zaidi ya kumi vya madarasa na yeye akishika jembe na sululu kuchimba misingi kwa siku nzima.

John Heche aache kumsema vibaya Mama Amina Makilagi kwani haya madarasa anayojenga yatamsaidia hata mke wake ambaye ni Mwalimu mwajiriwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwa na sehemu nzuri ya kufanyia kazi.
Tozo huko nyamagana zinafanya kazi gani mkuu au zinajaza mafuta ya ma vx ya watawala wa nyamagana?

maana sehemu nyingine madarasa hadi 1000 yashajengwa na tozo na wanaofundisha ni misukule sababu hamna ajira mpya za walimu
 
Nilishawaambia kuhusu swala la hizi tozo. Tutaelewa kilichompa twiga shingo refu.
 
Kwani hio michango haipo nchi hii? Unatetea ujinga? Muchango ipo sana hapa nilipo tunachangishwa tujenge zahanati, sio huko nyamagana tu wacha kutetea ujinga mkuu
Tozo hazisaidii nyamagana? Hela za covid?which is which mbona mauongo mengi?
Ni hela gani zinazojenga madarasa?
 
Huyu John Heche msimuamini sana. Mama Amina Makilagi, DC mnyenyekevu wa Nyamagana (Mwanza City) hawezi kuamrisha watu wachangie. Huyu Mama amekuwa akihangaika huko na huko kujenga madarasa sehemu mbalimbali. Hata kwenye mtaa nilio na kibanda changu ameishakuja kuhamasisha ujenzi wa vyumba zaidi ya kumi vya madarasa na yeye akishika jembe na sululu kuchimba misingi kwa siku nzima.

John Heche aache kumsema vibaya Mama Amina Makilagi kwani haya madarasa anayojenga yatamsaidia hata mke wake ambaye ni Mwalimu mwajiriwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwa na sehemu nzuri ya kufanyia kazi.
Kama vile umetumwa. Hujaelewa kitu.
 
Kupitia account yake ya twitter heche anasema mkuu wa wilaya ya nyamgana mwanza kaamrisha wazazi wenye watoto shule za mongela na mlimani kulipa tshs 10,000 kila mmoja kwa ajili ya ujenzi wa madarasa

Tuseme tu ukweli kama nchi tushafeli ni propaganda kutwa na kufanyana wajinga tu
Haya huyo mtembelea vx katoa hiyo amri kesho utasikia tozo katika wilaya ya nyamagana imejenga hospital 4000,madarasa 12000 blah blah

Its a shame kutawaliwa na watu wenye maarifa madogo jinsi ya ku utilise utajiri wa asili wa nchii wanawaza kukamua na kuibia raia na kuwatia stress tu

Wanachowaza wao kutanua kwenye ma vx huku wakiwaona wanuka jasho kama vikaragosi
Bado tozo
 
Waache kumchonganisha Raisi wetu mpendwa na Wananchi.
Kesho utamsikia huyo mtembelea vx wa nyamagana kwamba tozo katika wilaya yake imejenga madarasa 1000 na zahanati 500
Huku akimshukuru rais kwa kuwajali wanuka jasho
Dah maskini hii nchi ina potential ya kuwa nchi nzuri sana bahati mbaya ina watawala wa hovyoo kupita kiasi ma propaganda ya kitoto kila siku
 
Kwani tangu lini Lissu aliwatetea watanzania zaidi ya kutetea maslahi yake na familia yake.
Ebu taja orodha ya yale ambayo wewe umekwishamuona Lissu akitutetea watanzania!
Wewe nyumbu huna unachojua kuhusu history ya Tundu Lisu ,
Uliza wanaojua jinsi alivyotetea wananchi waliozurumiwa ardhi na mkoloni mweusi na kupewa wawekezaji
 
Huyu John Heche msimuamini sana. Mama Amina Makilagi, DC mnyenyekevu wa Nyamagana (Mwanza City) hawezi kuamrisha watu wachangie. Huyu Mama amekuwa akihangaika huko na huko kujenga madarasa sehemu mbalimbali. Hata kwenye mtaa nilio na kibanda changu ameishakuja kuhamasisha ujenzi wa vyumba zaidi ya kumi vya madarasa na yeye akishika jembe na sululu kuchimba misingi kwa siku nzima.

John Heche aache kumsema vibaya Mama Amina Makilagi kwani haya madarasa anayojenga yatamsaidia hata mke wake ambaye ni Mwalimu mwajiriwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kuwa na sehemu nzuri ya kufanyia kazi.
UVCCM siku zote mnateteaga upuuzi wa viongozi
 
Back
Top Bottom