no reform

The Constitutional Reform Act 2005 (c. 4) is an Act of the Parliament of the United Kingdom, relevant to UK constitutional law. It provides for a Supreme Court of the United Kingdom to take over the previous appellate jurisdiction of the Law Lords as well as some powers of the Judicial Committee of the Privy Council, and removed the functions of Speaker of the House of Lords and Head of the Judiciary of England and Wales from the office of Lord Chancellor.

View More On Wikipedia.org
  1. Allen Kilewella

    Waganda waitaka No reform No election ya CHADEMA

    Maelfu ya waganda wanaomuunga mkono mgombea wa chama Uganda National Uñity platform (NUP) Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu kama Bobi Wine, wameanza kuhamasishana kugomea Uchaguzi wa nchi hiyo mwakani. Waganda hao wanaona ni bora kuiga Kampeni ya No reform No election ya CHADEMA. CHADEMA...
  2. Sifi Leo

    Je, Tume itafika Gerezani Ukonga kumuhoji Tundu Lissu? Kwanini Rais hukuwaita wakwambie no reform no election why?

    Je hii tume itaenda muuliza Mh Tundu Lissu aliposema tutakinukisha alikuwa na maana Gani? Je, itaenda kumuuliza aliposema kitanuka alikuwa na maana Gani? Je, wataitwa wakina Lissu kumuuliza Nini maana no election no reform? Wataenda muuliza ana shida Gani na tume ya uchaguzi? Je itawapata...
  3. K

    Dhumuni ni lilelile: No Reform, No Election

    Hatua ya mwanzo ya kufanya marekebisho, 'Reform' Samia alikaidi, alidharau, alighaili; ikapita. Sasa tunaelekea kwenye hatua ya pili ya kutokuwepo uchaguzi, 'No Election', hapo Oktoba 29. Sasa tutaanzia wapi kuulizana maswali wakati kila kitu kilikuwa wazi toka mwanzo? Uchaguzi wa viongozi wa...
  4. technically

    Kumbe NO REFORM NO ELECTION ulikuwa ni mtego ?

    Nimepewa taarifa muhimu na mtu muhimu Sana ndani ya TISS Kwamba no reform no Election ulikuwa ni mtego kwa Samia baada ya kushauriwa apumzike 2025 kugombea. Sasa anasema kweli kanasa kwenye mtego huo na jamaa anasisitiza Hana chake baada ya mwezi huu kuisha. Anasema Lissu na Mange Sasa Tesha...
  5. Hance Mtanashati

    Viongozi wa kiislamu wanaturudisha nyuma sana kwenye No reform No election

    Nimewasikiliza viongozi wa kiislamu kadhaa kuanzia Nurdin Kishki, Mazinge, Sule na wengineo wengi ambao sio maarufu . Cha ajabu hakuna ninayemsikia akisapoti suala la No reform No election, hakuna anayepiga kelele suala zima la utekaji na muenendo wa serikali kiujumla badala yake wamekuwa ni...
  6. K

    Mchungaji Genius aelezea kuhusu No reform no election!

    Chadema ndiyo chama peke cha upinzani!
  7. K

    GE2025 No Reforms no Election imeshafanikiwa

    Imefanikiwa kutoa elimu na Watanzania wote sasa wanajua ukweli kwamba chaguzi za Tanzania kwa sasa sio za huru na haki. Na wanajua mpaka sheria ziboreshwe hakuna chaguzi za huru na haki. Sasa wanajua Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani. Hiyo siku ya uchaguzi hata watu wakikaa nyumbani...
  8. K

    ACT wameyataka wenyewe. No reform no Election

    Tulishasema kwenda kwenye uchaguzi bila reform ni ujinga sasa CCM A inazuia hata CCM B🤦🏾‍♂️
  9. JOHNGERVAS

    No Reforms no Election ilianza zamani sana na CCM ya sasa yaani TANU

    Wakati kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ikiendelea kuunguruma mahakamani, @khaan_mbarouk ametaka kujua muktadha mzima wa kesi ambapo mkutubi @farhankihamu_jr ameamua kumrudisha kwenye historia ya kudai mabadiliko hadi TANU kushiriki uchaguzi mkuu wa kwanza Tanganyika.
  10. U

    Je, ni sababu zipi zilizosababisha kampeni ya No Reforms No Election kupungua nguvu na kupoteza mvuto ndani ya kipindi cha muda mfupi ?

    Wajuzi wa sayansi ya siasa karibuni
  11. Idugunde

    Watia nia wa CCM mliokatwa na kupigwa chini acheni kulalama ovyo. Huu ni wakati wa ninyi kuunga mkono No reform no election

    Taifa hili lingekuwa na katiba bora ambayo imelenga kulinda maslahi ya taifa hili haya mnaolalamikia yasingekuwepo Mara sasa hichi ni chama cha kisulutani, mara kuna rushwa ya ngono oh mara mtu.kawa Diwani viti maalumu kwa miaka 30 n.k Ungeni mkono no reform no election ili taifa. Liweze kukaa...
  12. Crocodiletooth

    No reform no election,as a pandemic mental iliness!

    Kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu sana kupigania jambo hasa la kimfumo,likachukuliwa na likawa na nguvu ya kufanyiwa kazi,nje ya vyombo vya kimaamuzi kama bunge la JMT, Napita zangu!
  13. Kimbesa11

    Leo ni Rasmi Sasa tunasema: Rest in peace no reforms no election

    Tunashuhudia utekelezaji wa Katiba ya Taifa letu kwa 100% Hongera sana viongozi wetu. Mabeberu walishindwa hata ku-edit slogan yao ya kibeberu kwa kiswahili. OCTOBER TUNATIKI ✅ ✅
  14. chiembe

    GE2025 No Reform, No Election yapingwa kila kona, mchungaji ampiga marufuku Heche kuongelea mada hiyo msibani Arusha, Heche aufyata

    Hakika watanzania wameamka, wameona kampeni hiyo ni utapeli wa kisiasa wenye nia ya kuvuruga amani ya nchi. Baada ya kauli hiyo Heche na Golugwa walionekana kutahayari kama wanataka kukimbia
  15. SweetyCandy

    Chadema wapo kwenye no reform no election

    https://www.facebook.com/share/r/16o6d5w3Gq/ Chadema wangeshinda ingekuwa sawa ila hawashindagi
  16. K

    No reform no Election ndiyo msemo wa taifa 2025

    Hakuna cha 4R Hakuna cha miradi Hakuna kingine chochote nchi nzima na hata diaspora ujumbe na Watanzania wanahitaji mabadiliko ya sheria za nchi na kuanza na sheria za chaguzi. Bila hivyo Watanzania hawataona tena kama chaguzi ni za huru na haki hata kama watawala watalazimisha huu ndiyo ukweli
  17. chiembe

    JF itulinde wanaChadema, mada za CCM zimezidi, za kwetu zinapotea ndani ya sekunde kwa kuwa zinakosa wachangiaji, No reform inaweza kusahaulika

    Nashauri JF wabalansi ili na sisi tupate nafasi, ukurasa mzima unajadili CCM, mbalansi angalau na sisi tusisahaulike
  18. D

    Ukweli Fikirishi: Nani Anataka Mabadiliko na Amani ya Kweli kati ya Wanaosema No Reform No Election na Wale Wanaosema Watalinda kura?

    Kuna vitu wala havihitaji kuwa la saba C kuving'amua. Huyu anasema no reform no election akimaanish bila mabadiliko ya kweli hakuna uchaguzi na hawa wanaosema watalinda kura.. Hivi unalindaje kura kwa mfano? Ni njia gani watazitumia? Halafu cha ajabu watu hao ni watz, wanajua context yote. Havana
  19. G

    PreGE2025 POTOSHI John Heche avunja ukimya: Akubali kujiunga na uchaguzi, asema “No Reforms” haina maana tena

    Baada ya ukimya wa muda mrefu na msimamo wa kutoshiriki uchaguzi bila marekebisho ya kisiasa, hatimaye mwanasiasa John Heche ameonesha mwelekeo mpya. Kupitia mahojiano maalum, Heche amekiri kuwa harakati za “No Reform No Election” zimepoteza mwelekeo na hazina maana tena katika hali ya sasa ya...
  20. Mto wa mbu

    Hali inatisha notes za fedha zinapigwa chata ya No reform no election

    Hii ni Nini jamani, au ndo civil disobedience, na vijana Sahivi wameapa kuzipiga chata notes za TSH chapa ya no reform no election.
Back
Top Bottom