Wakuu salam,
Nina umri wa miaka 27, na uzoefu wa kusafirisha abiria.
Nina leseni ya daraja C1 na barua ya uwakiki ipo.
Sasa wakuu, niko bench, maisha yameanza kuninyoosha na harakati sizipati… baada ya yote, niseme shida yengu nini?
Ikiwa kuna nafasi yoyote ya udereva, PSV, shule, kampuni au...