namba ya nida

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bei rahisi Electronicks

    Uliza chochote kuhusu Passport na Namba ya NIDA

    PASSPORT NINI Ni hati rasmi ya kusafiria inayotolewa na serikali ya nchi, ambayo hutumika kuthibitisha utambulisho na uraia wa mtu, ikimruhusu kusafiri kimataifa na kuingia/kurudi nchini kwake, ikifanya iwe chombo muhimu cha kuvuka mipaka na kuomba ulinzi wa kibalozi nje ya nchi. Vigezo &...
  2. nusuhela

    Namba ya NIDA imefungiwa

    Naomba mwongozo wa namna ya kuandika barua ya kuomba namba yangu ya NIDA kufunguliwa ambayo nitamtumia ndugu yangu atayeiwasilisha ofisi za NIDA ambako nilijiandikishia ili waweze kuunblock namba yangu pamoja na kumpatia kitambulisho. Sababu za kufungiwa nimeambiwa ni kutokuchukua kitambulisho...
  3. MNEKI

    Yani kwa kifupi Kama una namba ya NIDA oktoba UTATIKI upende Usipende

    Hiki ndio tunachomaanisha tunaposema mfumo umeunganisha INEC=NIDA=CCM
  4. Sky Eclat

    Bila kadi na namba ya NIDA huwezi kuuza wala kununua katika serikali ya CCM

    Ukitaka kununua nyumba, kiwanja, shamba, gari na hata kupata ajira au elimu ya juu ni lazima uwe na vitambulisho ikiwemo kadi na namba ya NIDA. Maana yake ni kwamba ukishakua na kadi ya NIDA wewe ni mpiga kura wa CCM utake usitake. Ninakumbuka Ufunuo wa Yohana kuwa siku za mwisho hutaweza...
  5. Wakusoma 12

    Yeyote anayejua hatua za kufuata ili kurudisha matumizii ya namba ya NIDA iliyositishiwa matumizi

    Wakuu, hitaji hili ni la muhimu sana, msaada maana sikuweza kuchukua kitambulisho maana nilihamia nje ya Dar na sikupata ujumbe wa kwenda kuchukua.
  6. PathwayzZote

    Msaada wa namna ya kuirudisha namba ya NIDA iliyofungwa

    Wakuu habari 💪 Bila shaka humu wapi wahanga kibao wa kufungiwa namba ya nida na hawa authority 😮‍💨 Na pia kuna wataalamu wa mambo humu🫵 Tuliofungiwa tufanyaje ili tuweze kuzirudisha namba za NIDA Zilizofungwa? Wamenifungia kwa sababu ya kitokuchukua kitambulisho Na ukiangalia mimi niko mbali...
  7. Wakusoma 12

    Ni hatua zipi za kufata ili namba ya NIDA iliyofungiwa iwe accessible tena.

    Je kwa zile namba ambazo Bashungwa amezizuia kutokana na kutochukua vitambulisho ni Nini Cha kufanya ili ziwe active tena.
  8. N

    Binafsi sina namba ya NIDA

    Wakuu mi binafsi sina namba ya NIDA lakin nina passport ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na nimeshasafiri nchi zaidi ya 35. Asa wakuu wa jf mnaniweka kwenye kundi gani? Mnipe mchongo wa kupata namba ya NIDA online mana mi mambo ya kupanga foleni kusubiri masaa siwezi kabisa.
  9. Scared

    Wakuu hivi kitambulisho Cha nida unakipataje baada ya kupata namba ya nida

    Wakuu naomba kujua nawezaje kupata kitambulisho Cha nida kwa nimeshapata namba Sasa sijajua utaratibu wa kukipata hiki kitambulisho Cha nida sababu namba nilizojaza kwenye fomuya kuombea nida namba Sasa hivi sizitumii baada ya kupata nida namba yangu Sasa nilikua nauliza nitapataje ujumbe wa...
  10. Zekoddo

    Msaada: Nimejiandikisha NIDA miezi 2 iliyopita mpaka sasa hakuna kitu. Nawezaje angalau kupata hata namba tu?

    Wakuu, Nahitaji namba ya NIDA tu maana nimejiandikisha miezi miwili imepita sasa, naweza kuipata kupitia Online service baada ya kuingiza taarifa zangu? Msaada tafadhali. NIDA Tanzania
  11. Li ngunda ngali

    Msiwe mnaogopa kujaribu. Jana luku ilikata nikaingiza namba za Nida ukawaka

    Ama kweli kujaribu siyo kushindwa. Jana ndugu zangu luku ilikata na kwa bahati pekee nikaamua nijaribu kuingiza namba zangu Nida na nilistaajabu umeme ukawaka! Tusiogope kujaribu.
  12. Nangose 1

    Msaada: Kuna namna nyingine ya kupata namba ya NIDA bila ya kwenda ofisini kwao?

    Eti wakuu, Kuna mtu humu amefanikiwa kupata namba ya NIDA kwa kujiandikisha online tofauti na kwenda kabisa kwenye ofisi zao? NIDA Tanzania
  13. A

    KERO NIDA kuna changamoto kuangalia namba ya NIN mtandaoni

    Kuna shida ya kuangalia online namba ya NIDA hawaleti namba inasababisha changamoto. Tafadhali IT wa NIDA rekebisheni hili
  14. ERICKY_TZ255

    Tangu 2018 sijapata namba yangu ya NIDA. Shida ni nini?

    Jamani naombeni ushauli niache kufatilia namba yangu ya NIDA au nikaze moyo toka nimemaliza usajili mwaka 2018 mpaka leo namba yangu haijatoka, ivi shida huwa ni nini?
  15. ERICKY_TZ255

    Namba ya NIDA hutolewa baada ya muda gani?

    Naomba kuuliza huwa ni baada ya muda gani kupata namba yako ya NIDA baada ya kumaliza kupiga picha na kukamilisha usajili?
  16. I

    Nawezaje kujua taarifa nilizojaza kwenye fomu kipindi naitafuta namba yangu ya NIDA?

    Hivi nawezaje kujua taarifa nilizo jaza kwenye form kipindi naitafta namba yangu ya NIDA baada ya kupata namba hiyo?
  17. J

    NIDA badilikeni na toeni huduma kwa weledi

    Habari za asubuhi Wanajamvi leo Nina jambo na mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa inashindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa kuweka mkazo mkubwa kwenye mgawanyo wa majukumu kwamba kama una changamoto kuhusu kitambulisho cha taifa unatakiwa uende kwenye mkoa...
Back
Top Bottom