nafasi za ajira

  1. mwangaza africa

    JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira za muda 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP)

    kumbuka malipo hayo yanajumuisha chakula, malazi na usafiri === Project Title: 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP) Organization: Mwangaza Africa Job Title: Civic and Voters Education Field Officers (250 positions) Salary: Tsh 4,530,000/= (2,700,000 for form six) for 3 Months Job...
  2. laurentie

    JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira Arusha (Sales ladies)

    BLACKHORSE AFRICA ni kampuni mpya iliypo arusha inatafuta wafanyakazi idara ya mauzo wanahitajika wafanyakazi wa kike kwa ajili ya mauzo sifa za waombaji Elimu ya chuo diploma masoko na mauzo Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu Awe mkazi wa Arusha Awe na uzoefu kwenye kampuni ya...
  3. I AM BANE

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina uzoefu wa miaka minne

    Habari zenu wadau, Mimi ni kijana mwenye Elimu ya level ya SHAHADA nimefanya kazi kwenye MICROFINANCE kwa miaka 4. Nina ujuzi na uzoefu kwenye nafasi zifuatazo Loan Officer, Group leader/ Loan supervisor, Loan Recovery. Nahitaji kazi katika nafasi moja kati ya hizo hapo juu. Ahsante.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Blog za uhakika kwa ajili ya matangazo ya ajira

    Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu. Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
  5. G

    JamiiForums Tanzania MSAADA,USIPITE BILA KUSOMA

    Nasaka job, My contacts wakuu 0621863980
  6. MAUBIG

    JamiiForums Tanzania Kitambo kimepita nafasi za kazi EWURA

    Habari wadau, Kuna nafasi EWURA walitangaza mnamo tarehe 22 NOV mwaka jana, sasa imekuwa ni kitambo kidogo kimepita, kama kuna mdau anataarifa ya zile nafasi kama washaajiri au mchakato unaendelea. Nafasi hizo ni kama zinavyoonekana hapo chini Post Title: Technical Manager Electricity One...
Back
Top Bottom