kumbuka malipo hayo yanajumuisha chakula, malazi na usafiri
===
Project Title: 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP)
Organization: Mwangaza Africa
Job Title: Civic and Voters Education Field Officers (250 positions)
Salary: Tsh 4,530,000/= (2,700,000 for form six) for 3 Months
Job...
BLACKHORSE AFRICA ni kampuni mpya iliypo arusha inatafuta wafanyakazi idara ya mauzo
wanahitajika wafanyakazi wa kike kwa ajili ya mauzo
sifa za waombaji
Elimu ya chuo diploma masoko na mauzo
Awe na uzoefu usiopungua miaka mitatu
Awe mkazi wa Arusha
Awe na uzoefu kwenye kampuni ya...
Habari zenu wadau,
Mimi ni kijana mwenye Elimu ya level ya SHAHADA nimefanya kazi kwenye MICROFINANCE kwa miaka 4. Nina ujuzi na uzoefu kwenye nafasi zifuatazo Loan Officer, Group leader/ Loan supervisor, Loan Recovery.
Nahitaji kazi katika nafasi moja kati ya hizo hapo juu.
Ahsante.
Habari wadau. Nina swali kichwani bado sijalipatia jawabu, naombeni mchago wenu.
Zipi ni blog 10 safi Tanzania ambazo zipo updated sana kila siku na zinatoa matangazo ya ajira ya uhakika?
Habari wadau,
Kuna nafasi EWURA walitangaza mnamo tarehe 22 NOV mwaka jana, sasa imekuwa ni kitambo kidogo kimepita, kama kuna mdau anataarifa ya zile nafasi kama washaajiri au mchakato unaendelea. Nafasi hizo ni kama zinavyoonekana hapo chini
Post Title: Technical Manager Electricity One...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.