Takwimu ziko wazi kipindi Nyerere anapigania uhuru asilimia kubwa ya watanzania walikuwa wajinga
Kuwatetea kundi lenye watu wajinga wanaijiita machawa au mazuzu ni gharama kubwa sana.
Nyerere alifanya kazi ngumu sana kuongoza kundi la watu wajinga kuhusu uhuru
Aliutumia Kwa bidiii kipaji...
Ni vigumu sana kuzungumzia Chama Cha Mapinduzi pasipo kumhusisha Mwl Nyerere
Hii ni kwasababu Chama Cha Mapinduzi kinaishi kwa kufuata misingi ya Mwl Nyerere
Mambo yote aliyoanzisha Mwl Nyerere hakutaka kuona yakibadilishwa
Raisi yeyote yule aliyemfuata na akajaribu kubadilisha basi alijikuta...
Tatizo na sababu za kuutaka muungano, ilianzia kwenye maasi ya jeshi wakati huo 19/1/1964.
Jeshi liliasi, na Nyerere akijificha kigamboni kunusuru maisha yake.
Miezi mitatu tu baadae akamshawishi hayati Karume Rais wa Zanzibar wakati huo, waunganishe nchi.
Nyerere aliona atakuwa salama kama...
Mtu makini na mwenye maono asingeweza kuiua Tanganyika kwa kufukia fukia mambo kwa koti la muungano.
Kwenye muungano Nyerere alichemka big time, matokeo yake anatupa taabu vijana kuurudisha muungano wetu. Hata waliopo kwenye madaraka tukiwahoji hawana cha maana cha kujibu zaidi wanatupia mpira...
Kuna haja ya kuendelea kulinda Amani ya Taifa la Tanzania, Matatizo yanayotokea ni mkono unateleza bahati mbaya na kupelekea chupa ya Taifa kupasuka
Tanzania ni Taifa bora sana duniani hasa pale linapolinganishwa kinidhamu, watu wake ni wapole na wakaribu na hii ndiyo sifa kubwa tuliyo nayo...
amani
bahati
bahati mbaya
chupa
faida
haja
kuendelea
kulinda
kulinda amani
kutumia
machafuko
matatizo
mbaya
mkono
mwlnyerere
njia
nyerere
taifa
tanzania
vita
Watanzania tunapotembelea nchi za kigeni na kuwaeleza asili yetu, wanafurahi sana nakututania wajukuu wa Mwl Nyerere na hii ndiyo sababu kubwa inayonifanya niheshimu sana nchi ya Tanzania na nishindwe kamwe kukosea adabu Chama Cha Mapinduzi cha Babu yetu Mwl Nyerere
Ni vigumu sana kutamka Chama...
GT
Haya sasa wale wajinga wajinga ambao hamtaki kutamka.neo haki sikilizeni hii.
Kiufupi HAKI ni matendo na AMANI ni Matokeo
Mfano Heshima ni matokea lazima kuna matendo lazima uyafanye kupata heshima
Emmanuel Nchimbi amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kitaendelea kupambana dhidi ya maadui watatu aliowatangaza Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ya ujinga, maradhi na umaskini kwa nguvu zote.
Dk Nchimbi ambaye ni mgombea mwenza wa urais wa CCM amesema hata Rais Samia Suluhu Hassan anaishi...
Nyinyi WATIAMA, Niambieni Baada ya Hayati Magufuli Kufa, kitu gani Samia kawafanyia?.
Barabara ni Magufuli.
Hospital ni Magufuli.
Ujenzi wa Chuo Kikuu ni Magufuli.
Magufuli angalau alijitajidi sana, angekua hai Maji yangekuwepo 24hrs.
Miaka Minne ya Samia, Hata Maji safi na Salama yamemshinda...
Habari wanaJF wenzang
Mwl Julius K. Nyerere aliwapenda na kuwaheshimu wapigania Uhuru wote wa Bara letu la Africa.
Katika kuonesha heshima na upendo huo kwao, mwl Nyerere aliamua baadhi ya barabara na mitaa ya nchi yetu kuipa majina ya wapigania Uhuru hao wa nchi zetu za Africa.
Hapo chini ni...
Sifa ya Serikali corrupt, sio maneno yangu nimecopy and paste kwa mwl mzee wetu Julius Nyerere Enzi za uhai wake but still Bado anaishi hata sas
1: haikusanyi Kodi
2: inamzigo wa madeni (i.e deni la taifa)
3: inatumwa na wenye mali
4: inawafanyia kazi wenye mali
5: inafukuzana na vijitu...
Tatizo kubwa sana ambalo limekuwa jinamizi kwa mataifa mengi ya Afrika ni hili moja: maamuzi makubwa ya kitaifa huchukuliwa kwa kuangalia faida ya muda mfupi, bila kutafakari athari za muda mrefu kwa kizazi kijacho.
Katika kipindi hicho cha kihistoria, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere...
Kwa zaidi ya nusu karne sasa jina la Mwalimu Julius Kambarage Nyerere limebaki kuwa mwanga wa siasa na dira ya taifa let.
Baba wa Taifa alijijengea heshima kama kiongozi shupavu, mwenye maono ya mbali na mpenda watu. Aliamini katika haki, mshikamano, elimu kwa wote na mapambano dhidi ya rushwa...
Inasikitisha kuona sasa tunaomba kura kwa lugha za kikabila? Je tunataka wenye kabila letu tu watuchague au kuwaonesha kuwa ni wa nyumbani? Kabila limekuwa kigezo?
Hii ni hatari sana, nchu yetu haina ukabila na watu wamechanganyikana. Sasa mimi Mngoni niko Ngara ukitumua...
Hili ni swali mtu yeyote mwenye
Majibu achangie
Imagination zangu
Baada ya uhuru wa Tanzania watu wengi hawakuwa na elimu wala shughuli yeyote ya kiuchumi, ujinga na umasikini ulikuwa kwa asilimia 99%
Nyerere akaona kuwaruhusu watu hawa kuangalia Tv ni kulizika Taifa mchana kweupe
Akaamua...
Wakuu mpo?
Hili ni swali kwa wadau wote, Nyerere alileta ujamaa ili wa Tanzania waishi pamoja walime pamoja wale pamoja na kufanya shughuli zao kwa ushirikiano
Yeyote aliyeonekana kuwa na ukwasi alionekana ni shetani
Nyerere hakupenda sifa kama maraisi wengine kwa sababubsifa na utajiri vipo...
Kwa Mujibu wa mambo ya Kweli ni kwamba, Unapokuwa Ikulu kwa maana ya kuwa kiongozi mkuu wa Nchi, wewe unakuwa Mtukufu, yaani hakuna njaa wala gumu lolote kwako binafsi, familia yako, marafiki zako pamoja na wapambe wako.
Yaani wewe ndiye mwajiri Mkuu na ndiye mlipaji mkuu, kwa kifupi wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.