Naam, ni wakati mwengine tunakupatia taarifa.
Jana tarehe 15 Julai, 2020 kulikuwa na mapokezi ya Mteule wa urais wa CCM Zanzibar dkt Hussein Mwinyi.
Ziara ilifana na iliandaliwa vya kutosha. Tutatoa tathmini fupi kutokana na taarifa zetu.
Shabaha na kupima upepo.
Ziara si tu kwamba ilenga...