mwendo kasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Tumeshindwaje kuongoza njia za Mwendokasi

    1. Nimekuja kwenye jiji lenu inanishangaza sana ndani ya njia ya mwendokasi kuna pikipiki, kuna magari ya watu binafsi balaa nashangaaa polisi wanashindana na raia kuzuia watu sasa ina maana gana ya kuwa na sheria ? ADVICE 1. itungwe sheria ndogo tu ukipita tu chombo kitaifishwe, na ikitokea...
  2. M

    Juu ya Barabara za Mabasi ya Mwendo Kasi Kujengwe Barabara za Kulipia (Express Way)

    Habari zenu wana Jamii Kuna fursa kubwa inaonekana ipo kwa serikali au private sector kuwekeza na wananchi wakanufaika. Ukiangalia huwa kuna space kubwa na pana inapatikana juu ya Barabara za mabasi ya mwendo kasi plus zile Barabara za njia mbili kila upande za kupita magari ya kawaida. Sasa...
  3. stakehigh

    Mzigo mpya wa mwendo kasi umeingia bandarini - Kongole Rais Samia

    https://www.tiktok.com/@obbyferooz/video/7592916506229460244?is_from_webapp=1&sender_device=pc
  4. Analogia Malenga

    DOKEZO Mwendokasi Kivukoni-Kimara imezidiwa, daladala ziruhusiwe

    Aisee najua watz wengi wenye maisha ya kawaida hutumia usafiri huu ili kupunguza gharama za maisha. Njia ya Kivukoni - Kimara ina bajaj lakini bado mwendo kasi ni vita ya kufa na kupona ambapo hali hii sio tu ni madhara kwa watumiaji bali pia kwa magari yenyewe na miundombinu. Inaonekana kabisa...
  5. Masalu Jacob

    Jiji la Mwanza: Tunataka huduma ya mwendo kasi (Mwanza Rapid Transport)

    Habari Tanzania ! Nawaomba sana maana kumekuwa na changamoto kubwa sana ya Usafiri wa Umma Mkoa wa Mwanza. Mwanza ya sasa sio ile ya zamani; maana kuna idadi kubwa sana ya watu na watu wanateseka kwa usafiri maana mwendo kasi vyombo vya usafiri ni mdogo na vyombo vingi ni chakavu sana. Wenye...
  6. Tajiri wa kinyankole

    GE2025 Siku 3 zilizopita Polepole alitangaza kuja na taarifa ya mradi wa mwendo kasi unavyohujumiwa naona kimya. Au kwasababu za kiusalaama ameamua kutulia?

    Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba Hampfrey Polepole juzi katika taarifa yake ya mwisho aliongelea jeshi la polisi wanavyomhitaji kufika ofisi ya DCI kwa ajiri ya kutoa maelezo juu ya tuhuma ambazo alizotoa katika taarifa zake ambapo aliwajibu kwa kuwaambia kuwa yupo tayari kutoa ushahidi...
  7. Harvey Specter

    DART yaendelea kupiga kalenda usafiri wa Mwendo kasi Mbagala

    Huduma ya mabasi ya mwendokasi iliyotarajiwa kuanza leo Septemba Mosi, 2025 katika barabara ya Mbagala, imesogezwa mbele ikiwa ni sababu ya kutokamilika kwa miundombinu muhimu kama mageti janja na kituo cha kujazia gesi. Akizungumza lna gazeti la Mwananchi leo Jumatatu, Septemba mosi 2025 ...
  8. kmbwembwe

    Mwendo kasi 'Dar bus Transit' kama Tazara na SGR kua white elephant project kutokana na ubinafsi

    ukiangalia hii dhana ya mradi wa DART utaona ni dhana sahihi kutatua tatizo kubwa la usafiri wa umma katika jiji la Dsr es Salaam. Dhana ya bus transit sio ya zamani imeanza mwishoni mwa miaka ya 1990. Miji ya kwanza kujengwa rapit transit ilikua kule amerika ya kusini Curitiba Brazil na Bogota...
  9. stakehigh

    Watu wa kimara mjitahidi kutunza mwendo kasi hizi zikifika nchini

    https://youtu.be/_9wsgnE2KJg
  10. Ashampoo burning

    Ukicheza Na Nyani, SGR Itageuka kama mwendo kasi mkurungezi TRC Kaza mtu hataki apande bus

    Watu wangu acheni kulalamika ovyo, hii SGR si daladala ya Mbagala! Mkurugenzi kaamua kuweka viwango kama vya Ulaya, siyo za 'vipeto vya mahindi' wala kuku kubebwa.Kama unataka kubeba kila kitu, panda gari lako bwana au panda shabiby kuna uzi mtu huma analalamika ku rap mzigo sasa nani ataka...
  11. Tman900

    Usafiri wa Mwendo kasi

    Huu Usafiri wa Mwendo kasi ndo wakijinga namna hii. Nipo kituoni Fery Toka saa 8 mpaka sasa hivi imekuja gari Moja Tu. Kumbe huu Usafiri hauna uwakika Hata kidogo. Nimejuta kukata tiketi mara Nyingi huwa matumia kibaskeli Changu Leo nimejichanganya.
  12. FYATU

    Kwa nini hizi barabara za Mwendo kasi zifanye biashara?

    Kuwekwe kiwango fulani cha tozo kwa Gari binafsi kwa wale wanaotaka kutumia miundo mbinu hiyo ili kukwepa kero sugu ya foleni ya jijini Dar. Mathalani waweza kuchaji Gari dogo shilingi elfu hamsini kutokea Kariakoo au Ferry mpaka Mbezi au Kibaha au Chalinze siku wakifikia huko. Naamini kabisa...
  13. Carlos The Jackal

    JWTZ lipewe mradi wa Mabus ya Mwendo Kasi liuendeshe , Likopeshwe MaBus , hapatakua tena na Uhuni kama huo unaoendelea !!.

    Kuna Crisis ya makusudi kabisa inatengenezwa na Wahusika wa Mradi huo wakishirikiana na Wamiliki Binafsi wa Magari watoto Huduma za Usafiri !!. Ila Kukomesha Uhuni huo, ambao ni pamoja na Uharibifu wa Magari Kwa njia za Kihuni , JWTZ lipewe Fursa hiyo!! Naamini kupitia JWTZ Huduma...
  14. Tabutupu

    Kwanini TANROADS wanajenga kituo cha mwendo kasi eneo la Flyover Mwenge?

    Nchi hii ni ya maajabu sana, ukipita pale mwenge junction, utakuta kuna kituo cha mqendokasi kila upande kinajengwa. Kwa utalaam wa ujenzi, unatakiwa kuondoa vitu kama stand au masoko karibu na junction. Imekuwaje tanroad wameamua kujenga vituo vya mqendo kadi mita chache kutoka junction...
  15. TheForgotten Genious

    Mwendokasi Wamesitisha matumizi ya ticket kwa watu wazima mpaka uwe na card halafu upatikanaji wa card ni Gerezani na kimara pekee

    Wamesitisha matumizi ya ticket kwa watu wazima mpaka uwe na card halafu upatikanaji wa card ni Gerezani na kimara. Kwamba mtu atumie usafiri mwingine kufika gerezani kutoka anakotoka ama kimara kupata card tena arudi alikotoka ama aende anakoenda? kwanini hizo card zisipatikane katika kila...
  16. funaku

    Treni ya Mwendo kasi (SGR) Yaanza huduma ya kubeba mizigo

    Hakika kazi imeendelea. Leo muda wa Mchana wa Saa nane Tanzania imeendelea kuweka historia. Treni ya mwendokasi maarufu kama S.G.R imeanza kutoa huduma za kubeba mizigo.
  17. Alloyce PR

    Mwendo wa Kujilazimisha si Safari ya Maono

    "Kila mwendo unaoulazimisha hubeba mizigo ya wengine, si ndoto yako. Epuka kuishi kwa kasi ya matarajio ya watu, ukasahau mwito wa dhamira ya akili yako." — Alloyce, P.R.
  18. 6WaS9

    Hakuna Usafiri wa Umma wa ovyo na Hatari Duniani kama Mwendo kasi Tanzania

    Narudia Tena: Hakuna Usafiri wa Umma wa Hovyo na Hatari Duniani kama Mwendo Kasi Tanzania Kama serikali inaweza kusimamia Air Tanzania ina shindwa vipi kusimamia Mwendo kasi..? Mpaka kuwapa wapihgaji Moradi kama Hii..?! Miradi kama hii nchi nyingine inaendeshwa na katika level ya...
  19. TheForgotten Genious

    Baadhi ya mabasi ya mwendo kasi taa zimeungua

    Muda huu natoka darasani hapa DIT nimeshuhudia basi la mwendo kasi la Kutoka Morocco kwenda kivukoni(Kipisi) taa za mbele na nyuma haziwaki kasoro moja ya nyuma kushoto (ukilitazama basi kwa nyuma), Hii ni hatari sana,kwa waenda kwa miguu hasa wenye matatizo ya macho na hata abiria,dereva na...
  20. The useful idiot

    Scania Marcopolo za mwendo kasi zimefika!

    𝗞𝗨𝗧𝗢𝗞𝗔 𝗕𝗔𝗡𝗗𝗔𝗥𝗜𝗡𝗜 Hatimaye zimewasili Dar es salaam Scania Marcopolo Viale zinatumia gesi Cc [VALERIAN BANDA] Kwa ajili ya mradi wa mwendokasi 𝘼𝙇𝙇 𝙏𝘼𝙉𝙕𝘼𝙉𝙄𝘼 𝘽𝙐𝙎𝙀𝙎 || 𝙆𝙪𝙢𝙗𝙖𝙩𝙞𝙖 𝙨𝙖𝙛𝙖𝙧𝙞 🫂 #TanzaniaBuses #SafariBora #BusService #alltanzaniabuses #atbupdates #ATBsnap
Back
Top Bottom