Rais Samia Suluhu Hassan, leo Novemba 5, 2025, amemuapisha Hamza Johari kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uapisho huo umefanyika Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma, na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Serikali.
Hamza Johari aliteuliwa na Rais Samia kushika wadhifa huo Novemba 3, 2025.
Kwa...