mwanajeshi wa marekani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyani Ngabu

    JamiiForums Tanzania Hivi yule mwanajeshi wa Marekani aliishia wapi?

    Mara kwa mara nimekuwa nikisema kwamba taasisi inayoongoza kwa kuwa na vilaza wengi sana nchini, ni JWTZ ikifuatiwa kwa karibu na polisi. Kipindi cha mauaji ya Watanzania hapo mwaka jana, katika jitihada za kupoteza watu malengo, polisi wa Tanzania walikuja na kituko cha mwaka. Baada ya Samia...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mwanajeshi wa marekani aliyekamatwa mpakani, akiwa na mabomu.

    Mnakumbuka hii script ya tukio ambalo mpaka leo unaweza kuuliza kesi yake ukaunganishwa wewe wakati muhusika mwenyewe ndio huyu. Upande Kulia kwenye picha kuna miwani hapo kaweka mezani. angalia hiyo miwani na picha ya chini. Baada ya kuona sinema ya delta force inaanza kuwaendea pabaya.Jamaa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania hatuna ubavu wa kumshika mwanajeshi wa Marekani ni uchawa tu

    Polisi hii ya kupiga risasi vijana ndiyo yenye uwezo wa kumshika Mwanajeshi wa Marekani tuache ujinga na uongo. Mwanajeshi wa Marekani akishikwa ni swala la kitaifa mpaka sasa jeshi la Marekani halijasema kitu. Pili kama alikuwa mwanajeshi zamani sasa atakuwa mwanajeshi mstaafu. Kuna kitu...
  4. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Eti Mwanajeshi wa Marekani kaacha kutumia pourus border aende kutumia mpaka rasmi akiwa na mabomu! Acha watingishe Meza yenye Vinywaji vya bei mbaya

    Kwa wazoefu wa maeneo ya sirari kwenye mpaka wa Kenya na Tanzania, ni kichekesho cha hali ya juu kuuziwa propaganda eti Mwanajeshi wa Marekani amekamatwa akivuka mpaka rasmi wa Tanzania na Kenya akiwa na mabomu. Yaaani Mwanajeshi wa Marekani aache kutumia porous border ambayo unaweza kuvusha...
  5. McLaren

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4, akitokea Kenya kuingia Tanzania

    Wakuu Jeshi la Polisi Tarime Rorya limesema limemkamata Charles Onkuri Ongeta, mwenye umri wa miaka 30 na uraia wa Marekani na Kenya, akidaiwa kuingia Tanzania kupitia mpakani Sirari akiwa na mabomu manne aina ya CS M68. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, mtu huyo anadaiwa kuwa mwanajeshi wa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Balozi wa Kenya na Marekani waitwe Ikulu kujieleza. Kwanini wanaruhusu raia wao mwanajeshi kuleta silaha za kivita nchini

    Hili sio suala dogo hata kidogo. Nauza kangala na pombe kali za bei rahisi kama Kigogo na Ambiance lakini nimeogopa. Mwanajeshi raia wa Kenya na Usa anakuja na maguruneti nchini kwetu ili iweje? Kwa nini Kenya na Usa wasimdhibiti kwa ukaguzi na kwa nini aje Tanzania? Wao hawana taarifa juu...
Back
Top Bottom