Kibwagizo cha mwezi
Nasikitika sana, tena sana, kwa msiba mkubwa uliotokea Moshi, Kilimanjaro, kwa Wakristo waliokuwa wakigombea kukanyaga “mafuta ya upako”. Roho za marehemu ndugu zetu zipumzike kwa amani. Amina.
Lakini pamoja na simanzi hii kubwa, ni fursa ya kukumbushana tena jambo. Mungu...