Wakuu nimekuja tu hapa kutia Moyo wapambanaji wote waliokata tamaa.
Leo kwa mara ya kwanza nimeamka kutoka kwenye nyumba niliyojenga mimi.
Ni miaka 10 ya jasho na damu hatimaye jana nimehamia.
Mungu ni mwema, tuendeleze mapambano; kwa wale mliofanikiwa zaidi Mungu azidi kuwapandisha, kwa wale...