mtibwa

Mtibwa Sugar Football Club is a Tanzanian football club based in Turiani. Their home games are played at Manungu Stadium.

View More On Wikipedia.org
  1. mugah di matheo

    Zuber Katwila toka Mtibwa kwenda Ihefu yuko sawa?

    Aliyekuwa kocha wa Mtibwa sugar amejiuzulu nafasi yake na kuamua kuhamia timu ya Ihefu Fc ya mbarali. Je, unaonaje huko kuhama? Zuber kapatia ama kapotea?
  2. geofreyngaga

    Mtibwa vs Yanga

    Kuna kabwana mdogo nimekaambia Yanga ikishinda namnunulia bia moja na ikifungwa basi aninunulie hata fanta orange ntainywa hivyo hivyo, kalivyo kajeuri kasema "broo angu kama vipi tuweke bia 2 kwa 2" Sasa nasubiri 90mins nimnywe 2!!
  3. mugah di matheo

    Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

    Ukiwa ni mwendelezo wa vpl msimu wa 2020_2021 Simba anawakabili wanalamba lamba sukari toka turiani Je morson atafunga? Bocco atawaacha mtibwaa? Maufundi ya bwalya mguuni? Usikosee Update zitakuwa zinakuji Simba starting XI Manula Kapombe Tshabalala Onyango Kennedy Mkude Mzamiru Chama Morrison...
  4. H

    Leo mtoto hatumwi dukani: Yanga vs Mtibwa Sugar

    Leo kutakuwa na game ya kukata na shoka kati ya Young Africans, Watoto wa Jangwani wakikutana na team ngumu na mabingwa wa Kombe la Mapinduzi a.k.a wazee wakulambisha sukari Mtibwa kwenye Uwanja wa Taifa si yakukosa. Nini maoni yako kwenye game ya leo?
  5. M

    Mapinduzi Cup: Mtibwa yatwaa kombe la Mapinduzi baada ya kuichapa Simba kwa goli 1 - 0

    Wadau tupeni updates mbona kimya...wengine bado tupo magengeni! ==== SIMANZI na hali ya sintofahamu imeanza kuingia pale Msimbazi. Ndio, Simba imepoteza taji la kwanza msimu huu baada ya kukubali kipigo cha bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar, katika fainali ya Kombe la Mapinduzi...
Back
Top Bottom