mtibwa sugar

Mtibwa Sugar Football Club is a Tanzanian football club based in Turiani. Their home games are played at Manungu Stadium.and using stadiums such as CCM jamhuri and Gairo as their home stadium

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Yaani Mtibwa Sugar FC 'Kaua' Mtu Goli 7 cha Kushangaza Redioni leo anasifiwa aliyemfunga 'Mnyonge' na asiyejua Goli 4 kwa Mkapa jana

    Nchi hii ina Watangazaji na Wachambuzi ( wa Redioni ) wa hovyo hovyo hadi kuna muda unaona 'Kinyaa' tu Kuwasikiliza. Hivi ni nani hajui kuwa jana Yanga SC ilichokifanya ilipocheza na Ihefu FC kwa Mkapa na Kumfunga zile Goli 4 ni sawa tu na Kupiga Bomu Mochwari na Kujisifu kuwa Umeua Watu wengi...
  2. mugah di matheo

    Mtibwa sugar vs Biashara United: Mtibwa yafufukia Manungu

    Mechi inaendelea dk ya 80 mtibwa anaongoza 2-0 na bado anashambulia kwa kasi Sana. Magoli ya mtibwa yamefungwa na Gorge Nzigamasabo Steve 12'p Demla dk ya 62' Hii ni mechi ya kwanza mtibwa kushinda msimu huu Hii ni mechi ya kwanza kuchezwa manungu msimu huu Sasa mtibwa wamefikisha point 5...
  3. Kipenzi Changu

    Aibu: Yanga yakopi jezi za Plateau Utd kama zilivyo

  4. M

    Hivi hizi kazi za Mtibwa Sugar ni kweli, au utapeli

    Nimeona tangazo la kazi nyingi za Mtibwa sugar, mimeshikwa na wasi wasi maana ni kama kiwanda kipya kinaanza, mwenye taarifa sahihi anisaidie nisipoteze muda kuomba kama ni utapeli
  5. Peramiho yetu

    Kocha wa Mtibwa Sugar anafundisha mpira wakati wa mechi; huko mazoezini hafundishi?

    Wakuu habari MWADUI VS MTIBWA Npo nasikiliza mpira kupitia redio hapa vikindu lakn kinacho nishangaza kocha wa timu hii anasikika Tena kwa sauti kupitia U FM akiwafundisha wachezaji wake kila hatua toka kupokea mpira atulize vp anawaelekeza nan ampe pas mchezaj akikosea utamsikia akilalamika...
Back
Top Bottom