Yaani Mtibwa Sugar FC 'Kaua' Mtu Goli 7 cha Kushangaza Redioni leo anasifiwa aliyemfunga 'Mnyonge' na asiyejua Goli 4 kwa Mkapa jana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,876
Nchi hii ina Watangazaji na Wachambuzi ( wa Redioni ) wa hovyo hovyo hadi kuna muda unaona 'Kinyaa' tu Kuwasikiliza.

Hivi ni nani hajui kuwa jana Yanga SC ilichokifanya ilipocheza na Ihefu FC kwa Mkapa na Kumfunga zile Goli 4 ni sawa tu na Kupiga Bomu Mochwari na Kujisifu kuwa Umeua Watu wengi?

Kwa tulioangalia Mpira hakuna Mechi iliyokuwa Tamu jana kama ya Mtibwa Sugar FC na Tunduma United ambapo Mtibwa Sugar FC japo alishinda Bao ( Goli ) Saba ( 7 ) ili Mpira ulipigwa mwingi sana mpaka raha tofauti na Mchezo wa Upande Mmoja uliokuwa ukichezwa Benjamin Mkapa Stadium.

Na leo nilidhani kwa Haki kabisa humu Redioni 'airtime' Kubwa watapewa Mtibwa Sugar FC walioshinda Goli 7 kwa 1 cha Kushangaza kama si Kusikitisha pia wanaozungumzwa na Kuimbwa ni Yanga SC ambao labda ni Mwendawazimu tu peke yake ndiyo alijua kuwa Jana Yanga SC ingefungwa au isingeshinda.

Na hata Yanga SC Wenyewe nao ni 'Wabovu' tu kwani kwa Udhaufu ule wa Ihefu FC na Uchezaji wao mbovu, wa Kitoto na Kipuuzi kama wangekutana na Simba SC yenye 'Mafundi' watupu nina uhakika jana wangefungwa Goli kama siyo 13 au hata 19 kabisa.
 
Yanga wana kelele na magoli yao ya mbeleko
Nilimshangaa sana Herritier Makambo alipofunga lile Goli jepesi la Pili ambalo hata Kipofu anaweza Kufunga na kuanza Kushangilia kwa Mbwembwe zote zile na Mikogo yote ya Kuwajaza Wendawazimu wenzake waliojazana upande Mmoja kwa Mkapa Uwanjani.
 
Ni kweli mechi za Simba na Yanga zinaongelewa sanaaa kuliko mechi nyingine Yaani wasafi kivumbi Cha kwanza,Cha pili Cha tatu Cha soka la nyumbani Ni Simba na Yanga tu
 
Media za bongo ndivyo zilivyo, hapo kama jana yanga au azam asingecheza basi wangepiga brash juu juu tu hizo mechi coz si ajabu wengi wao hawakuziangalia ndo mana hata wanakosa cha kuchangia.
Na hao ndo wanaofanya ligi ionekane ni ya timu chache tu, labda timu ndogo iifunge kubwa ndo hapo itachimbwa kiasi.
 
Akili zenu ndogo sana ninyi watu. Tunduma ina madhabiki wangapi Tanzania? Yanga ina mashabiki wangapi Tanzania? Unajua hizo radio ni biashara za watu?

Any way fanya hivi fungua page zako uwe unatoa uchambuzi wako wa timu zako za tunduma uone kama utapata followers hata 1k
 
Nchi hii ina Watangazaji na Wachambuzi ( wa Redioni ) wa hovyo hovyo hadi kuna muda unaona 'Kinyaa' tu Kuwasikiliza.

Hivi ni nani hajui kuwa jana Yanga SC ilichokifanya ilipocheza na Ihefu FC kwa Mkapa na Kumfunga zile Goli 4 ni sawa tu na Kupiga Bomu Mochwari na Kujisifu kuwa Umeua Watu wengi?

Kwa tulioangalia Mpira hakuna Mechi iliyokuwa Tamu jana kama ya Mtibwa Sugar FC na Tunduma United ambapo Mtibwa Sugar FC japo alishinda Bao ( Goli ) Saba ( 7 ) ili Mpira ulipigwa mwingi sana mpaka raha tofauti na Mchezo wa Upande Mmoja uliokuwa ukichezwa Benjamin Mkapa Stadium.

Na leo nilidhani kwa Haki kabisa humu Redioni 'airtime' Kubwa watapewa Mtibwa Sugar FC walioshinda Goli 7 kwa 1 cha Kushangaza kama si Kusikitisha pia wanaozungumzwa na Kuimbwa ni Yanga SC ambao labda ni Mwendawazimu tu peke yake ndiyo alijua kuwa Jana Yanga SC ingefungwa au isingeshinda.

Na hata Yanga SC Wenyewe nao ni 'Wabovu' tu kwani kwa Udhaufu ule wa Ihefu FC na Uchezaji wao mbovu, wa Kitoto na Kipuuzi kama wangekutana na Simba SC yenye 'Mafundi' watupu nina uhakika jana wangefungwa Goli kama siyo 13 au hata 19 kabisa.
Kweli yanga ni Kama maji usipo yaoga utayanywa Sasa wazungumizie mtibwa nani atasikiliza ww mwenyewe umesikia wanaizungumzia yanga ndio Mana unakuja kulia Lia humu
 
Nilimshangaa sana Herritier Makambo alipofunga lile Goli jepesi la Pili ambalo hata Kipofu anaweza Kufunga na kuanza Kushangilia kwa Mbwembwe zote zile na Mikogo yote ya Kuwajaza Wendawazimu wenzake waliojazana upande Mmoja kwa Mkapa Uwanjani.
Mbona Morison alikosa Kama Hilo mlipocheza na wazambia na yeye ni kipofu
 
Nchi hii ina Watangazaji na Wachambuzi ( wa Redioni ) wa hovyo hovyo hadi kuna muda unaona 'Kinyaa' tu Kuwasikiliza.

Hivi ni nani hajui kuwa jana Yanga SC ilichokifanya ilipocheza na Ihefu FC kwa Mkapa na Kumfunga zile Goli 4 ni sawa tu na Kupiga Bomu Mochwari na Kujisifu kuwa Umeua Watu wengi?

Kwa tulioangalia Mpira hakuna Mechi iliyokuwa Tamu jana kama ya Mtibwa Sugar FC na Tunduma United ambapo Mtibwa Sugar FC japo alishinda Bao ( Goli ) Saba ( 7 ) ili Mpira ulipigwa mwingi sana mpaka raha tofauti na Mchezo wa Upande Mmoja uliokuwa ukichezwa Benjamin Mkapa Stadium.

Na leo nilidhani kwa Haki kabisa humu Redioni 'airtime' Kubwa watapewa Mtibwa Sugar FC walioshinda Goli 7 kwa 1 cha Kushangaza kama si Kusikitisha pia wanaozungumzwa na Kuimbwa ni Yanga SC ambao labda ni Mwendawazimu tu peke yake ndiyo alijua kuwa Jana Yanga SC ingefungwa au isingeshinda.

Na hata Yanga SC Wenyewe nao ni 'Wabovu' tu kwani kwa Udhaufu ule wa Ihefu FC na Uchezaji wao mbovu, wa Kitoto na Kipuuzi kama wangekutana na Simba SC yenye 'Mafundi' watupu nina uhakika jana wangefungwa Goli kama siyo 13 au hata 19 kabisa.
Mkuu tuendelee kuwapa moyo Maana hata wao ni timu ndogo tu kama ilivyo Ihefu. Hawajakosea. Timu kubwa bado zinashiriki Caf CL na shirikisho.
 
Nilimshangaa sana Herritier Makambo alipofunga lile Goli jepesi la Pili ambalo hata Kipofu anaweza Kufunga na kuanza Kushangilia kwa Mbwembwe zote zile na Mikogo yote ya Kuwajaza Wendawazimu wenzake waliojazana upande Mmoja kwa Mkapa Uwanjani.
 
Nilimshangaa sana Herritier Makambo alipofunga lile Goli jepesi la Pili ambalo hata Kipofu anaweza Kufunga na kuanza Kushangilia kwa Mbwembwe zote zile na Mikogo yote ya Kuwajaza Wendawazimu wenzake waliojazana upande Mmoja kwa Mkapa Uwanjani.
Bwana KOLO unateseka ukiwa wapi?????
 
Akili zenu ndogo sana ninyi watu. Tunduma ina madhabiki wangapi Tanzania? Yanga ina mashabiki wangapi Tanzania? Unajua hizo radio ni biashara za watu?

Any way fanya hivi fungua page zako uwe unatoa uchambuzi wako wa timu zako za tunduma uone kama utapata followers hata 1k
...sio tuu afungue page, bali na radio station na aiendeshe anavyotaka yeye....shubaaaaaamit
 
Back
Top Bottom