The aliʻi were the traditional nobility of the Hawaiian islands. They were part of a hereditary line of rulers, the noho aliʻi.
The word aliʻi has a similar meaning in the Samoan language and other Polynesian languages, and in Māori it is pronounced "ariki".
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo na Muhimbili (MOI) imetii agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuendelea kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwenye Maonesho ya Nanenane, Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, hadi Agosti 10, 2025.
Awali, huduma...
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaj. Jabir Shekimweri ametembelea banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika Maonesho ya wakulima 'Nanenane' yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, ambapo ametoa wito kwa taasisi hiyo kushirikiana na taasisi nyingine na...
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma na jirani wameendelea kujitokeza kwa wingi katika banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika maonesho ya wakulima 'Nanenane' yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma.
Katika banda hilo, wananchi wanapata...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inaendelea kung’ara katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma kwa kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwa wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
Katika banda lake, MOI inatoa...
Washiriki wa maonesho ya elimu ya juu yanayoendelea visiwani Pemba wamevutiwa na banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), ambapo wengi waliotembelea banda hilo kupata elimu juu ya huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa wamepongeza.
Afisa Uhusiano wa MOI, Bw. Abdallah...
Wataalamu wazawa zaidi ya 70 wamepewa mbinu za kisasa za kutoa matibabu kwa wagonjwa ili kupunguza madhara yatokananyo na dawa kwa wagonjwa nchini Tanzania.
Hayo yamebainishwa leo Julai 22, 2025 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Dkt. Hamad Nyembea, Wizara ya Afya kwa niaba ya Katibu Mkuu wa...
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Fhamaz Trust kutoka nchini Uingereza imeahidi kuchangia mashine mbili maalum za kuzalisha joto kwenye chumba cha upasuaji katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili MOI.
Hayo yamesemwa leo Julai 18/072025 na Bi. Zarnat Datoo ambaye ameambatana na mumewe...
Taasisi isiyo ya Kiserikali ya Fhamaz Trust imechangia matibabu kwa watoto 25 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi waliolazwa na wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
Akizungumza mara baada ya kukabidhi msaada huo leo Jumatano Julai 16, 2025...
Timu ya tathimini na udhibiti wa viashiria vya hatari ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza mafunzo ya siku tano ya kuainisha, kuchambua na kupendekeza njia za kukabiliana na viashiria vya hatari ili kuiwezesha taasisi kufikia malengo yake.
Mafunzo hayo yamefunguliwa...
Wananchi 1,908 wametembelea Banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika maonesho ya 49 ya kimataifa ya biashara, Sabasaba 2025 yaliyomalizika leo Julai 13, 2025
Hayo yamebainishwa leo Julai 13, 2025 katika kilele cha Maonesho hayo na Daktari bingwa Mbobezi wa Mifupa...
Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameadhimisha kwa furaha na sherehe maalum siku ya 'MOI DAY 2025' , tukio linaloadhimisha mafanikio makubwa ya taasisi hiyo katika kutoa huduma bora za Kibingwa na Kibobezi za Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu kwa...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya leo Julai, 4, 2025 ametembelea banda la kutolea huduma la taasisi hiyo katika maonesho ya 49 ya kimataifa ya biashara ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mpoki ambaye...
Wataalam wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameshauriwa kushirikisha jamii katika tafiti za matibabu ya majeruhi wa kichwa na wa mivunjiko ya migongo kwa ajili ya kupata taarifa jumuishi zitakazopelekea matokeo chanya katika mnyororo wa matibabu ya wagonjwa hao.
Ushauri...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki katika kambi ya madaktari bingwa na wabobezi inayofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid mkoani Arusha.
Kambi hiyo imeanza rasmi leo Juni 23, 2025 na itafikia tamati tarehe 29, Juni 2025, ambapo Madaktari bingwa wa MOI wanatoa...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inashiriki wiki ya Utumishi wa Umma inayofanyika katika Kiwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.
Huduma zimeanza kutolewa leo Juni 16, 2025 katika kiwanja cha Chinangali Park, Dodoma ambapo Daktari Bingwa Mbobezi wa mifupa MOI, Dkt Tumaini...
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya, akisaini kitabu cha maombolezo kwa heshima ya aliyekuwa Daktari Bingwa wa Radiolojia na Meneja wa Idara ya Uchunguzi MOI, Dkt. Mechris Mango, leo Mei 30, 2025. Dkt. Mango atakumbukwa...
Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeemdelea kung’ara katika matibabu ya kibingwa na kibobezi za mifupa barani Afrika baada ya kuendelea kuandaa mafunzo ya 10 kuhusu mbinu mpya na za kisasa za matibabu ya majeraha na mifupa kwa wataalam barani Afrika kwa kushirikiana na Taasisi...
Watumishi wanne waliokuwa wajumbe wa Menejimenti ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameagwa rasmi baada ya kupangiwa majukumu na Serikali katika taasisi nyingine za Umma.
Watumishi hao ni Dkt. Veronica Nyahende aliyekuwa Mkurugenzi wa Fedha na Mipango, Dkt. Paul Kazungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.