moi

The aliʻi were the traditional nobility of the Hawaiian islands. They were part of a hereditary line of rulers, the noho aliʻi.
The word aliʻi has a similar meaning in the Samoan language and other Polynesian languages, and in Māori it is pronounced "ariki".

View More On Wikipedia.org
  1. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Mbongwe Nsoga yawafariji wagonjwa MOI

    Kampuni ya ushonaji nguo ya Mbogwe Nsoga imewafariji wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kuwapatia zawadi ya nguo. Faraja hiyo imetolewa leo Januari 11, 2026, wakati kampuni hiyo ilipotembelea MOI ikiongozana na Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa...
  2. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyesaidiwa na Rais Samia aanza matibabu ya Kibingwa MOI

    Mtoto Nicholaus Nkinga (9) ambaye changamoto yake ya matibabu ya mguu iliyomgusa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi kupata matibabu ya kibingwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye...
  3. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI, JAIPUR warejesha furaha kwa wahitaji 507 kwa kuwapatia viungo bandia bure

    Watu 507 waliopoteza viungo, vikiwemo mikono na miguu wamefaidika na uwepo wa kambi maalum ya kutoa viungo bandia bure iliyoandaliwa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Taasisi ya Jaipur (India) na Ubalozi wa India nchini. Mratibu wa Kambi hiyo kutoka Taasisi ya MOI Bi...
  4. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Mchengerwa aagiza uchunguzi mashine iliyoharibiwa kwa uzembe ( MOI)

    Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa amemwagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kufanya uchunguzi na kuwasilisha ripoti kuhusu mashine iliyoharibiwa kwa uzembe wa baadhi ya watumishi wa katika Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI).
  5. Richard

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Je, Rais Ruto kumsogeza karibu Gideon Moi mtoto wa hayati Danile Arap Moi na kumteua kuwa naibu waziri mkuu?

    Nipo mitaa ya jijini Nairobi nikibarizi habari za hapa na pale na leo nimepata kusikia tetesi za Raisi Ruto kufikiria kumteua bwana Gideon Moi kuwa makamu wa waziri mkuu wa Kenya. Bwana Gideon ni kiongozi wa chama cha KANU na ni mtoto wa aliekuwa raisi wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi ambae...
  6. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Kimambo wa MNH na Dkt. Mpoki wa MOI wakutana na kufanya mazungumzo ya kuboresha huduma na kuimarisha ushirikiano baina ya Taasisi hizo mbili

    Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Dellilah Kimambo, amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya leo Septemba 11, 2025 katika Taasisi ya MOI. Wakurugenzi hao...
  7. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yajipanga kuendelea kuboresha Huduma zake za Kibingwa na Kibobezi

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imejipanga kuendela kutoa huduma bora za matibabu ya mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu huku watumishi wakiaswa kutoa huduma kwa kuzingatia maadili na kanuni za utumishi wa umma ili kufikia azima hiyo. Hayo yalibainishwa jana...
  8. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania T Group waunga mkono jitihada za MOI kuhudumia wagonjwa

    Kikundi cha T Group waunga mkono jitihada za utoaji wa huduma za afya katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) kwa kukabidhi msaada wa mashine 10 za kupimia shinikizo la damu. Hafla ya makabidhiano hayo imefanyika leo, Septemba 6, 2025, ambapo Kiongozi wa Wodi 4B, Bi. Sada...
  9. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Wadhamini MOI yakagua hali ya utoaji wa huduma, yapongeza wafanyakazi

    Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imefanya ziara ya kukagua hali ya utoaji huduma na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika taasisi hiyo ambapo imewapongeza wafanyakazi kwa kutoa huduma bora wa wagonjwa. Ziara hiyo ya siku mbili imeanza leo Septemba...
  10. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Menejimenti MOI yapigwa msasa utekelezaji Bajeti 2025/26

    Menejimenti ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imepatiwa mafunzo ya utekelezaji bora wa bajeti ya maendeleo ya Taasisi hiyo ya mwaka wa fedha 2025/26 ili kuendelea kuboresha huduma kufikia dira ya taifa ya 2050. Hayo yalibainishwa Agosti 26, 2025 na Meneja Mipango...
  11. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Njelekela apongeza MOI kwa utoaji wa Huduma katika kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi Arusha

    Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini MOI Dkt. Marina Njelekela ameipongeza menejimenti ya MOI kwa uamuzi wake wa kushiriki na kutoa huduma kwa washiriki wa mkutano wa wenyeviti wa bodi na wakuu wa Taasisi unaofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha. Dkt. Njelekela ametoa pongezi hizo Leo 25/08/2025...
  12. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mpoki apongeza ushirikiano wa utoaji huduma kati ya MOI, JKCI na AICC.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), Mhe. Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya, amepongeza ushirikiano mzuri wa utoaji huduma za afya kati ya MOI, Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na Hospitali ya AICC, katika kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa...
  13. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Huduma za MRI, CT-Scan, X Ray na Ultrasound zinapatikana MOI masaa 24 siku 7 za wiki

    Huduma za Kibingwa na Kibobezi za Uchunguzi (vipimo vya MRI, CT- Scan, X- Ray za Kidijitali na Ultrasound) zinapatikana MOI masaa 24 siku 7 za wiki, karibu tukuhudumie.
  14. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yahudumia Wananchi 1,981 Maonesho ya Nanenane 2025 Dodoma

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imehitimisha ushiriki wake katika Maonesho ya wakulima 'Nanenane 2025' jijini Dodoma kwa kutoa huduma kwa wananchi 1,981. Huduma zilizotolewa na MOI zilihusisha uchunguzi wa awali (Screening), ushauri wa kitaalamu kuhusu matatizo ya mifupa...
  15. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yatii agizo la Rais kuendelea kutoa huduma Nanenane hadi Agosti 10, 2025

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo na Muhimbili (MOI) imetii agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan la kuendelea kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwenye Maonesho ya Nanenane, Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, hadi Agosti 10, 2025. Awali, huduma...
  16. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania DC Dodoma atembelea banda la MOI Nanenane, atoa wito ushirikiano katika Elimu ya Usalama Barabarani.

    Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Alhaj. Jabir Shekimweri ametembelea banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika Maonesho ya wakulima 'Nanenane' yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma, ambapo ametoa wito kwa taasisi hiyo kushirikiana na taasisi nyingine na...
  17. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Banda la MOI laendelea kuwa Kivutio Maonesho ya Nanenane Dodoma

    Wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya mkoa wa Dodoma na jirani wameendelea kujitokeza kwa wingi katika banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) katika maonesho ya wakulima 'Nanenane' yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni, Jijini Dodoma. Katika banda hilo, wananchi wanapata...
  18. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yasogeza Huduma za Kibingwa na Kibobezi Maonesho ya Nanenane Dodoma

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inaendelea kung’ara katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo (Nanenane) yanayofanyika katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma kwa kutoa huduma za kibingwa na kibobezi kwa wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. Katika banda lake, MOI inatoa...
  19. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania MOI yang'ara Maonesho ya Elimu ya Juu Pemba

    Washiriki wa maonesho ya elimu ya juu yanayoendelea visiwani Pemba wamevutiwa na banda la Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI), ambapo wengi waliotembelea banda hilo kupata elimu juu ya huduma za kibingwa na kibobezi zinazotolewa wamepongeza. Afisa Uhusiano wa MOI, Bw. Abdallah...
  20. Taasisi ya Mifupa-MOI

    JamiiForums Tanzania Wataalamu Wazawa zaidi ya 70 wa Usingizi Tiba na Ganzi wapewa mbini za kisasa MOI

    Wataalamu wazawa zaidi ya 70 wamepewa mbinu za kisasa za kutoa matibabu kwa wagonjwa ili kupunguza madhara yatokananyo na dawa kwa wagonjwa nchini Tanzania. Hayo yamebainishwa leo Julai 22, 2025 na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba Dkt. Hamad Nyembea, Wizara ya Afya kwa niaba ya Katibu Mkuu wa...
Back
Top Bottom