Customer Relationship & Operations Officer at Mixx by Yas – Dar es Salaam
Job Overview
Mixx is hiring a Customer Relationship & Operations Officer based in Dar es Salaam.
Requirements
University degree in business administration, social science, or related areas
3+ years of experience in...
Leo nilinunua kifurushi cha intaneti kwa njia ya mpesa. Muamala ukatoka freshi, intaneti ikashika.
Ghafla nikaletewa ujumbe ukisema salio langu halitoshi nichukue mkopo wa Tsh. elfu 4!🤔🤔
Bahati nzuri nilicheki salio langu kabla sijaendelea, na lilikuwepo la kutosha!
Utaratibu huu ni halali...
Taarifa zisizo rasmi ni kwamba baadhi ya ofisi za umma wameelekezwa kuanza kutumia Yas. Kwahiyo shirika letu la umma ambalo awamu ya 5 ilijitahidi kurirudisha kwenye ushindani sasa mambo ni tofauti.
Je, mmiliki wa Yas ni nani? Ukute ndo Hawa madalali
Wewe max Mello
Kwanini unatujazia matangazo ya mix by Yas?
Yani kila Kona mixx by Yas ni Nini hii
Mimi kama active member nasema toa mara moja
Rudisha Yale ya kubeti
Afisa Mtendaji Mkuu wa Mixx by Yas Bi. Angelica Pesha akizungumza wakati wa hafla ya ushirikiano wa kimkakati kati ya Mixx by Yas na DSE ambapo pia walizindua mini App ya DSE 'Hisa Kiganjani' inayopatikana kwenye super App ya Mixx by Yas. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa DSE Bw. Peter...
Ndugu wana jamvi kwa uamuzi wa hovyo hivi ni kwa nini nisiamini kuwa huyu hakimu ni mla rushwa? Amehongwa na kampuni ya honora tz mobile solutions ili kufuta kesi hii. Ni utaratibu kuwa watoa huduma za fedha wanasimamiwa na benki kuu chini ya sheria ya Bot Act na Bot financial consumers...
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.
Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.
Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa”...
Dar es Salaam, Tanzania – Tigo Tanzania's recent rebranding of its mobile financial services from Tigo Pesa to Mixx by Yas has sparked mixed reactions among Tanzanians. While the company aims to modernize its brand and offer enhanced digital services, many users have expressed dissatisfaction...
Sijui hawa watu wa YAs walifikiria nini.
Maana asilimia kubwa ya wateja hapa nchini wanatumia kiswahili.
Hilo neno Mixx by Yas ni la kiingereza kwa asilimia zote.
Sasa sijui walikuwa wanamlenga nani ila kama sisi wateja tunatumia kiswahili hicho kingereza ni kwa ajili ya nani?
Halafuu, hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.