"aah wapi, hayo mapiza na mabaga wanayokula na mimi ninae kula matembele vyote vitaishia kuwa mavi tumboni"
"usione mtu amekuwa tajiri kiasi hicho wewe, watu wanalala na nyoka kitandani, wewe unaweza?"
"usione dar hii watu wengi hali ngumu, lile sanamu la askari pale posta ndilo linalonyonya...
1. Usile wanga
2. Usioe single mother
3. Unaweza anza biashara bila hata mtaji
4. Usioe asiye bikra
5. Usioe mwanamke mwenye miaka 30+
6. Usipeleke mtoto A - level.. mpeleke chuo.
ONGEZEA ZINGINE
Wakuu naomba tutambuane kwa code maalumu leo!
Achana na majina yako na vyeo vyako, em comment maneno unayoongea kila wakati ukiwa kazini kwako ili tukutambue unafanya kazi gani. Nasoma comment chini.
Mimi binafsi naamini misemo hii baadhi haina nguvu hivi sasa, kwa mfano
-Aliejuu mngoje chini, Vijana wasasa hawana mda wa kupoteza wanakufuata hukohuko juu
-Mshika mawili moja humpokonyoka, kizazi cha sasa hawashiki moja maana wanaamini ni uvivu
Tiririka nawewe misemo ambayo unaona wahenga...
Huu mtindo wa wafanyabiashara wa migahawa, bar na vyoo vya umma kuchukua sabuni ya maji halafu kuiongezea maji ili iwe nyingi ni upumbavu wa hali juu. Wabongo kuna ujanja mwingine tungeachana nao tu maana tunakuwa duni kuliko hata ngedere, kama ni ubahili wa kubana matumizi basi pia ni ubahili...
Mzuka Wana jamvi, yerereeeeeerreereerreereyere!!!!!
Bila kupoteza muda.
Baadhi ya Nicknames
@Magahayo = The Mongolian Savage, Mgerasi , Semenya aka Mabange
GENTAMYCINE = Popoma
Mshana Jr = Mlozi
Eli Cohen = EliNyahu Cohen , Jasusi wa Mossad
Lucas Mwashambwa , Tlaatlaah = Chawaz Gang...
Maisha ya zamani ilikuwa raha tupu:-
''Ingia bandani kamata kuku wawili tuchinje''
''Ingia shambani vunja mahindi tuje tuchome''
''Chemsha kahawa hapo jikoni ulete tunywe huku ukinihabarisha habari za huko nyumbani''
''Hadithi hii inatufundisha nini wajukuu zangu?''
Nyakati hizi huwezi...
Ubaya Ubwela
Gusa achia Twende
kwao
Sicheki na Wowote
Ninge comment ila Mwanasheria
wangu yupo likizo
We huogopi..!
Yanga hii unaifungaje?
Mtoto Kautaka
Naijua hiyo
Kipengele uje nacho wewe tajiri
Watoto wa 2000
Ukija bila gadi nitagawa wastani kwa idadi
Kamdomo
Mambo kwa ushahidi Na hapa ipo...
Natumai mu wazima.
Nakumbuka way back nikiwa kwenye harakat zangu...
Kuna baharia aliniita na kuniuliza ishu Fulani, nilmjibu kavu akanambia "chora".
Nikawa nashangaa tu kumbe maana yake ilkuwa "nisepe"😂😂
Vipi we ushasikia msemo gani kitaa ukakuacha mdomo waz??
Nimekuwa napenda sana kusoma misemo mbali mbali katika magari hasa mabasi ya abiria na yale ya mizigo.
Ndipo nilipoamua kuwauliza madereva, nani anayetaka maneno hayo yaandikwe? Majibu yao ni kuwa, wapo matajiri wanataka semi hizo ziandikwe, wakati mwingine ni madereva wenyewe huwa ndiyo...
Maskini aliyeridhika hujibembeleza kwa misemo inayomkandamiza zaidi 😔
1. Maisha sio vita
2. Maisha ndio haya haya tu
3. Pesa hainunui furaha.
4. Utajiri ni dhambi.
5. Kila tajiri ana ushirikina.
6. Pesa sio kila kitu.
7. Mapenzi ni upendo pesa ni ziada tu
8. Utajiri unatesa sana bora hata usiwe...
Umaskini haufai, na kama ukiwa maskini ukaishi kwa misemo kama hii, ni ishara kuwa umeamua kuukubali, na kwa hakika utateseka.
Hakuna cha kusema “maisha ndiyo haya haya tu” - kuna mazuri zaidi ya hayo. Acha kujifariji kwa misemo kandamizi kama ifuatayo:
1. Maisha si vita.
2. Maisha ndiyo haya...
Kimsingi shetani yuko smart sana kiasi kwamba kumzidi ni ngumu. Hutumia binadamu wenyewe kufanikisha mambo yake.
1. "Fuata ninachosema usifuate matendo yangu"
Hii mara nyingi ni kisingizio kinachotolewa na baadhi ya viongozi wa dini au watu wengine waliojipambanua kama wenye maadili bora.
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.