michuzi

Muhidin Issa Michuzi is a Tanzanian photojournalist who is well known for initiating the Michuzi Blog.

View More On Wikipedia.org
  1. Mohamed Said

    Maktaba: Mazungumzo na Muhidin Issa Michuzi

    https://youtu.be/_6FtBWyaQ-w?si=CfeqLGmWTZcyH5zI
  2. Mohamed Said

    Nyongeza Katika Makanikia ya Michuzi Historia ya Abdulwahid Sykes na Jomo Kenyatta 1950

    https://www.instagram.com/reel/DLVrV_LKwvP/?igsh=ZjFkYzMzMDQzZg== Nimeangalia hii Makinikia aliyoweka Muhidin Issa Michuzi. Nimemwona Jomo Kenyatta na Julius Nyerere kwenye Land Rover wakienda kwenye mkutano wa hadhara kuhutubia wananchi. Hii ilikuwa mwaka wa 1961 Kenya bado haijapata uhuru...
  3. M

    Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje

    Hali ya Bashe sasa itadhidi kuwa mbaya baada ya Kilombero Sugar kutema cheche Wazalishaji sukari wavunja ukimya, wadai kutotendewa haki sakata la sukari Muktasari: Baada ya kushutumiwa kwa muda mrefu na kutajwa kuwa wao ndiyo chanzo cha kupanda kwa bei ya sukari nchini, umoja wazalishaji wa...
  4. Erythrocyte

    Je, TAKUKURU iendelee kumchunguza Zahara Michuzi au iache?

    Hivi CCM haina watu wengine? Kwanini inang'ang'ania watoto wa viongozi ambao hawana uwezo? Huyu Zahara Michuzi amehamishiwa ifakara badala ya kufurumushwa kutokana na tuhuma lukuki zilizomkabili, hii maana yake ni kwamba Rais aliyemteua haamini DC aliyemchongea wala haamini TAKUKURU, hii ina...
  5. Mkaruka

    Huyu DED wa Geita TC, Zahra Michuzi ni Mtoto wa Issa Michuzi aliyekuwa Mpiga picha wa Ikulu?

    Kwa anayejua!!!
  6. ESCORT 1

    Yuko wapi Issa Michuzi aliyekuwa mpiga picha wa Marais waliopita?

    Huyu bwana alikuwa ni mpiga picha mwandamizi katika awamu za 4&5 mtawalia. Ila kwasasa kwenye awamu hii ya 6 haonekani katika majukumu ya kumpiga picha Rais wa awamu ya 6, ndio kusema ameshastaafu au amepangiwa majukumu mengine? Njooni mtujuze, afu naskia jamaa ni kipepeo mweusi?
  7. Miss Zomboko

    TANZIA Mwanamuziki mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki leo akiwa Muhimbili

    Mwanamuziki mkongwe Ismail Issa Michuzi amefariki dunia asubuhi hii katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar alikokuwa akitibiwa maradhi ya tumbo. Ismail, ambaye ni kaka yake mpiga picha maarufu na blogger Muhidin Issa Michuzi, amefariki akiwa na umri wa miaka 61. Ismail atakumbukwa...
Back
Top Bottom