michuano ya afcon

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalton elijah

    KWELI Hali ya miongoni mwa Viwanja kilichokuwa kimepangwa kutumika katika AFCON 2017 Gabon kikiwa kimetelekezwa

    Kumekuwepo na picha kadhaa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan Facebook, zikionyesha hali ya viwanja vya michezo vilivyotumika katika mashindano ya AFCON nchini Gabon mwaka 2017 vikiwa katika hali mbaya ya uharibifu na kutelekezwa. Katika baadhi ya picha zinazoonekana kwenye picha...
  2. I

    AFCON 2027: CAF huenda ikaahirisha mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) linaripotiwa kufikiria kuahirisha michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 hadi 2028 kutokana na wasiwasi wa utayari wa miundombinu na marekebisho yanayoendelea ya kalenda ya soka ya bara hili. Uvumi huo unakuja kabla ya kikao cha Kamati ya Utendaji...
  3. Roving Journalist

    Maendeleo na gharama za viwanja vitakavyotumika katika Michuano ya AFCON 2027

    Tanzania Benjamin Mkapa Stadium (Dar es Salaam) Ujazo: 60,000 Gharama: $90M (Initial Construction), $12M (Renovations) Maendeleo: Renovations finalizing Vyanzo: IPP Media (https://www.ippmedia.com/the-guardian/business/read/special-report-2024-05-23-185807), Wakala wa Majengo Tanzania – Paul...
  4. Just Pray

    PostGE2025 Zungu: Tunakosea kulinganisha matokeo ya Taifa Stars na uchaguzi wa Tanzania

    Kwenye ukurasa wake wa Instagram Zungu anasema: Wanangu wa Upinzani sio kila kitu mnaweza kubeba kama ajenda msifanye hivyo 🙏yani kila kitu hata kama ni kizuri baadhi yenu mnajaribu kubadilisha ajenda kwa maksudi kabisa daah 😭😭😭 Hii timu sio ya Ccm wa Chadema ni ya kwetu Watanzania acheni hizo...
  5. Superbug

    Asante AFCON 2025. Ule mjadala wa Haki Vs Amani umefungwa rasmi

    Ule mijadala wa haki vs amani umefungwa rasmi. Ccm na Masheikh walikuwa upande wa amani TEC, Watanzania na baadhi ya Masheikh wema hasa kina Ponda (shura ) walikuwa upande wa haki Sasa Leo AFCON imeifundisha CCM Masheikh ni kipi ni muhimu zaidi. Asante AFCON 2026.
  6. Q

    Mpira umeisha kwa Amani wanaodai Haki haikutendeka wanataka kuvuruga michuano ya AFCON.

    Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza. Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima...
  7. mwehu ndama

    Hakuna raha kama kuwashuhudia Taifa Stars kung'olewa AFCON

    Hakuna raha kama kuwashuhudia Mazezeta ya Taifa stars yaking'olewa kibabe na timu ya Taifa ya Morocco. Maana Walikua wamejiandaa kumuimbia mapambio yule mtu fudenge alie mafichoni. Tena kufurmushwa kwao kutaokoa mamilioni ya pesa ya umma yaliyokua mbioni kutokomea kwa kisingizio cha kununua...
  8. Damaso

    Uandishi Maandazi ndani ya Clouds FM

    Leo ni siku ya mchezo wa mwisho wa kundi la AFCON, mjadala mkubwa haupo tena uwanjani bali pia kwenye vyombo vya habari. Leo asubuhi baadhi ya waandishi wa Clouds FM wamejikuta wakilaumiwa kwa kile kinachoonekana kama kulazimisha matumaini yasiyo na msingi kwa Watanzania. Asubuhi ya leo kwenye...
  9. Waufukweni

    Picha: Mwonekano mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha, utakaotumika kwenye michuano ya AFCON 2027

    Matukio mbalimbali katika picha wakati Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Methusela Ntonda alipokwenda kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha, wakati wa kikao kazi cha mwezi cha maendeleo ya mradi huo. Ntonda alikuwa ameambatana na...
  10. Chakaza

    Mnataka Stars Ishinde na Kwenda AFCON? Ondoeni Siasa na Kampeni Zenu Mchezo Huo

    Tukiwa tunaelekea kwenye mchezo wa mwisho na Guinea 🇬🇳 na ndio utakao toa maamuzi tutakwenda Morocco AFCON au laa nimesikitishwa na jambo moja. Tamaa zenu za kisiasa hakika leo zinaweza kutokosesha ushindi. Kumtumia Samia kama icon ya jitihada za kwenda Morocco wakati sio kweli. Wachezaji...
Back
Top Bottom