mgombea wa urais

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    GE2025 Askari Polisi kutoka nchi nzima wako Mwanza kuimarisha ulinzi wa siku ya kufunga kampeni za mgombea wa Urais kupitia CCM

    Huyu mama yenu sijui ana hofu ya nini? Yani kuna police wametumwa Mwanza kwenda kuongeza nguvu kwenye siku ya tamati ya kampeni za mgombea urais wa CCM. Kama sio kuchezea pesa za umma ni nini hiki yani umsafirishe police kutoka mtwara hadi mwanza kwa ajili ya ulinzi wa siku moja tu,ana hofu...
  2. Pascal Mayalla

    Election Predictions: Unaweza usiamini, Kura za ACT Wazalendo kwa Urais wa JMT, ni kwa Samia, Mgombea wa Urais wa CCM!.

    Wanabodi Mimi ni Mzee wa trends and analysis, trends and analysis ya kwanza ya uchaguzi huu ni hii Thread 'Mwana JF, Be The First to Know CCM Ndie The Overall Winner wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 Kufuatia Ushindi Serikali za Mitaa。CCM Amekomba Almost Everything!' PreGE2025 - Mwana JF, Be The First to...
  3. McLaren

    GE2025 Mgombea wa Urais NLD: Mkinichagua barabara zenu zitajengwa kwa zege na sio lami

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NLD, Mhe. Doyo Hassan Doyo, akiwa katika ziara za kampeni Wilaya ya Serengeti, aliwahutubia wakazi wa Mji wa Mugumu. Katika hotuba yake, Mhe. Doyo alisema kuwa ni fedheha kwa wananchi wa Serengeti kukosa miundombinu bora ya...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Mjumbe wa Wazee Pemba Kumshawishi Mgombea wa Urais wa ACT Wazalendo Kumpigia Hussein Mwinyi Kura ya “Ndiyo”

    Mjumbe Ngome wa Jumuiya ya Wazee Mkoa wa Micheweni Pemba, Faki Ali Juma kutoka Maziwa ya Ngome amesema atamshawishi Mgombea wa Urais wa Chama Cha ACT WAZALENDO Othman Masoud Othman atie kura yake ya NDIO kwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana na maendeleo ambayo ameyafanya kwani kila...
  5. R

    Mgombea wa Urais wetu kutoka TLP

    Kweli mama yetu unagombea na huyu?
  6. R

    GE2025 Mgombea Urais UDP: Lengo kubwa ya chama chetu ni kuwainua wananchi wanyonge kwa sera yetu ya kuwajaza watu Mapesa

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha United Democratic Party (UDP), Saum Hussein Rashid, akiambatana na mgombea mwenza wake Juma Khamis Faki, wamechukua fomu za uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Njedengwa jijini Dodoma. Baada ya...
  7. Just Pray

    GE2025 Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Makini, Coaster Kibonde achukua fomu ofisi za INEC

    Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Makini, Bw. Coaster Kibonde na Mgombea Mwenza Azza Haji Suleiman, wamejitokeza Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC, Njedengwa Jijini Dodoma, kuchukua fomu ya uteuzi kugombea nafasi ya Urais na kubainisha kuwa wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashinda...
  8. Wakusoma 12

    CCM anzisheni mchakato wa kutafuta mgombea wa urais ili waombaji watafute wadhamini mapema acheni kushupaza shingo.

    Huu ni ushauri tu maana imeandikwa kwenye "ashupaye shingo atavunjika ghafula, wala hatakuwa na dawa" inatoka katika Biblia, hasa katika kitabu cha: "Mtu ashupaye shingo baada ya kukemewa mara nyingi, atavunjika ghafula, wala hatakuwa na dawa." "Atavunjika ghafula" maana yake ni kwamba...
  9. Nipe Maji

    PreGE2025 Chama cha siasa cha Wakulima (AAFP) chamteua rasmi kada wake, Kunje Ngombale-Mwiru kuwa mgombea wa urais

    Chama cha siasa cha Wakulima (AAFP) leo kimemteua rasmi kada wake, Kunje Ngombale-Mwiru kuwa mgombea wa urais atakayewakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu. Hata hivyo, chama hicho kimeshindwa kumpata mgombea urais upande wa Zanzibar baada ya...
  10. S

    PreGE2025 Unadhani ni nani ndani ya CCM angekuwa na baraka za Magufuli kurithi uraisi kama angemaliza awamu mbili bila kufa?

    Hivi umewahi kujiuliza, ikiwa Magufuli angeishi hadi kumaliza awamu zake mbili za miaka 10 ya uraisi, angemuandaa nani ndani ya CCM ili awe mrithi wake wa kiti cha uraisi? Nimekuwa nikiwafikiria watu kadhaa na kukata mashauri yafuatayo; Makamu wake wa Raisi, Samia - hapa hakuna kabisa hata...
Back
Top Bottom