mbunge msukuma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    Mbunge Musukuma na Usomi phobia, kutokusoma siyo sifa!!

    Mbunge machachari Msukuma ana upeo mkubwa wa kuongea na kuongea. Lakini wakati mwingine kinachomtoka mdomoni ni pumba zisizo ainisha mantiki ya usomi nyuma yake. Huwa anawa nanga sana wasomi, utaifikiri mikakati ya mwalimu Nyerere kufuta ujinga ilikuwa kupoteza muda na fedha. Msukuma...
  2. R

    Mbunge Msukuma: wakandarasi wa ndani wanaishi kwa vidonge vya presha, kazi wanapewa wageni wanaroga

    "Kila mwaka maandiko yanakuja yasema tuimarishe wakandarasi wa ndani nyinyi wote nimashaidi tunatoka kwenye jamii inayotuzunguka ya wakandarasi, kama kuna watu wanaisha maisha ya vidonge vya presha kwenye mifuko ni wakandarasi. Tunazungumza tu kirahisi tuwaimarishe lakini kazi zinapotoka...
  3. R

    Musukuma: Uenyekiti wa bodi umekuwa cheo cha shukrani, mnamchagua mstaafu wa miaka 70 anaenda kukaa na kusinzia

    Akizungumza kwenye bunge la 13, mkutano wa pili, kikao cha 6 leo Februari 3, 2026 Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Kasheku Msukuma ameeleza kuhusu nafasi ya uenyeviti wa bodi kuchaguliwa kwa kuzingatia umri ili kuleta mawazo mapya na si kuwapa wastaafu wa miaka 70 ambao tayari wamechoka
  4. Nyankurungu2020

    Mbunge Musukuma uwe unatumia akili, sio kutaka sifa zisizo na mashiko. Wewe umesoma na una PhD

    Mtu amesoma na ana Phd lakini anaingilia suala ambalo lina mkataba kisheria. Kama muwekezaji ameingia kima kosa basi halmashauri au waliofunga nae mkataba wauvunje kama kweli ni voidable contract. Sasa habari ya kutaka upewwa maelezo kibabe mbele ya kamera ya nini? Wewe sio sehemu ya mkataba...
  5. The Burning Spear

    Mbunge Musukuma azichapa na ‘mwekezaji’

    GT, Tukisema HAKI mnatuona wachochezi. Haya sasa hapa imekosekana HAKI.au AMANI?. =========== WABUNGE kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita wameiomba serikali kuchukua hatua dhidi ya mwekezaji anayetuhumiwa kubomoa bila kibali majengo ya serikali katika kitongoji cha Katoro Center kilichopo...
  6. Lord Denning

    Ujumbe kwa Mbunge Msukuma: Kama unataka tuwaige China tusiiche kubana Uhuru wa Maoni, Tuwaige basi hadi Kuwanyonga na kuwapiga risasi Mafisadi

    Nimemsikiliza Mbunge Msukuma. Amempinga sana Gwajima kwa hoja nzito alizozitoa mbunge wa Kawe. Msukuma hakuishia hapo alisema Tanzania inaenda mwendo wa China kunyima uhuru wa maoni ili kumruhusu Rais afanye kazi yake. Sasa mimi namwambia Msukuma. Kama anataka tuwaige China basi tuwaige na...
  7. Fbn

    Mbunge Musukuma wewe darasa la saba ila hufahamu kitu. Jifunze kwa wenzetu

    Nimemsikia mbunge Musukuma kuhusu kuweka tozo kupita daraja la Busisi. Ila nikajiuliza hivi hawa wabunge wakisafiri nchi za watu wanaenda kufuata ilani ya chama cha CCM. Soma > Musukuma apendekeza tozo Kwa magari ya biashara kuvuka Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) ili Kurudisha zaidi ya...
  8. M

    PreGE2025 Mbunge Musukuma atumia zaidi ya Tsh bilioni 1 kununua ambulance, gari la Polisi na kujenga kituo cha Polisi Geita Vijijini

    Mbunge wa Jimbo la Geita, Joseph Musukuma, leo Machi 6, 2025, ameonesha magari 10 ya kubebea wagonjwa pamoja na moja kwa ajili ya Jeshi la Polisi, ambayo atawakabidhi wananchi wa jimbo lake ili kuboresha huduma za afya na usalama wa jamii. Musukuma amesema magari hayo yatanufaisha wananchi wa...
  9. ngara23

    Mbunge Musukuma nae ni kati ya watunga sera na sheria za nchi yetu?

    Ifike hatua sifa ya kuwa mbunge iwe ni elimu na uelewa wa mambo Kwa kina Msiangalie utajiri na kudhamini wake katika Chama ndo awe mbunge Mbunge Msukuma ni layman tu, yaani aliongea hana tofauti na mnywa kahawa pale Buguruni Leo nimemsikia akipuuza na kusema kuwa wahudumu wa SGR wafutwe kazi...
Back
Top Bottom