Serikali ilishakufa pale kijiti alipoachiwa Raisi Samia, tumeshuudia kila aina ya uchafu, ushezi, ukatili, haki kukosekana, mahakama kuongozwa na watu wachache, polisi kijiamulia watakavyo, vyombo vya ulinzi vingi kama jeshi JWTZ sasa kama ni migambo, uhamiaji hakuna kitu huko na TISS na mifano...
Habari za Jumapili.
1. Ndugu zangu bado tupo kwenye Wajibu.
2. Vyovyote iwavyo asitokee mtu akauawa. Ni hatari sana.
3. Muibie mtu atakusamehe ukimrudishia fidia. Mfunge MTU kwa kesi hata za mchongo hewala.
4. Lakini kuua mtu hiyo ni kesi nyingine kabisa. Damu hulipwa na damu na sio pesa...
Kutoka mtandao wa X 👇. Tunasubiri majibu ya kizalendo kutoka kwa msemaji wa Serikali.
--------------
Kamati ya Mambo ya Nje ya Seneti ya Marekani (U.S. Senate Foreign Relations Committee) imetoa taarifa inayoonesha kwa kina hatua za kutia wasiwasi zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania...
Kwenye dunia ya leo, ogopa sana Mungu (kwa tunaosali) na Teknolojia.
Ripoti ya CNN imeiacha Serikali hii bila nguo, aibu gani hii? Kwamba video za Sekou Toure na Mwananyamala ni halisi, na baadhi ya waliouawa wamezikwa kwenye makaburi ya Kondo.
Najua mnaweza kwenda kufukua, lakini DNA analysis...
AMSTERDAM & PARTNERS LLP YAONYWA KUHUSU UKATILI NA MAUAJI TANZANIA; YATOA WITO WA HATUA ZA KIMATAIFA
London, Novemba 17, 2025 – Amsterdam & Partners LLP, ikifanya kazi kama mawakili wa kimataifa wa CHADEMA na Mwenyekiti wake, Tundu Lissu, inatoa tahadhari kuhusu kuporomoka kabisa kwa hali ya...
Ireland inaunga mkono wito wa kuchunguza matukio ya mauaji yaliyojitokeza kipindi na baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania kama ulivyotolewa na Kamishna wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa. @volker_turk
Wataponea wapi!
ONYO: Maudhui ya kutisha.
BBC yathibitisha video za mauaji yalitokea wiki ya uchaguzi nchini Tanzania.
Tumethibitisha baadhi ya video hizo kwa kutumia picha za setalaiti na kulinganisha maeneo. Aidha video hizo zilizosambaa zinaonesha miili ya watu waliopigwa risasi, majeraha katika sehemu...
Askofu wa Dayosisi ya Karagwe Kalikawe Lwakalinda Bagonza anasema "wapo wanaowaua wenzao kwa kisingizio cha kulitetea taifa, ndugu hao watakufa na taifa litabaki alafu litawasahau"
:
Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar Es Salaam, Jumanne Muliro, hivi karibuni akiwa anazungumza na Chief Odemba kwenye tukio maalum lililoandaliwa na TLS amezungumzia kwa uchache kuhusu sakata la kutekwa kwa Sativa.
Soma pia: Sativa: Nilitekwa na Jeshi la Polisi wakiwa na lengo la kuniua, hata...
(FULL VIDEO IPO CHINI)
Leo tarehe 5 Oktoba 2024, mawakili wote wa Tanzania bara, hasa wa jijini Dar es Salaam, wanakutana katika jengo la Ubungo Plaza, Dar es Salaam, ili kujadili suala la utekwaji na upoteaji wa raia nchini Tanzania. Tukio hili la kitaifa linaandaliwa na Tanganyika Law Society...
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/...
Ndugu watanzania, inchi yetu inapitia kipindi kigumu sana hasa juu la swala la mauwaji hayakubaliki kabisa iwe kwa sbb yoyote ile, mfalme yoyote yule hana mamlaka ya kukatisha uhai wa mtu yoyote yule.
Rai yangu watanzania swala la kudai haki kwa njia ya amani ni la kikatiba, mandamano...
Kufuatia mauaji ya kutisha & kusikitisha ya Mzee Ally Mohamed Kibao kada wa CHADEMA Wazee wa kimila wa makabila ya Wamaasai & Wameru wameanza taratibu za kuvunja CHUNGU.
Wale wote waliopanga,waliotekeleza,waliofahamu na walioficha wategemee kilio kikuu ambacho kitakwenda kusambaratisha hadi...
Hakika Dunia nzima inamlilia Ally Mohamed Kibao japo hawamjui. Ogopa sana Machozi ya aina hii
Ukurasani X Mo Dewji naye amemlilia sana Ally Mohamed Kibao. Niishie hapo 🐼
======
Mohamed Dewji ameandika:
Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha Bw. Ali Kibao. Ninatoa pole kwa...
C&P from Face Book.
KUTEKWA, KUTESWA, KUUAWA KWA ALLY KIBAO, TUSAIDIANE KUTAFAKARI
Na Bollen Ngetti
SOMA lakini kwa tafakuri pana labda tukajua ukweli walau kidogo si wote katika giza hili lililofunika kutekwa, kuteswa na hatimaye kuuawa kikatili Mzee Ally Muhammed Kibao al-maarufu MeD...
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk...
Mariam, mtoto wa aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ali Kibao akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni (kulia), baada ya kufika kuwafariji kwa kifo cha baba yake.
Kibao aliuawa baada ya kutekwa na watu wenye silaha, jioni ya Ijumaa ya...
Je ni kweli kuna miili mingine mitatu iliokotwa sambamba na marehemu Kibao?
Kama ni kweli, kwa nini polisi haitoi taarifa kuhusu kupatikana miili hiyo?
Watanzania mlioko nyumbani, nendeni hospitali ya Mwananyamala kufuatilia hili suala. Iwapo miili hiyo ipo, DNA zichukuliwe kutambua next kin...
Msikilizeni huyo shuhuda.
Anadai Mzee Ally Kibao aliumizwa vibaya kichwani, na alitobolewa macho.
"Nilikuwa na abira wangu sasa wakati napita nilikuta watu wengi sasa hapa ilibidi nipaki nilikuja kuaangalia tulikuta mtu amakekufa, kapigwa kichwani, amevia damu, amaetobolewa macho unaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.