Kama huridhiki na TFF, waamuzi, mashabiki, wananchi,serikali,jirani yako,nduguyo,mumeo,rafikiyo,mtotoyo,mzaziyo.
Yanga tuna wanasheria wazuri waone watawaandikia barua CAS utapata haki yako. Mashujaa leo kama hatunaridhika na haya matokeo mi nadhani tuwaone wanasheria wa Yanga wabobezi...