Habari,
A Sales and marketing officer is needed. (Cheti sio muhimu )
Skills needed
1. Deals closer
2. Uwe na ushawishi
3. Marketing skills
NB : Should be able to help reach monthly target
Salary 200k monthly plus 10 percent commission per each deal closed .
Location: Mbezi Mwisho, Dar Es...
Leo nimesikia kitu kilichonifurahisha sana kutoka wa waziri wa fedha wakati akiwasilisha bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka 2023/2024 nalo ni kuja na mpango wa kuanza kukusanya Kodi kwenye matangazo ya biashara mitandaoni.
Sijajua kwa upande wa Serikali ukiachana na kukusanya Kodi kwenye...
Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
I have a Certificate in Sales and Marketing and over six years of experience in Sales based on Fast moving consumer goods, I am confident in my ability to make a significant impact in sales and marketing department.
Throughout my professional career, I have demonstrated a strong ability to...
Pata ongezeko la wateja, brand awareness, kuza biashara zako na mtalaam hapa mambo ya mitandao ya kijamii na Masoko kiujumla.
Faida za kuwa na social media + marketing manager
1. Nasimamia akaunti zako zote za mitandao ya kijamaa ya baishara yako, kama kuweka bidhaa/ huduma zako, kuwaelezea...
Wandugu
I am reaching out to you with a crazy idea that I'm sure will boost your business. As we all know, people love to come together, socialize and have drinks including cold beers😋🍺🍻 whoow I love it!!!!!!!!
As the matter of fact, Brew drinking is a popular pastime in Tanzania, enjoyed by...
Habari,
Nahitajii mtu wa Marketing mwenye uzoefu wa kutafuta wanafunzi kwa ajili ya vyuo vikuu.
Vyeti si muhimu, kama uko tayari nipigie tuongeee 0678650509.
NB: Wakazi wa Dar tu.
Kampuni ya SMAI Group Limited ambayo ni wamilikiwa SMAI Express na SMAI Delivery, wanahitaji vijana wasiopungua kumi kwa ajiri ya internship kwa kipindi hiki cha miezi mitatu ambayo wamezindua huduma mpya ya usafirishaji wa mizigo kutoka Dar kwenda nchi nzima na nchi jirani, pia Wamefungua...
Hello! Wana JF.
Anahitajika afisa masoko na mauzo kwa ajili ya biashara ya vifaa vya keki na upambaji wa keki. Maombi yapo wazi kwa jinsia zote ila wanawake watapewa kipaumbele. Tangazo kamili lipo kwenye attachment.
Nime soma course ya computer graphic miaka minne kutoka JWTZ Kama kuna mtu anatafuta kijana wa computer graphic anaye weza kutengeneza kama photoshop, photography, logo design, web design, app design, video director nipo hapa 4 years experience.
Lakini pia nina mafunzo ya ukamanda kutoka JWTZ...
Habari wana jamii forum,
Natafuta kazi yoyote ile iliyo ndani au nje ya field yangu. Details zangu kwa ufupi.
Age:25
Education level: Bachelor degree in Bussiness Administration.
Work Experience: 2+ years as an assistant sales and production in FMG industry.
In-depth knowledge: National and...
MARKETING OFFICER JOB VACANCY
About ECOACT Tanzania Limited
EcoAct Tanzania Limited is a social enterprise established to address the challenges of post consumer plastic pollution, waste management, deforestation, and climate change.
We recycle and transform post consumer plastic wastes to...
Habari wakuu
Mimi ni designer wa UI&UX za mobile Apps...sasa kuna mambo mawili ambayo yamefanya nije jukwaani kutafuta mtu wa marketing.
1) Wanunuzi wa designs zangu.
Kama ambavyo producer huwa anatengeneza beat kisha msanii akiskiliza akapenda akamuuzia beat hiyo au kuingia studio kurekodi...
Habari wakuu
Kama title ya uzi inavyosema ninatoa 50k Tsh kwa yeyote anayeweza kunikutanisha na moja kati ya watu wafuatao.
-Meneja/Afisa masoko wa Pepsi/Coca-Cola
-Meneja/Afisa masoko wa Kilimanjaro/Castle light/Serengeti light
-Joseph Kusaga
-Majizzo
-Diamond Platnumz
Haya twende kazi 50k...
Nataka kujua marketing meneja wa Mitungi ya Gesi aliyeisamabaza mpka visiwani huko ukerewe na Ghana alilipwa na ROSTAM au serikali yetu?
Mh Rais nchi hii ni ya kwetu jaman mbona Kuna matumizi hatuyaelewi sisi wengine jaman?
Mbona tozo zimekuwa tozolo?jaman nchi hii na tozolo tunaelekea wapi jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.