maridhiano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hakuna kitabu chochote kitakatifu (Qoran/Bible) kilichoagiza Maridhiano na Shetani

    Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya hatari na. atahukumiwa haraka sana. Nimeweka Uzi huu kwa lengo la kuwakumbusha wacha Mungu wenzangu...
  2. CHADEMA wekeni msimamo huo huo. Hakuna maridhiano mpaka Lissu aachiwe. Kama hawataki wakae na Lissu mpaka mwisho wa dunia

    Unakaa na Lissu gerezani wa nini? Mahakama imeshatoa maaamuzi kuwa ushahidi haufai. Ushahidi ambao Dpp na Wasomi wenzake waliaamini ni ushahidi credible. Sasa wanataka ushahidi gani tena? Basi wakae na Lissu mpaka hii dunia itakapofika mwisho. Msimamo huu mpaka Katiba mpya ipatikane hata...
  3. R

    PostGE2025 Ukiwa na mikono yenye damu, meza ya maridhiano inakukataa automatically

    Salaam! Asomaye na afahamu, 1. Mfalme Daudi alipenda sana kumjengea hekalu Mungu Ili Sanduku la AGANO lipate pa kukaa, akasahau kuangalia mikono yake ilivyojaa damu, ombi lake likakataliwa, mwanae Mfalme Suleimanmwenye mikono safi ndiye akaja kupata ridhaa kujenga hekalu. 2. Hitler, Idd Amin...
  4. Serikali acheni kumshawishi sana Lissu, ashawaambia hataki Maridhiano na Samia

    Kwa mwezi mzima Lissu hajaletwa mahakamani, unaweza Dhani ni bahati mbaya but No. Kwa muda Sasa serikali imekuwa kwenye negotiations na Lissu Ili akubali kushirikiana nao. Toka amewekwa gerezani Serikali imetuma team 4 na zote zimegonga mwamba. Baada ya Lissu kukataa serikali wakampa shariti...
  5. S

    PostGE2025 Samia, hukuna ushirikiano atakaoupata kuandika Katiba mpya, kuleta maridhiano na hata Tume aliyoiunda itasusiwa na wananchi wengi

    Huo ndio ukweli mchungu. Mambo hayo yanaweza kupatikana ai kufanikiwa tu wakati Samia na watuhumiwa wenzake wakiwa wanajitetea ICC au teyari ni wafungwa katika magereza mbalimbali duniani na si vinginenyo.
  6. R

    PostGE2025 David Kafulila: Matokeo ya tume yatasaidia katika maridhiano

    “Matokeo ya Tume hii ya Uchunguzi yatasaidia hata mjadala mpana wa kuridhiana, kwa sababu kuridhiana ni mchakato na ni hatua kwa hatua kuna mambo tunaridhiana kwa sasa kuna mambo yanasubiri uchunguzi huu……” David Kafulila – Amesema Mkurugenzi Mtendaji PPPC akiwa katika mahojiano na ITV. Pia...
  7. PostGE2025 THRDC: Maridhiano yafanyike katika njia za ukweli, haki na uwajibikaji

    Mratibu wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa, ametoa wito kwa taifa kuanzisha mapema mchakato wa maridhiano na uponyaji baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yaliyotokea kuanzia Oktoba 29 na siku zilizofuatia. Kwa mujibu wa Wakili...
  8. K

    PostGE2025 Tumuelewe Mhe.Rais kuhusu maridhiano

    Mwenyezi Mungu aendelee kusimama na kila mmoja na kusimama na Taifa letu. Ni imani yangu bado kila mmoja anakusudi la kweli katika kudumisha amani, kukuza umoja wa kitaifa na kusimamia misingi ya haki. Katika mengi ,nami nawiwa kutoa mchango wangu wa machache .Kama mtanzania natambua mchango...
  9. T

    Samia hataki maridhiano

    Siamini nachoona na kusikia Huyu anataka maridhiano kweli ?
  10. Kuhusu Maridhiano: Kwanza Balozi (CP) Suzan Kaganda awe IGP ndo tukae mezani

    Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe, Mheshimiwa Kamishina wa Polisi (CP) Suzan S. Kaganda, awe IGP ili tufanye maridhiano IGP Camillus Mongoso Wambura anatuhumiwa kutoa amri kwa Polisi ya kuua Raia. Ananuka damu za Watanzania. Kwanza hana Elimu ndo maana hajiamini. Hatuwezi fanya reconciliation...
  11. Kwa mambo kama haya maridhiano yatapatikana? Au wamechukia Lissu katajwa na Bunge la EU?

    Hawataki kabisa Lissu atembelewe na makada wa CHADEMA
  12. W

    PostGE2025 Wanazuoni wa kiislam Iringa: Haki itafutwe pakiwa na amani, Vijana pokeeni mkono wa maridhiano kutoka kwa Rais Samia

    Wanazuoni wa kiislam kutokea Iringa kupitia hotuba yao kwa vyombo vya habari wameeleza kuwa haki itafutwe pakiwa na amani njia ya amani na si kwa vurugu na uvunjifu wa amani. Na haya ni baadhi ya matamko/mapendekezo yao; Wanaiunga hotuba ya Rais Samia katika uzinduzi wa bunge la 13, wanaiona...
  13. Wananchi shitukeni mnaandaliwa kisaikolojia kukubali maridhiano, maagizo mengi yatafanyika kipindi hiki ili kuwapa uhuru wa kutawala

    CCM wamefanya wanachokiweza kuhakikisha wanaingia madarakani kinguvu, wengi waliopinga suala hilo wameishia kupotezwa au kupewa kesi ngumu wengine ndio kama hivyo wamepoteza maisha. Sasa kwa kuwa serikali hii imechafuka kwa kiasi kikubwa na mataifa mengi yametupia jicho hapa nchini na wengine...
  14. PostGE2025 Alichoandika Steven Mmbogo kuhusu Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa

    BARUA YA WAZI KWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN “Kwa ajili ya Ukweli, Amani, Maridhiano na Mustakabali wa Taifa” Na: Steven Mmbogo - 24 Novemba 2025 Mheshimiwa Rais, Ninakuandikia barua hii kwa unyenyekevu, kwa uwazi, na kwa heshima ya hadhi yako kama Mkuu wa Nchi, lakini pia kwa ujasiri...
  15. Hivi maridhiano ya chakwera yamefanyika lini vile ?

    maridhiano na huyo
  16. Q

    Maridhiano ya Chakwera yamefikia wapi, siku 4 alizopewa zinaisha leo

    Dkt. Chakwera alitarajiwa kuwasili nchini Tanzania kwa ziara ya siku nne kuanzia tarehe 18 hadi 21 Novemba, kwa ajili ya kuanzisha majadiliano jumuishi na wadau mbalimbali wa Tanzania. Mwenye taarifa atupatie sisi wadau na wahanga wa maandamano, au walijifungia Royal Hotel Dodoma na kina...
  17. R

    PostGE2025 Wenje: Idadi ya vifo vinavyoripotiwa havijathibitishwa, tayari serikali imeweka mikakati ya uchunguzi na maridhiano

    Aliyekuwa Mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye sasa ni mwanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ezekiel Wenje, akizungumza katika mahojiano maalum na Televisheni ya Kenya, TV47, amezungumzia kuhusu machafuko yaliyoikumba Tanzania wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29...
  18. Mpaka sasa Polepole hajulikani alipo na waliomuua Mzee Kibao hawajachukuliwa hatua, Unadiriki kuzungumza Maridhiano? Tukutane Barabarani DEC 9

    Serikali ILIYOMWAGA DAMU za watanganyika, Serikali iliyoua maelfu ya Watanganyika, ili tu kulazimisha mtu mmoja na chama kimoja kisalie madarakani, LEO wanajitokeza hadharani wakijifanya hawajui chanzo cha ndugu, jamaa zetu na wapendwa wetu kuuawa! hii ni DHARAU KUBWA SANA. Haijawahi kutokea...
  19. PostGE2025 Rais Samia: Tume ya Uchunguzi ndiyo italeta ajenda kwenye Tume ya Maridhiano

    Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tume ya uchunguzi ya Jaji Chande ndiyo itakayoleta ajenda ya tume ya Maridhiano. Pia Soma: Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025
  20. W

    PostGE2025 Je, Dkt. Lazarus Chakwera ni Mjumbe Sahihi kuongoza maridhiano Tanzania baada ya Uchaguzi?

    Hivi kiongozi aliyeshindwa kusimamia mageuzi na uwajibikaji nchini kwake anaweza kweli kuongoza upatanishi nchini Tanzania? Jumuiya ya Madola (Commonwealth) imemteua aliyekuwa Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera, kuongoza jitihada za maridhiano nchini Tanzania. Hata hivyo, rekodi yake ya uongozi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…