Habari Watanzania,
Katika miezi kadhaa sasa, kuna jambo limekuwa likijirudia sana.
Jambo hili ni ZITO sana na wala si la kuchukulia mzaha hata kidogo.
Jambo lenyewe ni hili:
Mfumo wa TRA, hasa TANCIS ambao ndio unaotumiwa na Idara ya Forodha (Customs) kukusanya Mapato ya bidhaa zinazoingizwa...