mali za urithi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gospel KTV

    JamiiForums Tanzania Ndugu Yangu Amekataa Kumrithisha Mke Wake Mali Amedai Sio Ndugu Yake wa Damu Amewarithisha Watoto Wao Amedai Ndio Ndugu zao wa Damu

    Ilibidi tuende kusuruhisha baada ya mke wake kulalamika jina lake kutohusishwa kwenye wosia kama mtu anaye takiwa kurithishwa mali. Ndugu yangu akaanza kueleza kama ifuatavyo: "Mme na mke sio ndugu wa damu. Na ndio maana mme akifariki siku hiyohiyo mke anachukuliwa na mwanamme mwingine na...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mali za urithi

    Mahakama ya Rufani imeamua kuwa baadhi ya mali zilizokuwa zikihusishwa na marehemu Getrude Rwakatare si sehemu ya urithi wake, bali zinamilikiwa kisheria na kampuni ya St Mary’s International Academy Limited. Katika hukumu iliyotolewa Mei 18, 2026 jijini Dar es Salaam, Mahakama ya Rufani...
  3. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina yaorodheshwa na UN kwenye mali za urithi za kiutamaduni za binadamu

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) hivi karibuni liliamua kuorodhesha Sikukuu ya Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina kwenye mali za urithi za kiutamduni za bindamu. Uamuzi huo utasaidia kuhimiza ongezeko la ushawishi wa utamaduni wa jadi wa Kichina duniani. Historia...
Back
Top Bottom