mahusiano katika ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Scott junior

    Nyumbani wamenipa 2 yrs nipeleke babe mama

    Oyaa wakuu Wazee sijui hawanielewi Wamenipa 2 yrs nipeleke babe mama, baada ya kuwa sister kachumbiwa maan tuko wawili tu, nilibaki nachekacheka tu. Hawajui nimeshapigwa na vitu vizito na hawa vipepeo wa dunia, Uchumi bado hauko stable , pesa inanitosha mwenyewe. Ingawa nina vipepeo viwili...
  2. McLaren

    Ashinda bahati nasibu ya Tshs Bilioni 680 muda mfupi baada ya kutalikiana na mkewe. Ex wako akishinda kiasi kama hiki utamrudia?

    Wakuu, Hii ni story ya kweli kabisa Huyu jamaa alioana na mkewe mwaka 2004. Lakini mkewe alikuwa ana-earn zaidi kuliko yeye. Jamaa aliku. wa anatafuta kazi na muda mwingi alikuwa yupo nyumbani wakati mkewe yuko kazini Yaani inshort mwanamke ndo alikuwa anaichakarikia familia while jamaa...
  3. Magical power

    Mume mwenye mahaba ni zaidi ya dhahabu

    MUME MWENYE MAHABA NI ZAIDI YA DHAHABU. INAHUSU WANAUME Sherehe ya ndoa ni ya siku moja ila maisha ya ndoa yanaendelea kila siku.... Kila kijana anaetaka kuoa hupenda aonekane bingwa wa mapenzi kitandani lakini yuko zero kwenye mahaba,mapenzi ya kitandani ni ya mda mfupi sana ila mahaba...
  4. X

    Ni Jumatatu nyingine tena, wiki hii yote ni mkeo na office husband wake

    Ukweli ni kwamba wanaume wenye wake wafanyakazi wanatumia muda mchache sana na wake zao hasa siku za kazi tofauti na wafanyakazi wenza wa wake zao. Wafanyakazi wa kiume wanakuwa na mke wako kutwa nzima kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa siku 5 au 6 Kadiri watu wa jinsia tofauti wanavyotumia muda...
  5. MABATI YA SUNBAK TANZANIA

    Mwanamke akitaka kukuua anatumia watoto zaidi

    Wanawake wakiacha umeingia katika uzee age 60+ wanaanza kujaribu kukuua . Akishindwa mbinu zake anaanza kutumia Watoto ambao mmewapata . Sasa wewe Kama Baba usipokuwa makini utashangaa unaanza kutengwa na watoto bila kujua Sababu ni nini . Mimi ilikosa kidogo nimpoteze Mzee wangu Ila niliamua...
  6. Daby

    Kinachofanya usimkamate mwenza wako aki-cheat (mwanamke) wanaume tunajua mipaka yetu.

    Kila jinsia inacheat. Iwe wanaume au wanawake. Hii mentality ya kudhani wanaume ndiyo wanacheat saana ni uongo. Kama wanaume ndiyo wanacheat saana, Je wanacheat na kina nani? Kwamba hawana wapenzi wanaocheat nao. Mfano: Mwanaume aliyeoa akiwa anacheat na mwanamke. Huyo mwanamke atataka mke wa...
  7. majam19

    Je, Ulioa katika nyakati gani ya Uchumi?

    Habari ndugu zangu. Hapa naenda moja kwa moja kwenye mada husika. Nihusishe na kichwa cha habari hapo juu. Katika mambo ya vijana kuoa, wengi wetu huwa hatujawa stable kwenye suala la kiuchumi kwa sababu bado tunakuwa kwenye hatua za mwanzo za kujitafutia. Je, Baada ya kuoa, maisha...
  8. S

    Maisha ya ndoa hayana tofauti na wakulima usipokuwa makini muda wowote unavuna mabua

    Kama ilivyo maisha ya wakulima walivyomakini kuchagua shamba, kuandaa shamba na kujua muda sahihi wa kupanda mbegu. Ndivyo maisha ya ndoa yatakiwa kuwa! Siku hizi unaweza kuwatembelea watu asubuhi ukakuta wanapendana lakini jioni ukaambiwa wameachana kisa simu! Simu imekuwa faraja kwa...
  9. uhurumoja

    Kwanini watu wanao-cheat wanataka kusamehewa kirahisi tu?

    Unakuta mtu ana cheat hadi inakuwa hadharani yanamuendea vibaya unajua anaomba samahani na anakutaka usamehe uendelee kumchekea na kumfurahia kama zamani Yani kirahisi tu na huenda unalaumiwa kwa "kutokusamehe" Wakati mwingine ni rahisi kuhama kutoka yanga kwenda Simba kuliko kusamehe
  10. Leonce jr

    Mungu ni mwema nimemaliza miezi mi Nne bila kufanya mapenzi, kuvuta sigara, kunywa pombe.

    Salamaleko Tumsifu yesu kristo. Mnamo miezi kadhaa iliyopita tarehe kama ya leo nilinuia kuacha kabisa Uvutaji sigara na ulevi wa pombe. Na kupunguza au kupumzika kufanya ngono. Na sasa nipo naendelea vizuri sana najisikia amani nina confidence ya hali ya juu naishi maisha yangu kawaida bila...
  11. M

    Wasichana hawapendi kushauriwa!

    Za 'masiku' familia yangu ya JF! Kuna jambo linatafakarisha na wakati mwingine kukasirisha sana. At age of 15-24(peak), wasichana wengi hawapendi kushauriwa. Ukitaka uwe adui yake, basi wewe jaribu tu kumshauri chochote. Hawapendi kuingiliwa, na ndipo katika wakati huu huwaacha marafiki zao...
  12. MamaSamia2025

    Kijana wangu kama alikukataa kwa dharau mkiwa kwenye 20's hawezi kubadilika na kukupenda kwenye 30's

    Umri kwenye 20s ulikuwa wa majanga sana kwenye suala zima la mapenzi. Ni umri ambao nilikutana na maumivu makali kutoka kwa baadhi ya wasichana wa umri wangu. "Wewe sio type yangu", "Sikutaki", "Kama huwezi hudumia siwezi kuwa nawe", "yaani hata nikivuta hisia za kukupenda haziji" nk... ni...
  13. Fbn

    Sehemu inayoitwa mji au jiji usipeleke mwanamke uliyemtoa kijijini

    Ukipita vijijini ndani ndani mikoani kuna wanawake wazuri sana. Ila shida ya miji au jiji wengi kujisumbua kutafuta mwanamke ni wavivu ndio maana wengi uwangusha vilio wanapofika nao mijini. Kuna mikoa ina wanawake wazuri sana ila kama unataka kuoa fanya habaki huko huko kijijini sababu pia...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    Ni jambo baya mwanaume kuharibu maisha ya mwanamke mwaminifu

    Sisi Watibeli Moja ya miiko yetu ni kutokuwa waharibifu. Hatuharibu vitu vizima. Hatuharibu vitu ambavyo ni vyema. Ukiwa mwema Sisi Watibeli hatuwezi kukutendea ubaya. Hiyo ni Kanuni yetu na ipo damuni. Watibeli ni mwiko kuharibu wanawake waliowaaminifu. Wanawake Safi hatuwezi kuwachafua...
  15. Manyanza

    Hatua 3 za kupenda tena na kuamini watu wengine baada ya mahusiano yako kuvunja au kusalitiwa

    Mapenzi hayana bima wala hayana formula maalumu ambayo kila mtu anaweza kuitumia na kupata matokeo yenye kufanana. Unaweza kutengana na mwenza wako saa yoyote,muda wowote bila kujali uwekezaji wako kwake.Hauwezi kudumisha mahusiano kama mwenza wako ameamua muachane.Utadumu na mwenza wako pale...
  16. Fufua Tumaini Jipya

    Usije ukapoteza muda na rasilimali zako kutaka kumbadilisha mtu ili awe kama wewe

    Kuelekea 2025 . Kauli mbiu ni "Protect your Energy" (Linda nguvu yako). Katika maisha kuna mambo mengi Sana ambayo huleta destruction , disappointment and heart fainted. Katika mahusiano Usihangaike kumbadilisha mwanamke / mwanaume ili aendane na wewe utaumia Sana Ila wewe unaweza kubadilika...
  17. More Chances

    Naomba Ushauri: Kuna binti nimezaa naye lakini sihitaji kuishi naye kama mke. Simuoni kama mwanamke wa ndoto yangu

    𝐼𝑘𝑜 ℎ𝑖𝑣𝑖𝑖, 𝐾𝑢𝑛𝑎 𝑚𝑠𝑖𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑖𝑙𝑖𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑛𝑜𝑤 𝑚𝑡𝑜𝑡𝑜 𝑎𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑎𝑘𝑎 𝑚𝑖𝑤𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑎 𝑚𝑖𝑒𝑧𝑖 𝑘𝑎𝑑ℎ𝑎𝑎, 𝑏𝑎𝑎𝑑𝑎 𝑦𝑎 𝑘𝑢𝑧𝑎𝑎 𝑛𝑎𝑒 𝑡𝑢𝑙𝑖𝑗𝑎𝑟𝑖𝑏𝑢 𝑘𝑢𝑖𝑠ℎ𝑖 𝑝𝑎𝑚𝑜𝑗𝑎 𝑖𝑙𝑒 𝑠𝑜𝑔𝑒𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑒 𝑖𝑙𝑎 𝑡𝑢𝑘𝑎𝑠ℎ𝑖𝑛𝑑𝑤𝑎𝑛𝑎 𝑠𝑎𝑏𝑎𝑏𝑢 𝑘𝑖𝑢𝑘𝑤𝑒𝑙𝑖 𝑚𝑖𝑚𝑖 𝑠𝑖𝑛𝑎 𝑙𝑜𝑣𝑒 𝑛𝑎𝑒 𝑤𝑎𝑙𝑎 𝑠𝑖𝑚𝑢𝑜𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑚𝑤𝑎𝑛𝑎𝑚𝑘𝑒 𝑤𝑎 𝑛𝑑𝑜𝑡𝑜 𝑦𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑘𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖 𝑚𝑗𝑒𝑢𝑟𝑖 , 𝑝𝑖𝑙𝑖 𝑛𝑖 𝑚𝑡𝑢 𝑤𝑎 𝑣𝑖𝑠𝑎𝑠𝑖 𝑐ℎ𝑜𝑐ℎ𝑜𝑡𝑒...
  18. Last_Joker

    Biashara za Wanandoa: Kufanikiwa Pamoja au Kuachiana Majukumu?

    Kwa wanandoa wengi, kuanzisha biashara ya pamoja ni ndoto ya kuwa washirika wa maisha na kazi. Unapomuona mpenzi wako sio tu kama mwenza wa maisha bali pia mshirika wa biashara, inatoa nafasi ya kuimarisha uhusiano wa kifamilia na kifedha. Lakini wakati ndoto hiyo inaweza kuonekana kama...
  19. exalioth

    Mke Wangu katoroka na watoto wetu wa nne. Naombeni ushauri

    Nakwenda kwenye maada Siku ya ijumaa mke wangu alitoroka na kisa cha kutoroka ni wiki mbili zilizopita mama mkwe aliniomba aondoke sehemu na mke wangu na mimi kulingana na mipango ya hapa kwangu nikaona nimebanana nikamwambia mama mkwe sina nafasi kwa sasa mama akanielewa ikapita hiyo Sasa...
Back
Top Bottom