Tarehe 25 Februari 2026, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, aliandaa futari maalum kwa watumishi wa Wizara jijini Dodoma ikiwa ni sehemu ya kuimarisha mshikamano, upendo na ushirikiano mahali pa kazi katika kipindi hicho cha Mfungo wa Mwezi Mtukufu...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amesema atamshauri Mwenyekiti wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Balozi Modest Jonathan Mero, kupunguza leseni za michezo ya kubahatisha ili vijanawaujikite zaidi katika shughuli za uzalishaji.
Waziri Kombo...
The Government of the United Republic of Tanzania through the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation informs the general public that, Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation Hon. Amb. Mahmoud Thabit Kombo accompanied by the Minister of Information, Culture and...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akifuatilia majadiliano ya Mkutano wa pili wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Afrika na Urusi maarufu kama “Russia-Africa Partnership Forum” unaoendelea jijini Cairo nchini Misri.
Katika mwendelezo wa mazungumzo na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza uhusiano baina ya Tanzania na Marekani, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki alikutana kwa mazungumzo na Mhe. Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi...
afrika
afrika mashariki
akutana
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
bunge
jackson
kamati
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
marekani
mashariki
mazungumzo
mbunge
mjumbe
ndogo
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wawakilishi
waziri
waziri kombo
Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) limepitisha azimio linalopendekeza kusitishwa kwa ufadhili wa fedha za maendeleo kwa Tanzania, likieleza wasiwasi juu ya mazingira ya kisiasa na ukiukaji wa haki za binadamu ulioripotiwa baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025.
Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania–Korea (Tanzania–Korea Business Forum) lililowakutanisha wadau wa uwekezaji na biashara wa serikali na sekta binafsi kutoka mataifa yote mawili...
afrika
afrika mashariki
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
kiapo
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
afrika
afrika mashariki
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
diplomasia
kiuchumi
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nguvu
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wizara
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Morocco nchini Tanzania Mhe. Zakaria El Guomiri,
Kikao hicho kimefanyika leo Julai 02, 2025 kwenye ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam, ambapo...
https://www.youtube.com/watch?v=DHqu2q18Qzg
"Kukamilika kwa mapitio ya Sera ya Mambo ya Nje, Toleo la 2024, iliyoambatana na mkakati wa utekelezaji wake, ikiwa ni pamoja na matumizi ya Kiswahili kama nyenzo ya diplomasia."
"Katika Mwaka wa Fedha 2024/2025, Wizara iliidhinishiwa jumla ya...
afrika
afrika mashariki
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
bunge
bunge la 12
dodoma
kikao
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
mei
mkutano
mkutano wa 19
nje
tarehe
thabitkombo
ukumbi
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake katika Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam.
Katika ziara hiyo ameshiriki Maadhimisho ya Miaka 50 ya Muungano wa Taifa hilo na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu...
afrika
afrika mashariki
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
jamhuri
katika
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya
mambo ya nje
mashariki
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
ziara
Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo ya Kilimo (IFAD), Bw. Sakphouseth Meng aliyefika kujitambulisha katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam baada...
Hon. Mahmoud Thabit Kombo, Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation with Hon. Péter Szijjártó, Minister of Foreign Affairs and Trade of Hungary during Official Bilateral Meeting on strengthening cooperation between Tanzania and Hungary in Budapest
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe Balozi Mahmoud Thabit Kombo akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa pamoja EAC- SADC unaojadili masuala ya amani nchini DRC.
afrika
afrika mashariki
balozi
balozi mahmoudthabitkombo
eac
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya nje
mashariki
mkutano
nje
pamoja
thabitkombo
ufunguzi
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
wakati
waziri
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mazungumzo na Kamati Ndogo ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, katika mazungumzo hayo yaliyojikita katika masuala mbalimbali ya maboresho katika Tasnia ya Diplomasia...
afrika
afrika mashariki
kamati
kufanya
mahmoudthabitkombo
mambo
mambo ya nje
mashariki
mazungumzo
ndogo
nje
thabitkombo
ushirikiano
ushirikiano wa afrika mashariki
waziri
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameshiriki hafla ya Maadhimisho ya Siku ya Taifa la UAE iliyoandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje ya UAE akiwa ni Mgeni wa Heshima.
Hafla hiyo imefanyika mjini Abu Dhabi tarehe 05 Desemba, 2024 ambapo Naibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.