magaidi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Muda huu Magaidi wa Hezboullah wanachezea kichapo cha Majeshi ya Israel huko Lebanon

    Mapigano yalizidi kupamba moto kusini mwa Lebanon usiku kucha na Jumamosi baada ya magaidi wa Hezbollah kushambulia vikosi vya Israeli vilivyokuwa vikizunguka ukingo wa Ali al-Taher, na kuwajeruhi wanajeshi 3 wa Israeli kutoka kitengo maalum cha uhandisi cha Yahalom - 1 akiwa katika hali mbaya...
  2. JamiiForums Tanzania Hakuna Kuridhiana na Magaidi Yalioua Ndugu Zetu October 29 "NEVER EVER"

    Unawezaje kuridhiana na gaidi katili asiye na huruma aliyeamuru maelfu ya watu kuuawa? Hilo halipo. Kwakifupi HAKUNA KURIDHIANA NA MAGAIDI. Nilazimamagaidi yote yapate haki yao ili nchi iwe salama. Samia na wenzako hakuna namna mnaweza kutufanya tukubalikuridhiana na WAOVU, NEVER EVER. NI BORA...
  3. JamiiForums Tanzania Magaidi wanaotekeleza "dini ya amani" walivyouawa na Marekani !

    Osama bin Laden: Kiongozi na mwanzilishi wa Al-Qaeda, aliuawa na vikosi maalum vya Marekani nchini Pakistan mnamo Mei 2011. Abu Bakr al-Baghdadi: Kiongozi mkuu wa kundi la Dola ya Kiislamu (ISIS / Daesh), alijiua kwa kulipua bomu wakati wa operesheni ya jeshi la Marekani nchini Syria mnamo...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Je, matukio yanayofanywa na genge la wasiojulikana ni Ugaidi? Nini tofauti ya wasiojulikana na magaidi wa Mkiru?

    ..kuliita genge hili " wasiojulikana, " badala ya magaidi, sio kumung'unya maneno ndugu zangu? ..matendo yao ya kuteka, kutesa, kujeruhi, na kuuwa, yana tofauti gani na matendo ya magaidi wa Mkiru? ..kama wanaharakati wananasibishwa na magaidi, kuna uhalali gani kutowanasibisha wasiojulikana...
  5. JamiiForums Tanzania Magaidi wenye mlengo wa uislamu wachinja wanakijiji wanaopitia changamoto za Ebola, DRC

    Afrika bana.... yaani uchague ufe kwa Ebola au kuuawa na magaidi wa uislamu....."Ukiinama mchale, ukiinuka mchale"...kuzaliwa Afrika ni laana kuanzia mwanzo... ====================== Rebels affiliated with the Islamic State attacked a village in Congo near the border with Uganda early...
  6. JamiiForums Tanzania Sasa Magaidi wa Hamas kuhamisha makao yao rasmi kutoka Qatar hadi Uturuki!!

    Hamas inaripotiwa kujiandaa kuhamisha shughuli zake nyingi za siri kutoka Qatar hadi Uturuki, huku ikiendelea na shughuli zake nyingi za umma huko Doha, kulingana na Kan. Mabadiliko hayo yaliyoripotiwa yanakuja huku kukiwa na mvutano na Qatar kufuatia kuchaguliwa kwa Khalil al-Hayya kama...
  7. JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Mama ka ya silaha za magaidi wa Hezbollah zimekamatwa na Majeshi hodari ya Israel ndani kabisa ya Lebanon baada ya msako makali unaoendeshwa huko na IDF!!!!! Adiosamigo na Mzee wa UHARO Ritz wanajifanya hawaoni hii Post!!
  8. JamiiForums Tanzania Mazishi ya halaiki kwa Magaidi: Israel inafanya kazi nzuri sana kuwaua Magaidi huko Gaza!!

    Mazishi ya halaiki yamefanyika katika Jiji la Gaza, kaskazini mwa Gaza, leo, kwa ajili ya Magaidi 112 wa familia za Abu Sharia na Al-Hasaina, ambao miili yao ilipatikana katika wiki 2 zilizopita kutoka chini ya kifusi cha makazi katika kitongoji cha Sabra. Magaidi wa Hamas wanasema eneo hilo...
  9. JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hezbollah walihusika na Mlipuko wa Beirut Lebanon mwaka 2020!!!

    🖤🇱🇧 Miaka sita iliyopita leo, Beirut ilibomolewa na mlipuko mmoja wenye nguvu zaidi usio wa nyuklia katika historia. Zaidi ya watu 220 waliuawa, zaidi ya 7,000 walijeruhiwa, karibu 300,000 walipoteza makazi yao, na jiji zima liliachwa na kovu katika sekunde chache. Maumivu ya siku hiyo...
  10. JamiiForums Tanzania GRAPHIC VIDEO!! Magaidi wazidi kuangamizwa huko Gaza!!!

    ⚠️picha za kutisha⚠️ Israel ilifanya shambulio lililolenga gari katika kitongoji cha Rimal kaskazini mwa Gaza. Magaidi 4 waliangamizwa. Kwa jumla, angalau magaidi 28 waliangamizwa leo katika Ukanda wa Gaza. Hamas ilichapisha taarifa kuhusu kuongezeka kwa mashambulizi ya kulenga ya IDF dhidi...
  11. JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Hata mimi ningekuwa serikali ningewaita magaidi wenye mipango miovu kwa Nchi

    Sheikh Saidi Mwaipopo akizungumza na waandishi wa habari Agosti 03, 2026. Amekemea mipango miovu inayopangwa na baadhi ya watu kutekeleza miundombinu ya nchi, vitisho dhidi yake pamoja na tabia ambazo amezitambua kama ugaidi. "Gaidi wazungu wanamuita terrorist terrorist ni tishio unatishia watu...
  12. JamiiForums Tanzania Hatimaye magaidi wa Hamas was Ali I Amri kwa Israel!!!

    Katika taarifa, Hamas ilithibitisha kuwa inakubaliana na Awamu ya 2 ya mfumo wa kusitisha mapigano, lakini inasisitiza kuwa itaacha tu silaha zake nzito - ikimaanisha roketi, ATGM n.k. - baada ya Israeli kujiondoa kabisa kutoka Gaza, kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina, ujenzi mpya, na...
  13. JamiiForums Tanzania Magaidi wa PIJ waangamizwa huko Gaza

    Jana , IDF ilishambulia katika eneo la Khan Yunis kusini mwa Gaza na kumuangamiza gaidi Muhammad Khalil Muhammad Aslam, kamanda wa kikosi cha Nukhba katika shirika la kigaidi la Palesyin Islamic Jihad( PIJ.) Wakati wa mauaji ya Oktoba 7, Aslam aliongoza kikundi cha kigaidi kilichoshiriki katika...
  14. JamiiForums Tanzania CHADEMA kueni Makini Mikutano ijayo,wekezeni kwenye Ulinzi na Drone

    Mikutano ilizuiwa kwamba anchi haikuwa Shwari. Punde si punde wakairuhusu. Kuruhusiwa Mikutano, wanaolengwa na CHADEMA. Haitakuwa mara ya kwanza CCM kurusha bomu kwenye Mikutano ya CHADEMA. Hivyo wekezeni kwenye Ulinzi na Drone. CCM wana roho mbaya sana...
  15. JamiiForums Tanzania Ni kisema kuwa raisi ni kilaza mtasema sisi ni magaidi.

    kuna mada hapa naona JF wana kwepa history ya huyu mama mpaka history yake. JF upenda kulifanya jambo kuwa kama chapati na supu maana mengi tumeona na mlipata matatizo na wengine walipata pesa wafanyakazi wenu. kitakacho endelea hapa tanganyika msifute ili kesho muonekane ndio mlikuwa vyanzo...
  16. JamiiForums Tanzania Marekani yapanga kufanya mashambulizi dhidi ya magaidi wa JINM nchini Mali

    Bwana Sebastian Gorku akizungumza na waandishi wa habari. Raisi Donald Trump amekuwa akishauriana na watu mbalimbali ndani ya utawalal wake nai pia kufikiria ombi la nchi ya Mali kusaidiwa kuondoa magaidi wa JNIM ambao wana mahusiano na kundi la Al Qaeda. JINM ambao kirefu chake ni Jama’at...
  17. JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wapata pigo tena!!

    ⚠️picha⚠️ Magaidi 2 waliuawa katika shambulio lililolenga gari la magaidi kwenye mlango wa al-Zahra, kaskazini magharibi mwa kambi ya Nuseirat katikati mwa Gaza. Magaidi wa Hamas wanazidi kupukutishwa tuwaombee tu!! Tena, ndege ya upelelezi ililenga eneo karibu na Makutano ya al-Samer katika...
  18. JamiiForums Tanzania Nchimbi wanaharakati tunakushukuru siyo yule alituita sisi ni magaidi, Asante kwa kumtaja Maria Sarungi

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nchimbi anadai kuwa anawaheshimu Wana harakati kwa uwezo wao wa kujenga hoja Amkumbuka dada yangu maria sarungi Asante Sana sisi ni wapigania Khaki sisi siyo magaidi LONDON BOY
  19. JamiiForums Tanzania Tanzania ndio nchi ya kwanza wapinzani kuwa magaidi

    Sijui wanaelewaa neno ugaidi na hatari za kisiasa. Leo nilitaka kueleza maana input politics na out politics achana na diplomatic. Kwa mambo yanayofanywa ndani ya siasa za CCM zinaweza kuifanya out politics kuwa tuna vilaza kuanzia sheria,wataalamu wa serikali idara zote. Kuna jambo...
  20. JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas waangamizwa huko Gaza!!!

    Majeshi hodari ya Israel Jana yaliendeleza wimbo la kuwaangamiza magaidi wa Hamas huko Gaza safari hii wameangamizwa magaidi 16 waliokuwa tishio kwa majeshi ya Israel
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…