Madale Beach (Indonesian: Pantai Madale), is a beach in Poso Regency, Central Sulawesi Province, Indonesia, about 5 kilometres (3.1 mi) northeast of Poso town. Surrounded by tropical and mangrove forest, the white sand beach is a notable snorkeling spot. Rumah Katu Marine Park is located here.According to the Indonesian Ministry of Tourism, the waves in Madale is relatively quiet, so tourists can snorkel or dive without hesitation.The largest and only coral reef on Sulawesi Island, located on Madale. With a depth exceeding 40 m, marine species such as sponge, giant crabs, and black-striped shark live here.Destruction of coral reefs often occurs here. Fishermen's primitive methods to get results using fish bombs, eventually making the top of the coral wall being damaged.
Viwanja vinauzwa
Location Madale njia ya msumi.
Mita 200 kutoka kwenye viwanja hadi barabara kuu ya Madale.
Kila kimoja ni milion 65
Viwanja vipo Vinne unaweza kuunganisha zadi ya viwili au kununua vyote Kwa pamoja.
Viwanja Vina ukubwa wa sqm 800
Vimepimwa ni kwenda kufatilia hati miliki yaani...
Mimi ni Mfanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi wa miundombinu yenye makazi yake Madale Midizin Jijini Dar es Salaam.
Changamoto ni kwamba mpaka sasa nina Mwaka wa nne kazini ila sijawahi pewa mkataba, nakosa haki zangu muhimu, bado najulikana ni kibarua tu wa hii kampuni.
Tabia hiyo imekuwa ikitokea...
Anonymous (ce9a)
Thread
changamoto
kampuni
madale
mikataba
ujenzi
wafanyakazi
wake
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam tarehe 12/11/2025 majira ya saa 8:00 mchana eneo la Madale kwa Swai Kinondoni limekamata na linamhoji Charles Gisima Werema (miaka 47), mkazi wa Madale Flamingo Kinondoni kwa tuhuma za kuhamasisha na kuchochea uvunjifu wa amani katika...
Kiwanja kinauzwa madale karibu na shule ya atlas
Kina ukubwa wa SQM 1200
Kipo Mita 150 kutoka barabara ya lami
Bei ni millions. 150 tu tsh
Kipo kwenye neighbourhood nzuri Sana
Usikikose tajiri
Wasiliana nasi.
0742892195 call and WhatsApp
Wadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi:
1. Vipimo: 500-600 sqm
2. Location:Goba au Madale
3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji
4. Documents ziwe clean na zimekamilika
Offer yangu ni milioni 22 mpaka 24.
Wadau, natafuta kiwanja chenye sifa hizi:
1. Vipimo: Kuanzia square meter 750 (25×30)
2. Eneo lililopangika vizuri
3. Kiwanja kiwe flat na ardhi isiwe na maji maji
4. Documents ziwe clean na zimekamilika
Offer yangu ni milioni 18 mpaka 20.
Nicheki whatsap 0765137266
NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MADALE (Kontena)
Ipo Madale, kilomita 1 tu kutoka barabara kuu.
Imejengwa kwenye kiwanja chenye ukubwa wa sqm 500.
Nyumba ina vyumba vinne (4) –
1 ni master bedroom
3 ni self-contained
Sebule kubwa ya kisasa
Jiko zuri la kisasa
Dinning, store, na choo cha wageni...
NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA MADALE FLAMINGO MITA 200 KUTOKA BARABARA KUU (MADALE ROAD)
BEI NI TSH MILLION 150
VYUMBA 3 VYOTE MASTER
JIKO LA KISASA
DINNING
PUBLIC TOILET
STORE
SEBULE
UMEME
MAJI
UKUBWA WA ENEO NI SQM 800
KARIBUNI MABOSS
PIGA SIMU 0743 257 669
WhatsApp wa.me/255743257669
Madale plot for sale contena
km 1 kutoka lami sqm 1300.
Price 70 millions
Contact 0742892195
#Housefirsale#houseforsalegoba#plotforsalegoba#plotforsalemadale#plotforsaledaressalaam#plotforsale#viwanja#ramanizanyumba#
Nauza kitanda chuma 5X6 kwa Bei rahisi kabisa 120,000/ bad kipya kimetumika miezi4 tu!( Kimsingi hiyo elf20 itakuwa nauli ya kukuletea ulipo,hivyo (naamini kwa maeneo ya mbeZi,tegeta,goba au bunju hiyo nauli itosha kukifikisha ,ili adhima ya kupata laki1 nayohitaji itimie)!.
Kipo Madale Mwisho...
Habari!
Sisi ni wazalishaji na wauzaji wa mkaa wa kawaida. Tuna vibali vyote vya wakala wa misitu, na mkaa wetu unazalishwa kutoka kwenye misitu endelevu iliyo ruhusiwa kuvunwa.
Gunia zetu zimeshonwa vizuri na haziendi zikidondosha mkaa, tunatumia mifuko mipya na kamba madhububuti kusuka...
Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school
Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters
Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko
Inatank la maji la lita 3000
Bei ni 170M
Karibuni sana
PLOT FOR SALE MBWENI
Plot safi kabisa hii hapa Inauzwa
Iko Mbweni mpiji inagusa lami
Ni sqm 1000
📌🗒Ina Hati safi kabisa
📌Ni pazuri sanaa Kuna nyumba pia kama unavyoiona kwenye picha hapo
📌Plot inataka milion 150 maongez kidogo
NB; ZINGATIA PLOT INAGUSA BARABARA KUBWA YA LAMI, PATAFAA SANAA...
beach
beach plot
bunju
for sale
ghorofa
house for sale
kigamboni
kigamboni housegosale
kisasa
madale
magufuli
mbezi
mbezi beach
mbweni
nyumba
nyumba ya ghorofa
plot
plot for sale
plots
sale
university
upanga
viwanja goba
Habari za wakati huu...
Eneo linauzwa madale mivumoni...
Lipo karibu na shule ya atlas
Eneo limezungukwa na njia kubwa kabisa pande zote nne...
Eneo lipo tambalale kabisa...🔥
Eneo linafaa kwa projects kubwa kama shule,hospital na hata viwanja vya michezo au sports academy..
Pia kwa wale...
Kiwanja kinauzwa kipo Madale njia ya kuelekea Mbopo umbali wa 1km kutoka lami.
Kinaukubwa wa 1000 square meters
Bei ni 40M
Mazungumzo yapo
Tucheki kupitia 0674630975 ama
+255 714 796 778
Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa,
Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami,
Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni,
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1
0656077998
Tusaidiane kufikisha hili kwa mamlaka husika.
UCHIMBAJI MCHANGA UNAVYOHARIBU BARABARA YA GOBA - MPAKANI KWENDA MADALE.
Kutokea Goba - Mpakani , eneo maarufu kama "kwa ajali" ukiwa unaenda Madale kabla hujakutana na barabara ya mbopo, Kuna mto una tenganisha haya maeneo.
Changamoto ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.