Waovu hukimbia wasipofuatiwa na mtu; Bali wenye haki ni wajasiri kama simba.
Mithali 28:1
Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;
1 Samueli 2:9
Basi, iwapo watu waovu wamemwua mtu mwenye haki kitandani mwake, je! Sasa...