lowassa

Edward Ngoyai Lowassa (born August 26, 1953) is a Tanzanian politician who was Prime Minister of Tanzania from 2005 to 2008, serving under President Jakaya Kikwete. Lowassa has gone into record as the first Prime Minister to have been forced to resign by a fraud scandal in the history of Tanzania. Following his resignation President Kikwete was obliged to dissolve his cabinet as required by the Constitution and with minimum delay, constituted a new one under a new Prime Minister, Mizengo Pinda.After the ruling CCM failed to select him as its candidate for the October 2015 presidential election, he left the party and stood instead as an opposition candidate. He was defeated in the election by CCM candidate John Magufuli.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    PostGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Rais Samia kateua Mawaziri, waislam wangapi? Wamejaa wakatoliki, ndio wanataka vile

    Ustadhi huyu anasema wakatoliki wao wanataka vyeo vikubwa viwe vya wakatoliki, hata Baraza la Mawaziri lililoteuliwa na Rais Samia, waislam ni wachache kama robo, baraza limejaa wakristo ambao wengi ni Wakatoliki ndio wanataka iwe hivyo.
  2. R

    GE2025 Fred Lowassa: Kazi iliyo mbele ni kuiombea CCM kura

    Aliyekuwa Mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Fred Lowassa, amesema kazi kubwa iliyo mbele kwa sasa ni kuhakikisha chama hicho kinapata kura za kutosha katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Lowassa ametoa kauli hiyo leo, Ijumaa Septemba 12, 2025, wakati akishiriki kampeni za CCM, akiahidi...
  3. Allen Kilewella

    Picha ya Marafiki wa Lowassa

    Edward Lowassa alikuwa ni mwanasiasa ambaye alikuwa na marafiki kutoka vyama vyote vya siasa. Lowassa alikuwa na marafiki ndani ya CCM na nje ya CCM. Lowassa aliwafanya mahasimu wa kisiasa kukaa pamoja. Jee nje ya urafiki wao na Lowassa , Freeman Mbowe, Zitto Kabwe,Hussein Bashe na Rostam...
  4. Tajiri Tanzanite

    GE2025 Mbona Ridhiwani hajatupwa ametupwa Fredy Lowassa!?

    Hapo vipi. Naona kuna vita ya visasi bado inaendelea baina ya familia hizi 2 za kisiasa, na hili ni kwasababu familia moja, ina nguvu ya maamuzi katika kipindi hichi. Mimi ni mmojawapo wa mtu ambaye sijapendezwa na maamuzi ya kumkata Fredy Lowassa. Kuna familia naziona wanafikiri ya kwamba...
  5. Mama Ametufikia

    Kama January Makamba amekatwa na Freid Lowassa maana yake 2030 Ridhiwani Kikwete ndo anaweza kuwa Rais

    Kitendo cha kumkata Freid Lowassa ndo njia Rais ya kumuingiza RK jengo jeupe . Kiufupi 2030 Rais ni RK.
  6. E

    Mpina anarudia makosa yale yale ya kina Mrema, Membe na Lowassa

    Aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina sasa amehamia CCM na anatajwa kuwa mgombea uraia s wa chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Ilikuwa wazi kwamba Mpina asingepitishwa kwenye kura za maoni za CCM licha ya wananchi wa jimbo lake kumpenda. Hiyo ni kutokana na msigano wake na...
  7. Griss

    GE2025 Je Mpina ni double agent kama walivyokuwa Lowassa, Mrema, Sumaye na Nyalandu?

    Ni ngumu Sana mtu kuwa waziri ndani ya hii nchi uvune Siri za baraza halafu ukawe mpinzani hii Tanzania haiwezekani. Yaani mtu akae ndani ya baraza la mawaziri halafu badae mpinzani kwa Tanzania siasa zake zilivyo ni ngumu Sana Je inawezekana ameenda kwa kazi maalumu na akimaliza atarudi...
  8. N

    GE2025 2015 Lowassa alijitoa CCM , 2020 Membe alijitoa CCM, 2025 kuna dalili yoyote ya mwanachama mzito kuchomoka ?

    2015 - EDWARD NGOYAI LOWASSA 2020 - BENARD KAMILIUS MEMBE 2025 - ???? (Imekuwa Reverse kwa mkuu wa chama cha upinzani kwa muda mrefu)
  9. Benson Mramba

    Askofu Gwajima alikuwa Mwanamkakati wa Lowassa na Magufuli

    Kumchukulia kiwepesi Askofu Gwajima ni kujipumbaza tu. Amekuwa viti vya mbele kwenye safari ya matumaini na hapa kazi tu. Ana elimu, watu, connection, uchumi, marafiki wengi n.k Tusimchukulie poa poa
  10. J

    CHADEMA ilipasuka katikati alipoondoka Dkt. Slaa na kuja Lowassa, hawa wanaoondoka sasa akiwemo Mbowe siyo maarufu kumzidi Slaa

    Chadema imewahi kugawanyika mara moja tu pale walipomtosa Dr Slaa na kumleta mzee Lowasa Unajua kwenye hizi siasa zetu za Tanganyika Mbowe hajawahi kufanya tukio lolote la kutikisa nchi kama vile Dr Slaa na Kagoda, Masoud wa Temeke na Panton, Lyatonga na Chavda, Zitto na Buzagwi, Kafulila na...
  11. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Fredrick Lowassa: Serikali ya Rais Samia imetoa takribani shilingi Bilioni 37 kwaajili ya kutekeleza miradi ya maji wilayani Monduli

    Mbunge wa Jimbo la Monduli mkoani Arusha Mhe. Fredrick Lowassa amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imetoa takribani shilingi Bilioni 37 kwaajili ya kutekeleza miradi ya maji wilayani Monduli na hivyo kuwaondoa wananchi wengi kwenye adha ya kusafiri umbali mrefu na kutumia muda mrefu...
  12. Yoda

    Godbless Lema na wenzake anacheza michezo ya siasa za enzi za Lowassa wa Richmond?

    Anachokifanya Lema na wenzake sasa kwa hivi kwa Mbowe ni sawa na kile walichokifanya CHADEMA enzi za Lowassa kumgeuza kuwa mbuzi wa kafara na kumuhusisha na kila ufisadi mkubwa nchini? Soma Uzi maalum wenye matukio yote kuhusu sakata la Richmond Kama kweli Waziri Bashe katoa kibali cha...
  13. Mkalukungone Mwamba

    Lema: Kama tulimpa Lowassa kugombea Urais basi Dkt Slaa atarudi

    “Winga ya kulia Lissu, Winga ya kushoto Heche halafu mimi(Godbless Lema) napita katikati halafu wanasema nilisema tutamleta Dkt. Slaa. Kaka tulimpa Lowassa(Hayati Edward Lowassa) Urais mtu wa CCM(Chama Cha Mapinduzi) itakuwa kumrudisha Slaa(Dkt. Wilbroad Slaa). Yeyote atajayetaka kurudi kwenye...
  14. F

    GE2015 Je ni kweli mgombea Urais CCM 2015 alikuwa Amina Ally ila kwa kutamka Lowassa atakuwa Makamu wake akagauza upepo?

    Nipo hapa Dodoma mzee mmoja wa Makamo ndani ya chama kateta nami jambo hili. Mzee anadai Balozi Amina Ally aliteleza wakati wa kuomba kura huku akijua wazi jina la Lowassa limekatwa na kudai atamteua kuwa mgombea mwenza. Kauli yake hiyo kilimkera mwenye Chama chake kipindi hicho na bahati...
  15. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Lissu: Mbowe amesema mimi na wenzangu tutakiona cha mtemakuni akirejea madarakani

    Wakuu! Lissu Amesema yeye akipata madaraka, atachunguza kiini cha rushwa ndani ya chama. Aidha ameongeza kuwa akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA amesema kwa sababu rushwa ni tatizo wataunda \ tume ya chama kuchunguza kiini cha rushwa pia atataka chama kiazimie kufuta rushwa, hatolipa visasi
  16. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Lissu: Dr. Slaa ndiye alimleta Lowassa CHADEMA

    Tundu Lissu amesema Dr. Slaa ndiye alimleta Edward Lowassa CHADEMA ndiye aliyeanzanisha hilo wazo, ndiye aliyeongoza timu zote za majadiliano za CHADEMA kujadiliana na timu ya Lowassa. Soma Pia: Mdahalo wa Wagombea Uenyekiti CHADEMA Taifa Aidha amesema na ndiye aliyetisha kikao cha kamati kuu...
  17. Knock life

    Vifo vya wagombea urais mwaka 2015 (Magufuli, Lowassa na Anna Mghwira) vinatoa tafsiri gani katika ulimwengu wa kiroho?

    Mwaka 2015 nature au universe ilizungumza na watu na watu wakazungumza na nature . Nature ilihitaji mabadiliko kupitia Kwa viongozi waadilifu na ambao wapo tayari kuongoza nchi. Walichokosea Ccm, Chadema na Act ni kushindwa kutap na universe ili kupata matokeo chanya. Magufuli - huyu nature...
  18. M

    Yuko wapi Sioi Sumary aliekuwa mkwe wa marehemu Lowassa?

    Wasalamu Kama uzi unavyouliza yuko wapi huyu bwana sioi sumary mkwe wa marehemu lowassa maana siku hizi haonekani na wala kwenye msiba wa mkwewe sikumuona kwenye familia ya wafiwa.
  19. Pascal Mayalla

    Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

    Wanabodi, Leo nawaendeshea somo la kitu kinachoitwa assets and liabilities, kwenye siasa. Kwenye biashara assets ni mtaji na rasilimali na liabilities ni madeni, na hasara, biashara ikiwa nzuri, assets ni faida, biashara ikianguka, una dispose some of your assets into liabilities kuiokoa...
  20. Yoda

    CHADEMA ya Lowassa ilikuwa bora kuliko ya Slaa ?

    Kwa nini Lowassa (mtuhumiwa wa fisadi) alipata kura nyingi katika uchaguzi mkuu wa 2015 kuliko alizipoata Willibrod Slaa (msafi) mwaka 2010? Ni mvuto wa kisiasa, pesa, sera, upadri wa Slaa au kitu gani kilicholeta matukio ya kuchanganya hivyo?
Back
Top Bottom